Uchaguzi 2020 Bernard Membe alijitoa kugombea Urais kupitia ACT-Wazalendo tangu Septemba 24. Barua yake ilikataliwa

Uchaguzi 2020 Bernard Membe alijitoa kugombea Urais kupitia ACT-Wazalendo tangu Septemba 24. Barua yake ilikataliwa

Ni mbinu ya Kibobezi. Na kama watafanikiwa huyo ndiyo PM. Na Membe ana kundi kubwa mno CCM na mipango nayo iko kimya kimya vilevile. Walijificha isiwe hadharani kuogopa kufuatwa na kutishiwa maisha na kufilisiwa kama iliyokuwa kwa wafuasi wa Lowassa. Ilisukwa kiufundi mno. Na anaungwa mkono pia na sensitive units.
PM ni lazima awe mbunge wa kuchaguliwa kwa mujibu wa katiba!
 
Timing inaweza kuwa sio nzuri. Hii movie ingefanyika wiki 2 kabla, ili wapiga kura wa ACT waipate habari kwa wakati wasije wakachagua Membe. Sisi wengine tu wafuatiliaji, lakini sio kila mtu
 
Sasa wale tuliomtolea povu, turudishe nyakati nyuma?

Kama alishawasilisha barua Tangu tarehe tajwa kwa tume, kulikuwa na sababu gani ya kutuletea sinema?
Bado siamini. Kwanini tume haijamuondoa kwenye karatasi ya kupigia kura?
 
ushamba! je unajua kuwa Waziri mkuu ni lazma awe mbunge wa kuchaguliwa?
Kwani Lissu alivyosema sehemu zote walizopita bila kupingwa uchaguzi utarudiwa tena unafikiri walikuwa wanamaanisha nini??? So unajua Jimbo la Mtama Nape kapita bila kupingwa????😂😂😂 Alafu uzuri mgombea wa ACT alikamatwa na PCCB hivyo hakurudisha fomu.
Sasa hapo ndio Membe anaenda kupitia na kurudi bungeni kupitia jimbo la Mtama ACT.

Na kikubwa zaidi hata Chadema wakiwa na wabunge wachache, Membe katoka CCM hivyo atapigiwa kura na wabunge wengi wa Ccm na kupitishwa kuwa waziri mkuu

😂😂😂😂 mkiambiwa mwaka huu Ccm mtajua hamjui muwe mnaelewa!!
 
To me hizi ni sarakasi tuu za uchaguzi, this letter is fake!.
Haiwezekani barua ya tarehe 24 September itolewe leo mwezi mmoja baadae!.
Huu ni usanii tuu!.
P
Kwa siasa za bongo inaweza kuwa ni barua ya kweli.

Wewe uliwahi kuiona barua ya kufukuzwa Lowassa CCM 2015?
 
Acheni Mzee Apumzike Mtamuua Kwa Pressure
Leo Mate Hayapiti Kooni!! Atamtaja Rashid Gwajimaa
Nileteeni Tulia, Nitatulia Tulia
Jana Kasema Nileteeni Daniel
Hiki kiburi cha kusema nileteeni fulani wakati na wewe ni mgombea kimekaaje kwa wapiga kura? Unajiamini kuwa umeshashinda bali wengine bado wakati wote mko katika hali iliyo sawa? Kwa kauli hizi mimi basi, kura yangu na jamii yangu keshazikosa, hatupangiwi.

Unatupangia tukuletee fulani wakati hata wewe hatima yako huijui? Hatukupi wewe na unayesema tumlete, wote tutawafyekelea mbali!
 
Kweli Ufikiri wa nchi za dunia ya tatu ni mdogo sana.
Kwamba mgombea aliandika barua mwezi mmoja kabla halafu barua ikafichwa.

Mgombea akajitokeza na kusema yeye ni mgombea halali wa chama husika.

Mwenyekiti akatoka hadharani kupinga akisema walikubaliana kumuunga mgombea wa chama kingine na hakusema Mgombea aliandika barua kukubaliana na hilo.

Baadae inatoka barua ya mwezi mmoja kabla iliyoandikwa na mgombea kujitoa kuwa mgombea.

Hakuna chama kinaweza kujichafua mbele ya umma kwamba nichama ambacho hakijajipanga kwa mwenyekiti na mgombea kupishana hadharani lazima kuna tatizo kubwa.
Siasa za maigizo za dunia ya tatu hizi ni shida.

Sent from my Infinix X603 using JamiiForums mobile app
 
Jina la Membe litaendelea kuwepo kwenye karatasi ya kupigia kura, nadhani Membe na uongozi wa ACT wafanye jitihada kuwajulisha wananchi juu ya uamuzi wao huo, hasa mikoa ya kusini ambapo Membe anakubalika kiaina.
Yaaani hizi taarifa zimeshafika hadi kijijini kwetu. Nimepigiwa simu hapa kutoka Mlele Katavi huko
 
Kweli Ufikiri wa nchi za dunia ya tatu ni mdogo sana.
Kwamba mgombea aliandika barua mwezi mmoja kabla halafu barua ikafichwa.

Mgombea akajitokeza na kusema yeye ni mgombea halali wa chama husika.

Mwenyekiti akatoka hadharani kupinga akisema walikubaliana kumuunga mgombea wa chama kingine na hakusema Mgombea aliandika barua kukubaliana na hilo.

Baadae inatoka barua ya mwezi mmoja kabla iliyoandikwa na mgombea kujitoa kuwa mgombea.

Hakuna chama kinaweza kujichafua mbele ya umma kwamba nichama ambacho hakijajipanga kwa mwenyekiti na mgombea kupishana hadharani lazima kuna tatizo kubwa.
Siasa za maigizo za dunia ya tatu hizi ni shida.

Sent from my Infinix X603 using JamiiForums mobile app
Ndugu najua hali si hali kwako leo hii. Nakushauri tu usikae mbali na daktari wako. Wenye akili wakipanga mambo lazima wapange vizuri ili mazuzu kama nyie wenye roho mbaya msishtukie na kuharibu mipango
 
Aisee hii kama ni kweli basi Bernad Camilius Membe ndio Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020-2025 chini ya Serikali ya Tundu Antiphas Lissu. Mark my words
Hapa kwa maneno mengine ni kama umemwambia kuwa asahau kuwa kiongozi kwa miaka mitano ijayo.
 
To me hizi ni sarakasi tuu za uchaguzi, this letter is fake!.
Haiwezekani barua ya tarehe 24 September itolewe leo mwezi mmoja baadae!.
Huu ni usanii tuu!.
P
Tusubiri aikane. Bado tuna siku 3 solid. Yuko kimya so far na simu zote atafunga. Hatapatikana. Mipango ilikuwa kimya kimya na analo kundi kubwa mno nyuma yake.

Ndugu yako alisahau kuwa CCM ina wenyewe na akaamua kuwadhalilisha. Juzi Arusha Kinana na Lowassa waliongea ila ukiwaangalia unaona kabisa wamelazimishwa na haitoki moyoni.

Hivi unajua Lowassa, Membe na Kikwete? Wakaongezeka akina Nape, Makamba Snr na Jr, Mzee Mangula? Akina Kimbisa unawafahamu?

Tulia Pascal
 
Goooooooooooooool?
Naam dk ya 89' yule yule Bernard Membe, anaiandikia CHADEMA goli la kwanza, CHADEMA 1- 0 CCM
Kwa Madereva Wanajua Ukiwa Na Toyota Halafu Umefika Sehemu Korofi Unaweka Ile Kitu Inaitwa Kidonge
Yaani Unaweka 4WD Na Lock Dif
Hapo Hakuna Kitakachokuzuia

Lissu Go Go 😁😂😅😏😏
 
Back
Top Bottom