Bernard Kamilius Membe niliyemfahamu, Taifa limepoteza mtu!

Watakuja na pengo atakaloliacha Cardinal Pengo[emoji4]

Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
 
Jasusi mbombezi aliyeiva asiyeogopa kitu. Ndo maana hakumuogopa yule mtoka bush jiwe
 
Poleni ila kwa sasa ni mzoga upo pale lugalo
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahaha..
 
Nchi yoyote inahitaji wakongwe , binafsi nimeumia sana , tangu jana
 
Yashangaza sana jinsi watu kama Yerikho wanavohangaika.
 
Sawa.
 
S.Gang Bora walitolewa inaonekana Hawa Jamaa ni watu wa chuki na visasi hawana hata point moja ya Ubinadamu. Tangu kifo Cha Mwendazake Basi kila wanayemuona mbele Yao ni kumpa matusi Makubwa.
Kazikwe nae.

In Zitto's voice
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…