Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
CCM Ikubali Kuchutama, Ukiona Kofia Imelowa Jasho Ujue Msuli Hautamaniki Kabisa!!!๐๐๐๐Simply ni kuwa membe kakubaliana na hali halisi,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM Ikubali Kuchutama, Ukiona Kofia Imelowa Jasho Ujue Msuli Hautamaniki Kabisa!!!๐๐๐๐Simply ni kuwa membe kakubaliana na hali halisi,
Umempiga chini Magufuli leo???๐๐๐๐๐ Kweli Lumumba mmechanganyikiwa leoAngalieni Tarehe 24.9.2020, ilhali katika ile press conference yake ya kushinda dakika 89 ilikuwa thereafter!
Na bado alikuwa akisema ni Mgombea halali wa ACT.
Hii ni conspiracy tu..Mimi kama mimi bado nitamchagua bwana Membe.
Aliyekuwa mgombea Urais kupitia chama cha ACT Wazalendo amejiondoa rasmi kugombea nafasi hiyo.
Barua ambayo imesambaa mtandaoni imeonyesha hivyo na Kiongozi wa chama, Zitto Kabwe ameithibitishia JamiiForums kuwa ni barua ya kweli na kuwa iliandikwa baada ya kuafikiana kama chama juu ya kugombea nafasi ya Urais tangu mwishoni mwezi Septemba mwaka huu.
View attachment 1611219
Hahahahaha kamuone Daktari mkuu. Najua huu mshtuko si wa kawaidaZitto muongo
To me hizi ni sarakasi tuu za uchaguzi, this letter is fake!.Aliyekuwa mgombea Urais kupitia chama cha ACT Wazalendo amejiondoa rasmi kugombea nafasi hiyo.
Barua ambayo imesambaa mtandaoni imeonyesha hivyo na Kiongozi wa chama, Zitto Kabwe ameithibitishia JamiiForums kuwa ni barua ya kweli na kuwa iliandikwa baada ya kuafikiana kama chama juu ya kugombea nafasi ya Urais tangu mwishoni mwezi Septemba mwaka huu.
View attachment 1611219
Wewe unafikiri ni kila kitu kinaruhisiwa na sheria! Ni sawa, jina litabaki kwenye karatasi ya kura, lakini waliokuwa naye, (akiwemo Nape), wenye ufahamu wanajua cha kufanya!Sheria hairuhusu kujitoa sasa!
Ulivyosikia kuna Goli la Dk 89 ulikuwa unaelewaje kwa mfano?????Propaganda,mbona haikuwahi kuzungumzwa
Kunywa maji mengi alafu lala. Kama umeona hali inazidi kuwa mbaya mpigie Prof Janabi. ๐๐๐๐To me hizi ni sarakasi tuu za uchaguzi, this letter is fake!.
P
Ni mbinu ya Kibobezi. Na kama watafanikiwa huyo ndiyo PM. Na Membe ana kundi kubwa mno CCM na mipango nayo iko kimya kimya vilevile. Walijificha isiwe hadharani kuogopa kufuatwa na kutishiwa maisha na kufilisiwa kama iliyokuwa kwa wafuasi wa Lowassa. Ilisukwa kiufundi mno. Na anaungwa mkono pia na sensitive units.Mbona juzi ametangaza yeye ni mgombea halali wa ACT wazalendo?!
Ushamba! je unajua kuwa Waziri mkuu ni lazma awe mbunge wa kuchaguliwa?Aisee hii kama ni kweli basi Bernad Camilius Membe ndio Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020-2025 chini ya Serikali ya Tundu Antiphas Lissu. Mark my words
FedhaJe Profesa Assad awemo kwenye Baraza la Mawaziri la Tundu Antipas Lissu na kama ni Ok awake wizara gani?
Sisi wana act damu tukiona jina lake kwenye karatasi tunaweka tick ndefu kwake...afadhali kura iaribike kuliko kumpigia msaliti!Aliyekuwa mgombea Urais kupitia chama cha ACT Wazalendo amejiondoa rasmi kugombea nafasi hiyo.
Barua ambayo imesambaa mtandaoni imeonyesha hivyo na Kiongozi wa chama, Zitto Kabwe ameithibitishia JamiiForums kuwa ni barua ya kweli na kuwa iliandikwa baada ya kuafikiana kama chama juu ya kugombea nafasi ya Urais tangu mwishoni mwezi Septemba mwaka huu.
View attachment 1611219
Itazuzungumzwa na mapesa?? Ili atumbuliwe?? Kuwa Kama una watoto wanakuona unafikiria vizuri!!.Propaganda,mbona haikuwahi kuzungumzwa
Sarakasi na mambo fake ni mengi sana, Pasco! Hata kusema โSikumfukuza ukuu wa mkoa Gambo!โ Ni taarifa fake, pia! Na, kuna wapiga kura fake!To me hizi ni sarakasi tuu za uchaguzi, this letter is fake!.
P
uliipata kabla?Kidogo niilete hapa
Mtaelewa tu, mnadhani watu wapuuzi Kama mlivyo๐To me hizi ni sarakasi tuu za uchaguzi, this letter is fake!.
Haiwezekani barua ya tarehe 24 September itolewe leo mwezi mmoja baadae!.
Huu ni usanii tuu!.
P