Tetesi: Bernard Kamilius Membe Meets CHADEMA top officials, The 2020 election tops the agenda

Tetesi: Bernard Kamilius Membe Meets CHADEMA top officials, The 2020 election tops the agenda

Mkuu moja ya vitu anavyojivunia Mbowe ni kuwa na wafuasi aina ya Salary slip

Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
Ni wabishi na supporter wa kila ujinga wa cdm iwe kweli au uongo na ndio wanaotumika kusambaza upumbavu humu jf bila hata ya kupima ukweli. Ni kama wale wa ccm tu. Wanatakiwa kujifunza kufikiri kwa akili zao lakini wapiiiiii. Juu wametoa zao wameweka za Lema na Lisu zoa wameweka matakoni. Chama kina yumba sababu ya qatu kama hawa. Kulikuwa na sababu gani kumuingiza lowasa na watu wake kipindi kile? Leo wapo wapi.? wametutoa sisi waona mbali.
Tuombe Mungu hili suala lisiwe la kweli. Kama ni kweli, naona mwisho wacdm baada ya uchaguzi, kitakuwa kama tadea tu.
 
Pesa za Manji zinapagawisha Mbowe. Membe na Manji wanajitahidi sana wapate nafasi ya kuwa Rais. Mtu yeyote kwenye arufu za pesa wanatafuta hizo pesa. MWAMBA VIPI HAPO
The matter is already set. The computers in the so called Tume ya uchaguzi has been set to read that Magufuli is a winner by more than 80%. Be Membe or Lissu thats the fact. Myadvice is to think what will be the aftermath of that announcement at that time. What opposition is gonna do. Pre-plan your cause of action now. If need it be, be proactive. Either all important Cdm cadres to vie for mp position Lissu included or if Membe will easy getting more mp, just put him there. It is true that Lowasa helped much on that.
 
Why don't you call him, and ask him to join UDP, since UDP is an opposition party as well? Then he can implement what you are trying to address in here. Or your science works only in certain political parties?
Personal!
 
Membe couldn't even mount a challenge on January makamba, let alone a gaping margin between him and JPM. What convinces you he can be a force to reckon with this elections relative to Tundu Lissu's political might?

I believe with Lissu, the election campaigns will be explosive as the 2010 era. Membe is too dented and not a threat anymore and lacks a political base.

Membe is not popular in CCM neither opposition, I don't see where he can get his votes from. Let's be realistic here,to CCM; Lissu is more damaging than Membe.
In terms of ballot results, vibrant inept politics isn't synonymous to carefully planned election victory. Be careful
 
Kumbuka ccm inaungwa mkono wa watu wasiojua kusoma, mbumbu, wajinga, wapiga makofi na wanaosapoti kila ujinga wa miaka zaidi ya 50. So sidhani kama wanaweza kuandika kiingereza 😎😎😎🤣🤣🤣.
Hili bandiko litakuwa la wanacdm wenye mashaka na wasiopenda membe aje ili kuficha aibu ya mwaka 2015.
Hili ni bandiko la CDM kwa 100% coz ndio wasomi pekee hapa nchini.

Duuu mkuu, hata kama ni mahaba sio kwa maelezo haya.
 
Narudia kusema tena Dr Slaa ana kipaji cha kuteka hisia za walalahoi awapo jukwaani....

Tundu Lissu Hana kaliba hyo ya Dr Slaa...

Tundu Lissu ana kaliba ya kuliteka BUNGE aongeapo vifungu vya sheria KIPROFESHENI ama awapo MAHAKAMANI...

Tundu Lissu Hana kaliba aliyonayo Magufuli ya kuwateka kihisia walalahoi wanaomsklza akiwa jukwaani...

SIMUONI LISSU AKIMSUMBUA MAGUFULI majukwaani zaidi ya kutaka HURUMA NA KULIALIA TU....
Ingizo jipya ulikuwa hujazaliwa, hayo tuachie vijeba.
 
Peni bwana,Chadema waliingia makubaliano na wenzao ktka vpngl hv;
1.WAACHIANE MAJIMBO

Wakakaidi majimbo mengi tu....

2.WAGAWANE RUZUKU ITAKAYOPATIKANA KWA SABABU YA IDADI YA WABUNGE BUNGENI KWA HUYO MGOMBEA MMOJA LOWASSA

Wakawachinjia wenzao baharini bila kuwagawia hta Senti 5.

SIUONI MUUNGANO WA VYAMA VIKUU VYA UPINZANI NA CHADEMA labda mh.Mbowe ajiunge na mwanasheria HASHIM RUNGWE,ADC na Yule mzaramo mvaa bereti nyekundu😂😂🤣🤣
Hoja ya msingi ni hiyo moja tu, usiipindishe kukidhi matakwa yako.

CCM kuangushwa chini safari hii hailazimu pawepo na hayo unayoyawazia na kuyatamani wewe.

Vyama vya upinzani vipo viwili tu sasa hivi, sioni ugumu wowote wa kukubaliana katika baadhi ya mambo ili kuikabili CCM hii. Muungano wa vyama hauna lazima yoyote, na kwa hakika nawashauri wasifanye hivyo kwa sababu hiyo ndiyo njia itakayowadhoofisha.
 
Kufanya kosa si kosa. Kosa ni kurudia kosa. Kumbuka Wahenga walisema, Usiache mbachao kwa msala upitao.
 
Kama haya ni ya kweli,sitashangaa kuona baadhi ya watu wakijiondoa CHADEMA unless wanakubaliana bila wengine kuwa vinyongo.

CHADEMA na wapinzani kwa ujumla,waangalie wananchi wanamtaka nani na si wao wanamtaka nani.

Wasisahau siasa za hamahama na yaliyofanywa na Lowassa bado yako katika fikra za watu ingawa kweli Membe anaweza asiwe kama Lowassa na kina Sumaye na wengineo, ila tatizo ni wananchi watamuamini Membe?
sure chadema ina watu makini ambao wameumia kwa ajili ya chama ,membe ndio anafaa but sio wakati wake mwaka huu kugombea uraisi pitia chadema ila ni wakati wakuwapa mbinu za ushindi chadema lakini kua waziri mkuu atafaa au muandaeni kama mtu wa pili endapo mgombea wenu atawekewa vikwazo, hata hivyo inawezekana mkikamata dora basi mgombea wenu akaaa miaka mitano then akaingia yeye ili kumpumzisha kulingana na afya yake but chedema mkifanya makosa hapa kidogo mwafa
 
Hata wakati wa Lowassa hadithi zilikuwa hizi hizi. Mnadhani tumesahau. Ngoja wakosee wamteue Membe uone jinsi wapiga kura wa upinzani watakavyokuwa wachache. Kwenye hili sisi wafuasi ndio wenye maamuzi na sio vinginevyo.
Yah right. Pamoja na rafu zote zile Magufuli aliambulia 58 %. Sasa sijui unawabeza kwa lipi hasa.....!!?
 
Kama haya ni ya kweli,sitashangaa kuona baadhi ya watu wakijiondoa CHADEMA unless wanakubaliana bila wengine kuwa vinyongo.

CHADEMA na wapinzani kwa ujumla,waangalie wananchi wanamtaka nani na si wao wanamtaka nani.

Wasisahau siasa za hamahama na yaliyofanywa na Lowassa bado yako katika fikra za watu ingawa kweli Membe anaweza asiwe kama Lowassa na kina Sumaye na wengineo, ila tatizo ni wananchi watamuamini Membe?
Subirini muwekewe kapi tu,hamna ubavu wa kupinga
 
Kumbuka ccm inaungwa mkono wa watu wasiojua kusoma, mbumbu, wajinga, wapiga makofi na wanaosapoti kila ujinga wa miaka zaidi ya 50. So sidhani kama wanaweza kuandika kiingereza 😎😎😎🤣🤣🤣.
Hili bandiko litakuwa la wanacdm wenye mashaka na wasiopenda membe aje ili kuficha aibu ya mwaka 2015.
Hili ni bandiko la CDM kwa 100% coz ndio wasomi pekee hapa nchini.
Siyo kweli kwamba CCM inaungwa mkono na hayo magroup uliyoyataja .... Nguvu yao iko kwenye Police, Tume na UWT.

Teuzi zinazo endelea sasa zina maana yake..!!
 
Yah right. Pamoja na rafu zote zile Magufuli aliambulia 58 %. Sasa sijui unawabeza kwa lipi hasa.....!!?

Chama kama chama kingeweza kupata hata zaidi ya hizo % bila hata huyo muhuni wa ccm.
 
Kufanya kosa si kosa. Kosa ni kurudia kosa. Kumbuka Wahenga walisema, Usiache mbachao kwa msala upitao.
Kwi kwi kwi eti "kuwa waziri mkuu atafaa".....
Siku moja Mimi na mwanangu mwenye miaka 5 tulipita pale ilipo BOT,dogo akaliangalia jengo pacha kwa muda mrefu,baada ya kupita wiki na wikiendi moja mchana akanieleza kuwa ameota nyumba yetu tumeibomoa na kuwa km lile jengo pacha....
Nikacheka sanaaaaaa,Almanusra NIUNGUZE Al Kasus ninayoitembeza mitaani hapa Tandale!!
 
Mkuu hayo ndio maneno ya kejeli za wafuasi vi
Siyo kweli kwamba CCM inaungwa mkono na hayo magroup uliyoyataja .... Nguvu yao iko kwenye Police, Tume na UWT.

Teuzi zinazo endelea sasa zina maana yake..!!
Mkuu, hizo ndizo kejeli na matusi kutoka kwa wafuasi vipofu na viziwi wa cdm wasiopenda kuambiwa ukweli hata pale viongozi wanapo kosea. Sio kwamba nawadhiahaki ccm ila nawaonea huruma hao cdm wasiopenda ukweli. Ni nani asiyejua madhara ya kuyumba kwa sera na misimamo ya hiki chama hasa kipindi cha uchaguzi wa 2015? Napenda upinzani wenye misimamo hasa kabla ya kuwaalika kina lowasa na wenzake.
 
Siyo kweli kwamba CCM inaungwa mkono na hayo magroup uliyoyataja .... Nguvu yao iko kwenye Police, Tume na UWT.

Teuzi zinazo endelea sasa zina maana yake..!!
Hilo bandiko leo wanasema limeandikwa na ccm. Hawahawa wanaosemwa kuwa hawajui, hawajitabui, hawajasoma na mbumbu. Siku zote, ukiwashinda kwa hoja cdm, hayo ndio matusi na kejeli zao bila ya kufikiria kile kinachoandika. Ni watu ambao hawataki challenge. Ukiwa unahoja ya kuwashinda, utaitwa kada wa kijani, nzi wa kijani, msaliti, mbumbu. Sasa najiuliza, kweli wasiosoma na wajinga wanaweza kuandika kiingereza?
 
Huyo jamaa anacheza mind games, uzi wenye maudhui kama haya uliletwa asubuhi hapa jukwaani kwa lugha ya kiswahili, kisha ukaondolewa. Naona huyu kauleta kwa lugha ya kiingereza, lakini wote wanaoleta uzi wenye maudhui haya ni wanaccm. Bila kujali ni ukweli au uongo. Tunawakanya viongozi wa cdm kutokurudia kosa la Lowassa, kwa utetezi wa aina yoyote ile. Lisu ndio chaguo letu, na iwapo atawekwa jela, ni bora hata tumpigie kura akiwa jela kwa njama za ccm. Tujikite zaidi kudai tume huru ya uchaguzi, kuliko kuokoteza hao wazee wa ccm kwa mtindo ule ule.

CHADEMA waachane na Membe. Huyu ni Lowasa mwingine. Aingie CHADEMA kama mwanachama wa kawaida. URAIS 2020 tunaenda na Tundu Lissu.
 
Back
Top Bottom