Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Aliyekuwa mgombea Urais kupitia chama cha ACT Wazalendo aliandika barua kujiondoa rasmi kugombea nafasi hiyo. Hata hivyo, barua yake ilikataliwa.
Barua ambayo imesambaa mtandaoni imeonyesha hivyo na Kiongozi wa chama, Zitto Kabwe ameithibitishia JamiiForums kuwa ni barua ya kweli na kuwa iliandikwa baada ya kuafikiana kama chama juu ya kugombea nafasi ya Urais tangu mwishoni mwezi Septemba mwaka huu.
Hata hivyo, baada ya kumtafuta Ndg. Bernard Membe, amekiri barua aliiandika kweli lakini ilikataliwa.
Tumemtafuta Bernard Membe na amesema atatoa ufafanuzi mwenyewe kupitia akaunti yake ya Twitter.
UPDATE:
Barua ambayo imesambaa mtandaoni imeonyesha hivyo na Kiongozi wa chama, Zitto Kabwe ameithibitishia JamiiForums kuwa ni barua ya kweli na kuwa iliandikwa baada ya kuafikiana kama chama juu ya kugombea nafasi ya Urais tangu mwishoni mwezi Septemba mwaka huu.
Hata hivyo, baada ya kumtafuta Ndg. Bernard Membe, amekiri barua aliiandika kweli lakini ilikataliwa.
Tumemtafuta Bernard Membe na amesema atatoa ufafanuzi mwenyewe kupitia akaunti yake ya Twitter.
UPDATE: