ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,753
- 9,575
itabidi mkuu maana hali naona siielewi au korona imerudi bila kujuaAisee pole sana wahi matibabu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
itabidi mkuu maana hali naona siielewi au korona imerudi bila kujuaAisee pole sana wahi matibabu
Mimi nikajua nina furaha peke yangu[emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Leo utakesha Jeiefuu kuandika uharo, mmekula chuma kizito, ombolezeni life liendelee gadeeem, rithi sasa hizo b 9Membe amezaliwa mwaka 1953 na amefariki mwaka 2023, ni miaka 70 net.
Huyo tayari amekula chumvi na anaweza kufa kwa pressure tu katika umri huo, na ni bora ufe kuliko pressure ikuletee major stroke ni mateso matupu kwako na familia yako, unaanza kuhudumiwa kama mtoto Mchanga kubadilishwa pampas na kulishwa.
Kwa tuliopoteza wapendwa wetu kwa maumivu makali, Membe amekufa kifo chema bila mateso wala familia kuteseka.
Ni unafki tu unatusumbuwa lakini wengi tunatamani mwisho mwema kama wa Membe, ni wachache wanaopata bahati hiyo.
Mabere Marando yupo hai lakini ni sawa na mfuko tu, sasa yote ya nini hayo?
Hamna kitu.Chezea wajita
Unauliza majibu..))Shangazi amekutaarifu hivyo
Wakati alidhulumu uchaguzi na kuingiza wabunge feki 19 Bungeni kwa rushwa ya ngono wakishirikiana yeye na Job Ndugai.Aliaambiwa asamehe akagoma,amekufa na chuki+hasira,
Hayati Magufuli aliwasamehe, alikwemda salama
Shangazi yako mwambie apige jalambaMusiba atakuwa na smiling face siku ya leo.
Lakini Shangazi bado yupo na anadai zile 2B+
Atanyolewa tu in any way.
JPM yupo binguniCha msingi akutane na JPM amuonyeshe location yake huko aliko.
Pole sana...MM mwenyewe nimebanwa na mbavu wiki ya jana si mchezo nimepata homa ya mafua yaani balaa na wala sijaenda hospital zaidi ya kupiga nyungu tu leo ndo afadhali ila itabidi niende hospital maana naona hali si hali
Hivi unajua maana ya attack? Umesema kafariki ghafla,nikakuuliza ilitakiwa afariki lini ili wewe usione kua ni ghafla? Badala ya kujibu swali ukaja na ngonjera sijui za kulaumu baadhi ya member wa jf!Ngoja tuishie apo maana hakukua na maana yoyote ya kuja Kuni attack kwenye comment yangu
Wakati alidhulumu uchaguzi na kuingiza wabunge feki 19 Bungeni kwa rushwa ya ngono wakishirikiana yeye na Job Ndugai.
View attachment 2618772
Aliyewahi kuwa waziri wa mambo ya Nje kwenye Serikali ya awamu ya nne, Benard Membe amefariki Dunia. Taarifa za awali zinaeleza Membe alipata changamoto ya Kifua na kupelekwa Hospitali ya Kairuki alfajiri ya leo May 12, 2023 na baadaye kufariki.
Benard Membe alipata kuwa mbunge wa Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia jimbo la Mtama na alihitimisha safari hiyo mwaka 2015 na kujaribu kuwania tiketi ya kuwania nafasi ya Urais kupitia chama cha mapinduzi(CCM), tiketi ambayo alipewa hayati John Magufuli.
Mwaka 2018 aliandikwa na gazeti la Tanzanite akituhumiwa kuweka ajenda ya kutaka Rais Magufuli asipewe nafasi ya kuwania Urais 2020, ambapo alifungua kesi ya madai ya kuchafuliwa na kushinda kesi hiyo, alikazia hukumu iliyomtaka mmiliki wa gazeti la Tanzanite, Cyprian Musiba alipe Tsh. bilioni 9 ndani ya siku 14.
Mbona unang'ang'ana sana na siku tano. Kwani Membe hakuwa na hela ya kula mpaka akadai hiyo hela ndani ya siku tano, au kuna sheria inalazimisha udai ndani ya siku hizo. Angesubiri hata mwaka angedaiMembe mwenyewe alishindwa kupambana na musiba, siku 5 za mnada zilipita ila akashindwa kukazia hukumu. Hao waliobaki sidhani kama Wataweza kitu, nahisi kuna nguvu isiyoonekana nyuma ya musiba
Kamati boss wanguDuh! Mbona ghafla aisee [emoji15]
Muda wa kukata rufaa ni Upi?Huwa wanaacha kwanza hadi muda wa kukata rufaa upite.