Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila mtu ana chaguo lake. Huwezi kunipangia. Siendi na wauaji na wakandamizaji bali naenda na Uhuru, Haki na Maendeleo ya Watu. Nilibadili gia angani kitambo.Achaa Uzwazwa wewe Sikh mia za nini hahahahaa tunaingia naMagufuli na kazi inanendelea
Upo ndotoni jipige kofi uamke.Aisee hii kama ni kweli basi Bernad Camilius Membe ndio Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020-2025 chini ya Serikali ya Tundu Antiphas Lissu. Mark my words
Nakushauri fanya hivyo wewe.Upo ndotoni jipige kofi uamke.
Kwani Lissu alivyosema sehemu zote walizopita bila kupingwa uchaguzi utarudiwa tena unafikiri walikuwa wanamaanisha nini??? So unajua Jimbo la Mtama Nape kapita bila kupingwa????[emoji23][emoji23][emoji23] Alafu uzuri mgombea wa ACT alikamatwa na PCCB hivyo hakurudisha fomu.Waziri Mkuu huwa ni Mbunge wa kuchaguliwa kwa kupigiwa kura bungeni..
Kuwa waziri mkuiu ni lazima uwe mbunge tena wa kuchaguliwa na wananchi.Aisee hii kama ni kweli basi Bernad Camilius Membe ndio Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020-2025 chini ya Serikali ya Tundu Antiphas Lissu. Mark my words
Kwani Lissu alivyosema sehemu zote walizopita bila kupingwa uchaguzi utarudiwa tena unafikiri walikuwa wanamaanisha nini??? So unajua Jimbo la Mtama Nape kapita bila kupingwa????😂😂😂 Alafu uzuri mgombea wa ACT alikamatwa na PCCB hivyo hakurudisha fomu.Kuwa waziri mkuiu ni lazima uwe mbunge tena wa kuchaguliwa na wananchi.
Membe hawezi kuwa Waziri Mkuu. Kama hili nalo ni gumu kwako kulielewa then we have a much bigger problem!😊😂😂😂😂 mkiambiwa mwaka huu Ccm mtajua hamjui muwe mnaelewa!!
Kwani Lissu alivyosema sehemu zote walizopita bila kupingwa uchaguzi utarudiwa tena unafikiri walikuwa wanamaanisha nini??? So unajua Jimbo la Mtama anakotokea Membe Nape kapita bila kupingwa????[emoji23][emoji23][emoji23]Membe hawezi kuwa Waziri Mkuu. Kama hili nalo ni gumu kwako kulielewa then we have a much bigger problem![emoji4]
😜😜😂Kwani Lissu alivyosema sehemu zote walizopita bila kupingwa uchaguzi utarudiwa tena unafikiri walikuwa wanamaanisha nini??? So unajua Jimbo la Mtama anakotokea Membe Nape kapita bila kupingwa????😂😂😂
Wamletee chato huko atakapokuwa anazurura kwenye pori la burigi sijui bugiri, anajua yeyeHiki kiburi cha kusema nileteeni fulani wakati na wewe ni mgombea kimekaaje kwa wapiga kura? Unajiamini kuwa umeshashinda bali wengine bado wakati wote mko katika hali iliyo sawa? Kwa kauli hizi mimi basi, kura yangu na jamii yangu keshazikosa, hatupangiwi.
Unatupangia tukuletee fulani wakati hata wewe hatima yako huijui? Hatukupi wewe na unayesema tumlete, wote tutawafyekelea mbali!
Una uelewa mdogo sana wewe kijana. Sijui hata unafanya nini humu JF. Hili jukwaa halikufai nenda facebook utakutana na level zako.Kwani Lissu alivyosema sehemu zote walizopita bila kupingwa uchaguzi utarudiwa tena unafikiri walikuwa wanamaanisha nini??? So unajua Jimbo la Mtama Nape kapita bila kupingwa????[emoji23][emoji23][emoji23] Alafu uzuri mgombea wa ACT alikamatwa na PCCB hivyo hakurudisha fomu.
Sasa hapo ndio Membe anaenda kupitia na kurudi bungeni kupitia jimbo la Mtama ACT.
Na kikubwa zaidi hata Chadema wakiwa na wabunge wachache, Membe katoka CCM hivyo atapigiwa kura na wabunge wengi wa Ccm na kupitishwa kuwa waziri mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkiambiwa mwaka huu CCM mtajua hamjui muwe mnaelewa!!
Huwezi kufikia hata robo ya uelewa wanguUna uelewa mdogo sana wewe kijana. Sijui hata unafanya nini humu JF. Hili jukwaa halikufai nenda facebook utakutana na level zako.