Kama sina kazi nakula nn? Unajua binadamu tumepewa utashi lakin tuna uvivu wa kuutumia. Mimi naishi kama kawaida mipango inaenda. Ina maana kila siku lazma nile ninywe. Je kama sina kaz nakual nn?
Uko nje ya maana kabisaa, but sorry best.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Membe kafaaaaa jaman, hebu tuachee bhana wee. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kufa lazima, lakini nyie Magufuli alipokufa mlikenua meno yote mpaka la mwisho na vigelegele juu, mbona leo nyie inawauma? Au sisi tulizika tofali? Mnavyoumia nyinyi na sisi tuliumia hivyo hivyo kwahiyo kaeni kwa kutulia dawa iingie.
Msiba wao unaagwa karimjee hall kwa watu baadhi, akati JPM taifa zima lililia kwa mkapaa.

J4 ije haraka wamfukie mtu wao, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sio Musiba pekee yake, wako wengiiiiiii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu weuweeeeeeerrr
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…