Tetesi: Bernard Kamilius Membe Meets CHADEMA top officials, The 2020 election tops the agenda

Mpwa usiwaamini CCM
 
Hapa wakimpitisha huyu agombee nitaamini kuwa mwenge wa uhuru umekuja kutufanya Watazania tutawaliwe na CCM milele
Hahahaaaa, ila Mwamba ukiwa na mpunga wa kutosha lazima akupitishe na kama wewe ni fisadi au jambazi ni lazima atakusafisha kwa nguvu zake zote.
 
Bwana Member kiu yake Ni kugombea uraisi ili naye awepo kwenye historia ya waliowahi kugombea uraisi. Vinginevyo Jana jipya
 
Hizo ni mbwembwe tu, membe hawezi kwenda huko na kuacha chama chake cha ACT alichokianzisha akiwa serikalini kwa lengo la kuvuruga upinzani.
 
Chadema wajue msemo wa Kiswahili usemao KUFANYA KOSA SI KOSA: KOSA KURUDIA KOSA!!! Mkirudia kosa mlilofanya na Lowassa huo ndio mwisho wa chama chenu!
Wakikosea si ndio faida kwenu, inaonekana kuumia sana
 
Chadema wakimpitisha Membe kuwa mgombea nashauri tutafute consultant wakupima uwezo wa kufikiri wa wajumbe wa kamati kuu
 
Mkuu ushaambiwa hii lugha haitufai ona Sasa hatuwezi kuchangia
 
Thank you on the same page regarding this issue.

Another great mistake, if we could not learn from 2015 election, we will never learn

Mbowe should never trust Membe in either ways
 
Hawa viongozi waliokataliwa ccm kwa nini wanadhani kuwa ni lazima waendelee na uongozi wa vyama? Wajifunze kustaafu!
 
Sidhani kama ni kweli
 
Mkuu kama kusoma hujui hata picha ya mleta mada huoni.

 
Twende na Membe, his political ideologies has been strongly predictable during the past four plus years. He has been a strong critic of undemocratic governance by president Magufuri unlike the former mercenary former prime minister a.k.a manywele, who was cunning and hypocritical during ccm-cdm like crossing period, during the electoral campaigns and more so there after.
 
Kama ni kweli, itabidi BM azunguke mikoa yote bara na visiwani kuomba ridhaa ya wanachadema kabla ya kupitishwa na kamati za chama,
 
Habari yenu inakwisha mwaka huu. Jipange kuhamia act etc
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…