TANZIA Bernard Kamilius Membe afariki dunia
Kufa ni kufa tu death is a necessary end. Ugombane usigombane ushangilie usidhangilie unune usinune death will come when it will.
Sijui hii kitu watu watajua lin au nikujitoa akili tu,sasa km Mungu anahusika kwny hiv vifo vya kina Membe?! Vip kuhusu wagonjwa wanaokufa kila siku?! Vip wanaokufa vitani uko?!!

Wazee,msipende kushabikia vifo vya watu wengne,wala kujihesabia haki kwakua mko hai..

Huu ni ujinga na ukosaji wa maarifa kujua kifo kinamuhusu kila mtu
 
Makamba alinukuliwa hivi karibuni akijinasibu eti wema huwa hawafi kwa nia njema kabisa ni bora aombe msamaha kwa kauli ile ya kifedhuri na iliyokuwa imejaa masimango kwa familia moja iliyokuwa imempoteza mpendwa wao.

Leo naona anashuhudia mmoja wa waliopata kutoa kauli tata kama yake baada ya kifo cha JPM anavyonangwa bila kujali kama kafa!

Nape naye alipata kutoa kauli tata ya eti Mungu aliamua ugomvi.

Jamani, kauli zenu hizo ziombeeni msamaha kabla umauti haujawakuta ili mkwepe cheko kama analochekwa mwendazake BM.

Mungu fundi.
 
Bush lawyer, pesa za marehemu ni mirathi ya familia, vitu vikipigwa mnada pesa inakwenda kwenye account ya mahakama, baada ya mirathi Msimamizi wa mirathi anajaza fomu ya kugawanya pesa za marehemu zilizopo kwenye bank zote kwa wanufaika wa mirathi.

Endeleeni kudanganyana, Membe amejenga msingi mzuri wa kuwatia adabu waropokaji wote.
What if.. na warithi wakaonja mauti ... kabla ya deni kulipwa?
 
Usilipize ubaya kwa ubaya ndugu yakupasa uwaombee wale wanaobehave kama wanyama kitu pekee kinachotutofautisha binadamu na wanyama ni uwezo wa kutambua mema na mabaya vinginevyo tutakuwa hatuna tofauti na punda.
Hata tuwe ngedere waache wanywe mvinyo walioutengeneza wenyewe, [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] unyama unyamani
 
Kama taifa inabidi ifike hatua tusameheane na tusonge mbele kama wamoja. Na maridhiano ya Mbowe na Mama Samia ni mahali pazuri pa kuanzia japo wengine wanayapinga. Vinginevyo, kama taifa, tunakoelekea siyo kuzuri...
Hakuna kusamehe. Waliowaliza watanzania lazima tuwafukie roho zetu zipate amani
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dear huna kazii??
Kama sina kazi nakula nn? Unajua binadamu tumepewa utashi lakin tuna uvivu wa kuutumia. Mimi naishi kama kawaida mipango inaenda. Ina maana kila siku lazma nile ninywe. Je kama sina kaz nakual nn?
 
Back
Top Bottom