TANZIA Bernard Kamilius Membe afariki dunia
Kwakweli hata wafe kina membe 50,kwangu kufa yule jamaa muuaji kutoka chatle hata sasa nina furaha saaaaanaaaaa.Membe hana effect yoyote.Kwo kumfananisha na ******** muuaji ni KUTAFUTA namna ya kujifariji tu
 
R.I.P KACHERO MBOBEZI,

Najaribu kuwaza BM angeukwaa Uraisi Ile 2015 NDIO kusema Leo tungekua na TANZIA,
Tanzia ya kumpoteza Amir jeshi mkuu...au Kifo kinge be SKIPPED.....

Lowassa is still alive..na wengi wali mtabiria mzee lowassa kua hatoboi... wenyewe NDIO hawajatoboa....

Najaribu kuwaza..

2 Tim 4:7​

Umevipiga vita vilivyo vizuri, mwendo nimeumaliza, Imani Umeilinda

Pumzika Kwa amani,

R.I.P Mh. Benard Membe
Lowasa mjanja kama Putin ajichanganyi na watu hovyo hovyo. Ukiwa na appointment naye lazima uwe isolated for two weeks under close supavishen na kupimwa ndo utaonana.
 
Wapi nilishangilia? Nlimchukia JPM ila siku wanatangaza msiba niliumia sana. Ubinadamu ni zaidi ya siasa, ila haibadili ukweli kwamba impact ya msiba wa JPM haiwezi kuwa compensated na vifo vya raia wa kawaida!!
Acha kujifanya mwema leo yaani wewe ndio katibu wa kumdhihaki magufuli leo unajifanya mwema tutolee unafiki wako
 
Kama ulishindwa kung'amua maana ya huo msemo basi wewe ni kilaza kweli kweli, labda nikuulize swali ni mazingira gani yalisababisha Makamba akaropoka hiyo kauli?.
Maana ya Neno huwa kwa msemaji wa neno.

Sukuma gang hamkumuelewa Mzee Makamba au ni sababu ya chuki na nongwa tu?

Mbona ni msemo wa kawaida miongoni mwa wasomi na werevu?

Kwamba watu wema hawafi maana yake “ wanakuwa kama vile wamelala tu sababu matendo yao mema yanabaki kuishi”

Ni msemo wa kawaida miongoni mwa jamii ya waelewa.

Na unahamasisha watu kutenda mema ili wakifa yale matendo yao mema yatakuwa yakienziwa kana kwamba wapo hai.

Asomaye na afahamu.
 
Acha kujifanya mwema leo yaani wewe ndio katibu wa kumdhihaki magufuli leo unajifanya mwema tutolee unafiki wako
Poleni sana Sukuma gang but msiba wa JPM hauna compensation. Mkijitia moyo kwa vifo vya wastaafu ni kujilisha upepo tu. Mmeleta siasa za chuki wenyewe acheni mvune mlichopanda. Mpaka mfike 2025 mtakua mmegawanyika Ili mtupishe
 
Back
Top Bottom