Kwamba sisi hatujui lugha ya kiswahili hadi wewe ututafsirie jinsi upendavyo wewe. Yule shwaini ipo siku yake nae atakata moto na ntaagiza bapa kubwa na tonic baridiMaana ya Neno huwa kwa msemaji wa neno.
Sukuma gang hamkumuelewa Mzee Makamba au ni sababu ya chuki na nongwa tu?
Mbona ni msemo wa kawaida miongoni mwa wasomi na werevu?
Kwamba watu wema hawafi maana yake “ wanakuwa kama vile wamelala tu sababu matendo yao mema yanabaki kuishi”
Ni msemo wa kawaida miongoni mwa jamii ya waelewa.
Na unahamasisha watu kutenda mema ili wakifa yale matendo yao mema yatakuwa yakienziwa kana kwamba wapo hai.
Asomaye na afahamu.
OkayNimechanganya mdesa
Wazuri wanakufa na uzuri wao na makatili yanakufa na ukatili wao.Kwaiyo Wazuri awafi?
Punguza bangi mkuu, jumanne sio mbali zzk atakuambia chakufanya jiandae uende Londa.Shetani sababu ya Roho yake mbaya... Membe ni lini katumia madaraka yake kumuumiza mtu? JPM was a devil in disguise.
Unapigangana na makambaWazuri wanakufa na uzuri wao na makatili yanakufa na ukatili wao.
Anatoa tafsiri uchwara, wameanza kuwa wadogooooo, tutasikia tafsiri nyingi tu this time, [emoji23][emoji23].Kwamba sisi hatujui lugha ya kiswahili hadi wewe ututafsirie jinsi upendavyo wewe. Yule shwaini ipo siku yake nae atakata moto na ntaagiza bapa kubwa na tonic baridi
Wamelowa wamelowaaa, wamenyeshewa na mvuaaa 🤣🤣🤣Anatoa tafsiri uchwara, wameanza kuwa wadogooooo, tutasikia tafsiri nyingi tu this time, [emoji23][emoji23].
Wazuri hawafi bana 🤣🤣🤣Wazuri wanakufa na uzuri wao na makatili yanakufa na ukatili wao.
Apitishe mkeka, mimi nipo tayari kumchangia.Hela ya kukesha atatoa wapi?! Labda akope k-vant hadi asubuhi.
Maombolezo gani tena 😀 😀 😀 acheni watu wapige bapa jamani. Kuimba kupokezanaMsiba hauombolezwi kwa kukumbusha wengine misiba yao, lia utoe uchungu wote kifuani mwako, kuondokewa na jasusi ni msiba mzito lia lia kifua kiwe chepesi, ni wakati wa maombolezo
Wakati mnazodoa mwili wa Magufuli hamkuyajua hayo?
Njoo tunywe bia hapa dogo.
Hahahah ni vizuri wakaendeleza ushamba pale mlipoishia nyie baada ya tarehe 17 machi 2021.Sukuma Gang mna mambo ya kishamba na kijima sana
I'm not in ACT....so huo msiba haunihusu kabisa.Punguza bangi mkuu, jumanne sio mbali zzk atakuambia chakufanya jiandae uende Londa.
Poleni sana Sukuma gang naona mmepata pa kujiliwaza Leo 😂😂. Ila ndio hivo ibilisi hawezi fufuka Tena it's over.Devil mama yako mbwa mkubwa.
We umeanza kumjua baada ya kustaafu kumbe 🤣Kwan membe naye alifanya ukatili?
Hahahahhahaa, mwenyewe nimecheka sanaaaaa[emoji38][emoji23][emoji23], Kaka nimecheka kifala aisee