Tetesi: Bernard Kamilius Membe Meets CHADEMA top officials, The 2020 election tops the agenda

Tetesi: Bernard Kamilius Membe Meets CHADEMA top officials, The 2020 election tops the agenda

Kwa hali ilivyo, Membe ataisaidia sana CHADEMA ukilinganisha na Lisu . Ana faida nyingi.
Kwanza ni ukomavu wa kisiasa hivyo kuaminika yaani kutokuwa na mihemko.
Pili ...Membe anatoka CCM chama hivyo kukigawa

Hata wakati wa Lowassa hadithi zilikuwa hizi hizi. Mnadhani tumesahau. Ngoja wakosee wamteue Membe uone jinsi wapiga kura wa upinzani watakavyokuwa wachache. Kwenye hili sisi wafuasi ndio wenye maamuzi na sio vinginevyo.
 
Kama haya ni ya kweli,sitashangaa kuona baadhi ya watu wakijiondoa CHADEMA.

CHADEMA na wapinzani kwa ujumla,waangalie wananchi wanamtaka nani na si wao wanamtaka nani.

Wasisahau siasa za hamahama na yaliyofanywa na Lowassa bado yako katika fikra za watu, ingawa kweli Membe anaweza asiwe kama Lowassa na kina Sumaye na wengineo, ila tatizo ni wananchi watamuamini Membe?
Hii yote ni michezo ya ccm chadema wanaijua vizuri,labda aende nccr au tlp,
Mgombea wa chadema ni Lissu pekee ndie anaeweza pambana na ccm,
 
Hii yote ni michezo ya ccm chadema wanaijua vizuri,labda aende nccr au tlp,
Mgombea wa chadema ni Lissu pekee ndie anaeweza pambana na ccm,
Chadema ikimchukua membe itanufaika na Kugawa kura za CCM.
Membe ataipa Chadema kura na majimbo ya kusini .Ikumbukwe Membe anasikilizwa Linda na Mtwara Chadema haina nguvu sana huko.
Membe hana kesi ama tuhuma nyingi kama Lisu .Lisu .

Lisu ataogopwa kwa maana ya visasi.

Membe ana umri safi kuliko Lisu ametulia.
 
Kama haya ni ya kweli,sitashangaa kuona baadhi ya watu wakijiondoa CHADEMA.

CHADEMA na wapinzani kwa ujumla,waangalie wananchi wanamtaka nani na si wao wanamtaka nani.

Wasisahau siasa za hamahama na yaliyofanywa na Lowassa bado yako katika fikra za watu, ingawa kweli Membe anaweza asiwe kama Lowassa na kina Sumaye na wengineo, ila tatizo ni wananchi watamuamini Membe?

Vyovyote wafanyavo watabaki tu,
Sanasana wakimuacha lisu kidogo watabaki wamoja hata wakishindwa ila kwa membe watavurugana.
 
Tundu is is not that much popular inside party inner circles!!!

He is only supported by internet keyboard warriors who are nobody's in Chadema politics and decision making!!

Anyway what you are trying to portray is you want to show that Tundu Lisu is a presidential material inside Chadema but you are wrong

If Lisu was a presidential material he could have got support from all Central committee members but they have decided to take presidential nomination form to challenge him openly!!

Mbowe , Nyalandu and Msigwa all are Central committee members who know what is what inside Chadema bedroom that is why they have come out to challenge Tundu Lisu.A thing that is an open signal that inside things are not as they are potrayed outside!!!

Tundu is trying to paint a faint fake picture in social networks that he is the Chadema choice!!! But the truth he is not

Tundu Lisu is operating in the airwaves where there are not decision makers while his fellows operate on the ground where there are decision makers and rub shoulders with them and drink coffee with them
We all know that you are senior cheap, poor minded ccm propagandist, we can't believe any opinions from you on Chadema. With all due respect please stay away from a competent, ethical and surprisingly Chadema candidate Mr. Tundu Lissu.
 
Chadema ikimchukua membe itanufaika na Kugawa kura za CCM.
Membe ataipa Chadema kura na majimbo ya kusini .Ikumbukwe Membe anasikilizwa Linda na Mtwara Chadema haina nguvu sana huko.
Membe hana kesi ama tuhuma nyingi kama Lisu .Lisu .

Lisu ataogopwa kwa maana ya visasi.

Membe ana umri safi kuliko Lisu ametulia.
Lissu ni matured hawezi lipiza kisasi
 
Hii yote ni michezo ya ccm chadema wanaijua vizuri,labda aende nccr au tlp,
Mgombea wa chadema ni Lissu pekee ndie anaeweza pambana na ccm,

Uzuri viongozi wote wa cdm wanaona vyema maoni yetu sisi wafuasi wao humu mitandaoni. Tulio wengi hatumtaki mtu yoyote tena toka ccm, na wala Mbowe, Msingwa,Nyalandu nk, hakuna anayekubalika zaidi ya Tundu Lisu. Hivyo ni juu yao kufanya maamuzi kutokana na mitazamo ya sisi wapiga kura wao, na sio kinyume chake.

Ifahamike cdm haitakufa kwa kukosa kutangazwa washindi kwenye box la kura, kwakuwa Magufuli anatumia madaraka yake vibaya kunajisi box la kura, bali cdm itadhoofika kwa kuokoteza mgombea wa aina ya Lowassa, tena kwa mtindo ule ule wa vodafasta.
 
Kwa hali ilivyo, Membe ataisaidia sana CHADEMA ukilinganisha na Lisu . Ana faida nyingi.
Kwanza ni ukomavu wa kisiasa hivyo kuaminika yaani kutokuwa na mihemko.
Pili ...Membe anatoka CCM chama hivyo kukigawa
Vyama vya upinzani vinapaswa kumsimamisha mtu ambae amethibitisha ni mpinzani hasa, mtu ambae amesimama kidete kusimamia kile ambacho chama chake kinaamini. Sio lazima awe Tundu Lissu au Maalim Seif. Na sio lazima viungane na vimsimamishe mmoja. Kwa bahati mbaya mgombea anayetoka katika Chama Tawala katika dakika za mwisho atakuwa na wakati mgumu kueleza umma kwa nini anadhani Chama hicho hakistahili kuendelea kushika dola. Mtu kama huyo anatakiwa akae kwenye chama chake kipya kwa muda ili aweze kuwathibitishia wenzake kwamba yuko nao kwa dhati kabla hawajampa nafasi yeyote ya uongozi.

Amandla...
 
Ukitaka kumuua kobe, ni lazima umpigie hesabu muda ambao atakitoa kichwa chake ndani ya gamba lake. Haijalishi silaha ambayo utaitumia, isipokuwa ni kutaka matokeo chanya tu. Kiwewe cha Membe kimeshashika mtu pabaya, sasa hivi ni tengua, lazimisha watu kustaafu kisha kuteua tu.
 
Kama haya ni ya kweli,sitashangaa kuona baadhi ya watu wakijiondoa CHADEMA.

CHADEMA na wapinzani kwa ujumla,waangalie wananchi wanamtaka nani na si wao wanamtaka nani.

Wasisahau siasa za hamahama na yaliyofanywa na Lowassa bado yako katika fikra za watu, ingawa kweli Membe anaweza asiwe kama Lowassa na kina Sumaye na wengineo, ila tatizo ni wananchi watamuamini Membe?
Upinzani mpk Sasa hawako serious kuchukua dola
Membe atapita njia kama za lowasa tu

Ova
 
Kwani membe ni miongoni mwa wale waliotangaza nia Chadema katika ule mchakato au umetumwa?
 
Uzuri viongozi wote wa cdm wanaona vyema maoni yetu sisi wafuasi wao humu mitandaoni. Tulio wengi hatumtaki mtu yoyote tena toka ccm, na wala Mbowe, Msingwa,Nyalandu nk, hakuna anayekubalika zaidi ya Tundu Lisu. Hivyo ni juu yao kufanya maamuzi kutokana na mitazamo ya sisi wapiga kura wao, na sio kinyume chake.

Ifahamike cdm haitakufa kwa kukosa kutangazwa washindi kwenye box la kura, kwakuwa Magufuli anatumia madaraka yake vibaya kunajisi box la kura, bali cdm itadhoofika kwa kuokoteza mgombea wa aina ya Lowassa, tena kwa mtindo ule ule wa vodafasta.

Inao mtaji Mkubwa wa kutosha wa hazina ya wagombea
 
Former Foreign Minister ,Top Diplomat and retired Senior Spy meets CHADEMA top officials at Dar es Salaam aimed #Election2020 discussion.

The event followed by former Membe (former CCM cadre) who recently returned his Membership Card of the very powerful and influential party in Africa as its roots originate from back to Freedom fighting era.

Sources close to both parties told that CDM want to deploy Bernard Membe due to his popularity as makeshift towards resurrection of the party due to recently internal crisis. The same strategy used 2015 Election to maximize the number of parliamentary seats has been backed by member of the floor, as they face a very stiff competition from President Magufuli who is admired by many in the world.

According to reports CHADEMA Senior figures have made clear that the odds of becoming presidential candidate are against Tundu Lissu and he is too predictable to use 2017 gunshot as @2020Election main strategy to seek public sympathy.

Until late night the members were yet to agree to line up Bernard Membe in 2020 Election due to large divided opinions as many feared not to repeat 2015 blunder Some told Mr. Membe to wait until 2025 but it has been seen so far Membe wont abide any delays.

The meeting Chaired by most influential man in the Party Mr. Freeman Mbowe who has been publicly criticized by outsourcing Former Prime Minister in 2015 Election.

Troll JF
Let us wait and see. We abstain from speaking and thinking for CHADEMA. Please don't speculate that Membe will be the presidential flag carrier for the party. I highly doubt.
 
Chadema ikimchukua membe itanufaika na Kugawa kura za CCM.
Membe ataipa Chadema kura na majimbo ya kusini .Ikumbukwe Membe anasikilizwa Linda na Mtwara Chadema haina nguvu sana huko.
Membe hana kesi ama tuhuma nyingi kama Lisu .Lisu .

Lisu ataogopwa kwa maana ya visasi.

Membe ana umri safi kuliko Lisu ametulia.

Hizi sifa za Membe kwenda cdm hazina nafasi tena. Membe aende ACT au TADEA, cdm inategemea wafuasi wake, na sio huyo mgombea wa kuokoteza. Tunamtaka huyo huyo Tundu Lissu, hao wanaosema eti atalipiza visasi watajua wao.
 
Lissu ni matured hawezi lipiza kisasi
Hata mimi naamini hivyo lakini watanzania wengi hawaamini hivyo. Mrema alikosa kura kiasi kutokana na watu kuogopa visasi.

Pia Lisu hayupo fiti hasa kwenye kutembea hii inapunguza kitu kikubwa sana katika mitizamo ya mpiga kura.

Chadema waache ubinafsi. CCM wanajiharia kumsikia Membe na sio Lisu. Membe ni mwakilishi wa CCM ya zamani
 
Back
Top Bottom