TANZIA Bernard Kamilius Membe afariki dunia
[emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi nikajua nina furaha peke yangu

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
 
Membe amezaliwa mwaka 1953 na amefariki mwaka 2023, ni miaka 70 net.

Huyo tayari amekula chumvi na anaweza kufa kwa pressure tu katika umri huo, na ni bora ufe kuliko pressure ikuletee major stroke ni mateso matupu kwako na familia yako, unaanza kuhudumiwa kama mtoto Mchanga kubadilishwa pampas na kulishwa.

Kwa tuliopoteza wapendwa wetu kwa maumivu makali, Membe amekufa kifo chema bila mateso wala familia kuteseka.

Ni unafki tu unatusumbuwa lakini wengi tunatamani mwisho mwema kama wa Membe, ni wachache wanaopata bahati hiyo.

Mabere Marando yupo hai lakini ni sawa na mfuko tu, sasa yote ya nini hayo?
Leo utakesha Jeiefuu kuandika uharo, mmekula chuma kizito, ombolezeni life liendelee gadeeem, rithi sasa hizo b 9
 
Inawezekana ni natural death.
changamoto ya kifua ilisababishwa na shambulio la moyo(myocardial infarction),akapata shida kwenye mfumo wa umeme wa moyo(ventricular fibrillation, Asystole,PEA ama ventricular tachycardia),aka collapse(Cardiac arrest).
Madaktari wakajaribu resuscitation,ikashindikana.
Miaka sabini ni mingi.Ni kawaida kwa umri huu kuwa na magonjwa ya moyo,mishipa ya damu ya moyo,shinikizo la damu nk
 
MM mwenyewe nimebanwa na mbavu wiki ya jana si mchezo nimepata homa ya mafua yaani balaa na wala sijaenda hospital zaidi ya kupiga nyungu tu leo ndo afadhali ila itabidi niende hospital maana naona hali si hali
Pole sana...

Watu hawajui tu but COVID-19 is back... tusijisahau!
 
Ngoja tuishie apo maana hakukua na maana yoyote ya kuja Kuni attack kwenye comment yangu
Hivi unajua maana ya attack? Umesema kafariki ghafla,nikakuuliza ilitakiwa afariki lini ili wewe usione kua ni ghafla? Badala ya kujibu swali ukaja na ngonjera sijui za kulaumu baadhi ya member wa jf!

Acha kutafuta huruma kwa kujifanya victim.
 
View attachment 2618772

Aliyewahi kuwa waziri wa mambo ya Nje kwenye Serikali ya awamu ya nne, Benard Membe amefariki Dunia. Taarifa za awali zinaeleza Membe alipata changamoto ya Kifua na kupelekwa Hospitali ya Kairuki alfajiri ya leo May 12, 2023 na baadaye kufariki.

Benard Membe alipata kuwa mbunge wa Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia jimbo la Mtama na alihitimisha safari hiyo mwaka 2015 na kujaribu kuwania tiketi ya kuwania nafasi ya Urais kupitia chama cha mapinduzi(CCM), tiketi ambayo alipewa hayati John Magufuli.

Mwaka 2018 aliandikwa na gazeti la Tanzanite akituhumiwa kuweka ajenda ya kutaka Rais Magufuli asipewe nafasi ya kuwania Urais 2020, ambapo alifungua kesi ya madai ya kuchafuliwa na kushinda kesi hiyo, alikazia hukumu iliyomtaka mmiliki wa gazeti la Tanzanite, Cyprian Musiba alipe Tsh. bilioni 9 ndani ya siku 14.
IMG_6779.jpeg
 
Membe mwenyewe alishindwa kupambana na musiba, siku 5 za mnada zilipita ila akashindwa kukazia hukumu. Hao waliobaki sidhani kama Wataweza kitu, nahisi kuna nguvu isiyoonekana nyuma ya musiba
Mbona unang'ang'ana sana na siku tano. Kwani Membe hakuwa na hela ya kula mpaka akadai hiyo hela ndani ya siku tano, au kuna sheria inalazimisha udai ndani ya siku hizo. Angesubiri hata mwaka angedai
 
Back
Top Bottom