Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
Mnama hapa mmeshapigwa goli lingine ....mtafuteni pole pole na bashiri mmalizane...Sheria hairuhusu kujitoa sasa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnama hapa mmeshapigwa goli lingine ....mtafuteni pole pole na bashiri mmalizane...Sheria hairuhusu kujitoa sasa!
Safi sana...
Membe kashajua Lissu ni Rais
Mipango ya chini kwa chini tayariJina la Membe litaendelea kuwepo kwenye karatasi ya kupigia kura, nadhani Membe na uongozi wa ACT wafanye jitihada kuwajulisha wananchi juu ya uamuzi wao huo, hasa mikoa ya kusini ambapo Membe anakubalika kiaina.
Leo Pole Pole Utasikia Anaongea Na Wana HabariMnama hapa mmeshapigwa goli lingine ....mtafuteni pole pole na bashiri mmalizane...
Mkuu mbona unanipa wasiwasi sasa na taaluma yako! Tarehe kwenye barua ni kielelezo cha muda ilipoandikwa na kwa ujumla tarehe hutoa rejeo la muda ilipotolewa sasa suala la wewe kuiona Leo haliondoi uhalali wa ujumbe wake.To me hizi ni sarakasi tuu za uchaguzi, this letter is fake!.
Haiwezekani barua ya tarehe 24 September itolewe leo mwezi mmoja baadae!.
Huu ni usanii tuu!.
P
Unajua kuwa Lissu alisema akishinda majimbo yote waliyopita bila kupingwa uchaguzi utarudiwa upya??? Unajua jimbo la Mtama anapotokea Membe Nape amepita bila kupingwa????Hapa kwa maneno mengine ni kama umemwambia kuwa asahau kuwa kiongozi kwa miaka mitano ijayo.
Kifungu kipi hicho? Basi inakataza pia mgombea kufa kabla ya uchaguzi.Sheria hairuhusu kujitoa sasa!
Alisema Membe anapanga baraza la mawaziri hawa watu waongo hasaZitto muongo
Waziri Mkuu lazima awe Mbunge wa Jimbo, sio kuteuliwa.Aisee hii kama ni kweli basi Bernad Camilius Membe ndio Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020-2025 chini ya Serikali ya Tundu Antiphas Lissu. Mark my words
Ili ninyi wajinga mfungwe gol la dakka 89!!Mbona juzi ametangaza yeye ni mgombea halali wa ACT wazalendo?!
Izungumuzwe ili wewe lijinga ujue,!!Propaganda,mbona haikuwahi kuzungumzwa
Waziri mkuu huwa ni mbunge wa kuchaguliwa kutoka kwenye chama chenye wabunge wengi. Weka vizuri hilo. Hata hivyo Membe hakujitoa kwa vizuri, bali alisusa baada ya kazi aliyotumwa na ccm kutokukubaliwa na viongozi wa ACT. Hili ni fundisho kwa upinzani wasije kurudia tena kuwapa takataka toka ccm nafasi ya kugombea urais. Hata Nyalandu niliwahi kasema haikuwa sahihi kupewa nafasi ya kushiriki kuteuliwa kugombea urais ndani ya cdm.Aisee hii kama ni kweli basi Bernad Camilius Membe ndio Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020-2025 chini ya Serikali ya Tundu Antiphas Lissu. Mark my words
Mkuu unapoteza muda wako bure!! Kuongea mtu ambae akili zake amekabiza kwa mwenyekiti!Mkuu mbona unanipa wasiwasi sasa na taaluma yako! Tarehe kwenye barua ni kielelezo cha muda ilipoandikwa na kwa ujumla tarehe hutoa rejeo la muda ilipotolewa sasa suala la wewe kuiona Leo haliondoi uhalali wa ujumbe wake.
#huko shule mlienda kusomea ujinga?
Soma Katiba vizuri, Waziri Mkuu lazima awe Mbunge wa Jimbo sio wa kuteuliwa!Aisee hii kama ni kweli basi Bernad Camilius Membe ndio Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020-2025 chini ya Serikali ya Tundu Antiphas Lissu. Mark my words
😂😂😂 N kweli kabisa ndugu yangu.Aisee hii kama ni kweli basi Bernad Camilius Membe ndio Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020-2025 chini ya Serikali ya Tundu Antiphas Lissu. Mark my words