TANZIA Bernard Kamilius Membe afariki dunia
Poleni sana Sukuma gang but msiba wa JPM hauna compensation. Mkijitia moyo kwa vifo vya wastaafu ni kujilisha upepo tu. Mmeleta siasa za chuki wenyewe acheni mvune mlichopanda. Mpaka mfike 2025 mtakua mmegawanyika Ili mtupishe
Huyo zito akiwa anakugonga ndio anakudanganyaga 2025 atachukua nchi ili aendelee kukugonga shtuka wewe atakuchakaza tu na hata hakuna mtu anayemuelewa huyo bwana wako
 
Huyo zito akiwa anakugonga ndio anakudanganyaga 2025 atachukua nchi ili aendelee kukugonga shtuka wewe atakuchaza tu na hata hakuna mtu anayemuelewa huyo bwana wako
Poleni sana Sukuma gang najua mna stress baada ya shetani wenu kuondoka. Ila mkubaliane na ukweli kwamba kifo cha JPM hakiwezi kuwa compensated na vifo vya wanasiasa waliostaafu baada ya kutumikia utumishi wao wote Hadi kumaliza. kitu ambacho JPM hakufikia!!
 
SIRI YA KUKISHINDA KIFO NI KUJIANDAA KUKIPOKEA, maana hujui LINI, SIKU, wala SAA kitakuja, tuishi vizuri wanajamvi, hatuna haja ya kutukanana, kuzulumiana, kutesa wengine, kutenda uovu, wala kuchepuka(😂😂😂) tangulia Mkuu Membe, uwe na sehemu njema huko ulipo.
 
Kuamini kuwa musiba angelipa hilo deni ni ujuha wa hali ya juu
Mahakama ikiamua utalipa tu, mbona kina Mbowe walipigwa fine ya million 300 na wakaambiwa walipe au wafungwe!!?

Kama hauna una file bankruptcy Mali zako zipigwe mnada au mshtakiwa anaweza kukupeleka jela mpaka ulipe!!

Mahakama Haina ujuaji ni haki bin haki
 
Poleni sana Sukuma gang najua mna stress baada ya shetani wenu kuondoka. Ila mkubaliane na ukweli kwamba kifo cha JPM hakiwezi kuwa compensated na vifo vya wanasiasa waliostaafu baada ya kutumikia utumishi wao wote Hadi kumaliza. kitu ambacho JPM hakufikia!!
Sawa mke wa zitto kwani zitto na yeye amestaafu mme wako .
 
SIRI YA KUKISHINDA KIFO NI KUJIANDAA KUKIPOKEA, maana hujui LINI, SIKU, wala SAA kitakuja, tuishi vizuri wanajamvi, hatuna haja ya kutukanana, kuzulumiana, kutesa wengine, kutenda uovu, wala kuchepuka([emoji23][emoji23][emoji23]) tangulia Mkuu Membe, uwe na sehemu njema huko ulipo.
Umesahau msamaha, ujiandae ukiombwa msamaha kubali kusamehe kama jembe alivyo msamehe nape, vinginenvyo unaenda kuchezea mototu.
 
Poleni sana Sukuma gang najua mna stress baada ya shetani wenu kuondoka. Ila mkubaliane na ukweli kwamba kifo cha JPM hakiwezi kuwa compensated na vifo vya wanasiasa waliostaafu baada ya kutumikia utumishi wao wote Hadi kumaliza. kitu ambacho JPM hakufikia!!
Aligombea uraisi wa nini kama alistaafu, tuwape pole wafiwa sukuma gang hawana cha kupoteza
 
Back
Top Bottom