zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
Shetani sababu ya Roho yake mbaya... Membe ni lini katumia madaraka yake kumuumiza mtu? JPM was a devil in disguise.Naona malaika ni huyo alijifia leo
[emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shetani sababu ya Roho yake mbaya... Membe ni lini katumia madaraka yake kumuumiza mtu? JPM was a devil in disguise.Naona malaika ni huyo alijifia leo
[emoji23][emoji23][emoji23]
Alipo tanganza atakuwa kampeni manager 2025 ulikuwa huja zaliwa!?Mbona akitangaza kuwa hayupo kwenye active politics baada ya uchaguzi otherwise angekula teuzi kitambo.
Nikimwaga wino mwekundu pale taifa alafu jioni tafrija!Mbona akitangaza kuwa hayupo kwenye active politics baada ya uchaguzi otherwise angekula teuzi kitambo.
Kwa hiyo siku zitto akifa tushishelekee kwa sababu ni mstaafuHao ni CCM wenzenu mie hainihusu ila Mimi nmekuja tu kukwambia kutafuta faraja ya kifo cha JPM kupitia misiba ya wastaafu ni kujidanganya tu.
Mnatia huruma sana nyie Wana CCM 😂😂
Aangesamehe asingekuwa na baya kama unavyo taka.Kati yao kuna mtu alikuwa na roho ya visasi...
Unakumbuka Nape alipokwenda kuomba radhi njia nzima anajifuta jasho...
Alipoambiwa kasamehewa alitama asujudu hadharani.
Membe apumzike kwa amani, hakuwa na baya na mtu...
Bado zamu yakoShetani sababu ya Roho yake mbaya... Membe ni lini katumia madaraka yake kumuumiza mtu? JPM was a devil in disguise.
Yeah Mimi nitakufa but Sina ubaya niliomfanyia mtu tofauti na huyo ibilisi wenu aliumiza wengi sana. Ni sawa Leo ushangilie kifo cha Lowassa?? Itasaidia Nini?kila mtu atakufa na ataoza hata wewe na huyo bwana wako zitto machunusi mtakufa na tutashelekea kama tunavyoshelekea leo 😂😂😂
Si ndio maana namuita kachero ni malaika aliejifia kizembe leo?Shetani sababu ya Roho yake mbaya... Membe ni lini katumia madaraka yake kumuumiza mtu? JPM was a devil in disguise.
Utasubiri sana, Kama Mungu hajaamua siwezi kuondoka mpaka nitimize kusudi langu hapa duniani.Bado zamu yako
Yeap tofauti Malaika huenda mbinguni ila shetani ni kuni huko motoni.Si ndio maana namuita kachero ni malaika aliejifia kizembe leo?
Kumbe shetani na malaika wote hufa!
[emoji23][emoji23][emoji23]
Mungu fundi
Duh! Umenifikirisha Sana wee jamaaKama wamemtanguliza watamfuata
Wewe kaa Kwa kutulia , lowasa akifa hakuna wa kushangilia Ila hlo genge lenu tutaendelea kuchinja mbuzi ikiwemo na wewe mnafiki ZittoYeah Mimi nitakufa but Sina ubaya niliomfanyia mtu tofauti na huyo ibilisi wenu aliumiza wengi sana. Ni sawa Leo ushangilie kifo cha Lowassa?? Itasaidia Nini?
Ilo furushi mnafukia liniHivi nyie wafuasi wa fuasi wa Magufuli kwani nyie hamta kufa?
Kila binadamu lazima afe na hata huyo Magufuli alikufa kwasababu ni binadamu
Na wewe ni mange!? Mange ni kichaa kama wewe poleUtasubiri sana, Kama Mungu hajaamua siwezi kuondoka mpaka nitimize kusudi langu hapa duniani.
Mange alitabiriwa vifo na mashehe Hadi akasomewa albadir vipi alikufa? Tusimpangie Mungu ndio maana Lissu yupo hai ila waliotaka kumuua ndio wametangulia
Mliwaambia wale wa Magufuli kuwa kama Wana uchungu sana waendelee Chato. Kuweni wapoleHeshimu utu wa mtu,ndio maana tamaduni zetu mwili unazikwa lakini nafsi yake inabakia kwa vipenzi wale wa karibu yake,ndio maana hata makaburi yanajengewa na kutunzwa
Campaign manager? nikadhani mgombea!!?Alipo tanganza atakuwa kampeni manager 2025 ulikuwa huja zaliwa!?
Hapo sasa ! Lakini tukirudi nyuma kidogo ni kwamba inasemekana Membe na JK ni pete na chanda ! Na pia inasemekana Mama na JK ni wamoja sasa hapo Musiba anapata ahueni ipi ??!!! Au hayo yanayosemwa ni uzushi tuu ??!!
Ila kwa hili ACT walipigwa 😂😂Nikimwaga wino mwekundu pale taifa alafu jioni tafrija!
[emoji23][emoji23][emoji23]Kachero aliwatia madole act hadi wakazidiwa na hashimu rungwe
Genge lipi? Mimi sipo CCM msinihusishe na chuki zenu.Wewe kaa Kwa kutulia , lowasa akifa hakuna wa kushangilia Ila hlo genge lenu tutaendelea kuchinja mbuzi ikiwemo na wewe mnafiki Zitto
Sio bado 3...BADO SISI WOTE njia ni hiyo..Wakati wa JPM mlishangilia Sasa hivi ndio mnataka tuwe pamoja[emoji23] gemu ndio limeanza Bado 3