Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata za Membe ni lazima zilipwe kwa familia !Musiba atakuwa na smiling face siku ya leo.
Lakini Shangazi bado yupo na anadai zile 2B+
Atanyolewa tu in any way.
Aliyewahi kuwa waziri wa mambo ya Nje kwenye Serikali ya awamu ya nne, Benard Membe amefariki Dunia. Taarifa za awali zinaeleza Membe alipata changamoto ya Kifua na kupelekwa Hospitali ya Kairuki alfajiri ya leo May 12, 2023 na baadaye kufariki.
Benard Membe alipata kuwa mbunge wa Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia jimbo la Mtama na alihitimisha safari hiyo mwaka 2015 na kujaribu kuwania tiketi ya kuwania nafasi ya Urais kupitia chama cha mapinduzi(CCM), tiketi ambayo alipewa hayati John Magufuli.
Mwaka 2018 aliandikwa na gazeti la Tanzanite akituhumiwa kuweka ajenda ya kutaka Rais Magufuli asipewe nafasi ya kuwania Urais 2020, ambapo alifungua kesi ya madai ya kuchafuliwa na kushinda kesi hiyo, alikazia hukumu iliyomtaka mmiliki wa gazeti la Tanzanite, Cyprian Musiba alipe Tsh. bilioni 9 ndani ya siku 14.
Kifua Kwa muda mfupi eehh !!! Tayari!!.Taarifa za hivi punde zinasema Benard Memba aliyewahi kua Waziri wa Mambo ya nje amefariki Dunia katika hospital ya Kairuki alipopelekwa baada ya kuugua kifua kwa muda mfupi.
Souce: ITV
Kwani WEMA NAO HUFARIKI?Aliyewahi kuwa waziri wa mambo ya Nje kwenye Serikali ya awamu ya nne, Benard Membe amefariki Dunia. Taarifa za awali zinaeleza Membe alipata changamoto ya Kifua na kupelekwa Hospitali ya Kairuki alfajiri ya leo May 12, 2023 na baadaye kufariki.
Benard Membe alipata kuwa mbunge wa Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia jimbo la Mtama na alihitimisha safari hiyo mwaka 2015 na kujaribu kuwania tiketi ya kuwania nafasi ya Urais kupitia chama cha mapinduzi(CCM), tiketi ambayo alipewa hayati John Magufuli.
Mwaka 2018 aliandikwa na gazeti la Tanzanite akituhumiwa kuweka ajenda ya kutaka Rais Magufuli asipewe nafasi ya kuwania Urais 2020, ambapo alifungua kesi ya madai ya kuchafuliwa na kushinda kesi hiyo, alikazia hukumu iliyomtaka mmiliki wa gazeti la Tanzanite, Cyprian Musiba alipe Tsh. bilioni 9 ndani ya siku 14.
Ametuachia Somo la Kusamehe,
Apumzike pahala pema alipo,
Mavumbini tulitoka,
Mavumbini tutarejea.
Mimi binafsi siamini sana hizi kesi. Kabla hata membe hajafa leo, mbona zile siku 5 zilishapita muda mrefu Ila mali hazikupigwa mnada?Musiba atakuwa na smiling face siku ya leo.
Lakini Shangazi bado yupo na anadai zile 2B+
Atanyolewa tu in any way.
Nani atanunua tena mali ya Musiba? Huo mnada ushakuwa kimavi!Bush lawyer, pesa za marehemu ni mirathi ya familia, vitu vikipigwa mnada pesa inakwenda kwenye account ya mahakama, baada ya mirathi Msimamizi wa mirathi anajaza fomu ya kugawanya pesa za marehemu zilizopo kwenye bank zote kwa wanufaika wa mirathi.
Endeleeni kudanganyana, Membe amejenga msingi mzuri wa kuwatia adabu waropokaji wote.
Hela zake sasa,,Aliyewahi kuwa waziri ww mambo ya Nje ushirikiano wa kimataifa Benard Camillius Membe amefariki dunia Leo asubuhi katika hospital ya kairuki mikocheni jijini Dar es salaam