hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,235
- 7,392
Aisee hii kama ni kweli basi Bernad Camilius Membe ndo Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020-2025 chini ya Serikali ya Tundu Antiphas Lissu. Mark my words
Bila kuwa Mbunge wa jimbo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee hii kama ni kweli basi Bernad Camilius Membe ndo Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020-2025 chini ya Serikali ya Tundu Antiphas Lissu. Mark my words
Siku ya kufunga kampeni ndo atafunga goli. Bado haijulikani ni mashabiki wa wapi watashangilia.Goooooooooooooool?
Naam dk ya 89' yule yule bernad Membe,anaiandikia Chadema goli la kwanza,Chadema 1- 0 Ccm
October suprise wanaita.
Uchumi na mipango,Je Profesa Assad awemo kwenye Baraza la Mawaziri la Tundu Antipas Lissu na kama ni Ok awake wizara gani?
Mbona inajulikana alishajitoa na wanachama ACT full milutano ya Lissu na bendera zao? Mambo yalishafanyika chini chini na leo ndiyo pasua bomu. Halafu tume naona waliogopa kuweka wazi maana ndiyo kuanguka kwa mwamba. Naona Membe kaamua kuweka wazi. Kumbe toka 24 Sept tume imekalia barua haitaki kutangaza?. Ni balaa kabisa.Sheria hairuhusu kujitoa sasa!
Umenikumbusha maneno ya Nape Nauye!Usiote mchana hii barua ni ya mwez uliopita
Tumeangalia.Angalieni tarehe
MkuuAngalieni tarehe
Simply ni kuwa Membe kakubaliana na hali halisi,Nikishasaini Kwa Kalamu Nyekundu Pale Taifa
Nakwenda Kula Chakula Kitamu Na Mke Wangu Hotel
Maalim Seif Na Zito Walishaona Mbali Wakasema Kura Apewe Lissu, Anajitoa Saa Hizi Wakati Dakika Ya 89 Bado
Ukiwa Pandikizi Unaishi Kwa Tabu Sana, Sasa Afanye Arudi Ccm Haraka Sana Awahi Teuzi Kule!!😁😂😅😄😏
Niguse Ninuke!!😀😁😂 Hujatisha Ila Umejitweza
Mie Naomba madaktari wote hasa maspecialist wa moyo leo wafanye kazi maana kuna wagonjwa wengi sana watakuwa admitted hospitali leo kutoka LumumbaDaaah kumbe walishajipanga kumwachia Lissu kivingine. Ila barua mbona ni ya toka 24th September? Tume haikujulisha wananchi?
Ila nimeona wanachama wengi ACT na bendera zao wakiwa mikutano ya Lissu. Siasa ni kiboko.
Kama tume ilikubali kukaaa kimya huku Membe akisimamia msimamo basi nimemkubali kuna siri nzito uchaguzi mwaka huu kama ilivyo kwenye zulia zito. Ngoja tuone.Angalieni Tarehe 24.9.2020, ilhali katika ile press conference yake ya kushinda dakika 89 ilikuwa thereafter!
Na bado alikuwa akisema ni Mgombea halali wa ACT.
Hii ni conspiracy tu..Mimi kama mimi bado nitamchagua bwana Membe.
Yani watakuwa wametumia akili saaaana kwa kweliIla niwapongeze ACT waliichukulia hii kiufundi sana bila kuonyesha moja kwa moja kuwa wamemuunga Lissu maana sheria iliwabana. Kwa hapa nimemkubali Zitto.
Acheni Mzee Apumzike Mtamuua Kwa PressureKama hii ni kweli basi Membe kaamua kupiga mpunga wa magufuli alafu kasepa na kijiji. Nashauri leo madaktari wasikae mbali na Magufuli. Hali itakuwa si hali huko!!😂😂😂😂
Prof Assad lazima awe Katibu Mkuu pale Wizara ya Fedha.Je Profesa Assad awemo kwenye Baraza la Mawaziri la Tundu Antipas Lissu na kama ni Ok awake wizara gani?
Mbona juzi ametangaza yeye ni mgombea halali wa ACT wazalendo?!Mbona inajulikana alishajitoa na wanachama ACT full milutano ya Lissu na bendera zao? Mambo yalishafanyika chini chini na leo ndiyo pasua bomu. Halafu tume naona waliogopa kuweka wazi maana ndiyo kuanguka kwa mwamba. Naona Membe kaamua kuweka wazi. Kumbe toka 24 Sept tume imekalia barua haitaki kutangaza?. Ni balaa kabisa.