Bernard Membe, aliyekuwa mgombea Urais kupitia ACT Wazalendo kwenye Uchaguzi 2020, ajiondoa kwenye chama hicho

Bernard Membe, aliyekuwa mgombea Urais kupitia ACT Wazalendo kwenye Uchaguzi 2020, ajiondoa kwenye chama hicho

Influenza

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2018
Posts
1,509
Reaction score
3,756
Bernard Membe ambaye alikuwa mwanachama na mshauri wa ACT-Wazalendo ametangaza kujiondoa katika chama hicho

Membe, katika Uchaguzi Mkuu wa 2020 aligombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama hiko ambapo alifanya kampeni mikoa michache

Aidha, Membe, mwanachama mwenye kadi namba 2 ya ACT- Wazalendo amesema atajiondoa rasmi Januari 1, 2021

Kihistoria Membe aliingia ACT-Wazalendo mwaka 2020, akitokea CCM


 
Mara nyingi amekuuwa akinukuliwa akisema yeye hawezi kurudi CCM kwa kuwa hakuhama kwa hiyari bali alifukuzwa hakuwahi kujitokeza tena hadharani mara baada ya msuguano na chama chake.

Hii katuni inaonekana Kama Ni ya kweli japo Membe pia anaweza akawa anaondoka sababu ya ubabaishaji uliopo Huko ACT Wazalendo



IMG_20200807_230208.jpg
 
Ilikuwa inajulikana hamna jipya hapo
 
Kuna kaharufu kakutaka kupoteza vuguvugu la kina Mdee
 
Huyo nae ni garasa hana impact yoyote kwenye siasa za sasa labda kwa CCM wenzie wazee wa kubebwa na system.
 
Hakuna jipya hapo, arejee alipotoka...hawezi kuishi maisha ya kujitafutia NJE ya ccm!.
 
Wanamwitaga kacheto mbobezi sasa sjui anaukacheroj gani? Ameshindwa hata kumwingiza mkewe ACT? Zitto naye ameishiwa mautaalamu ama hakuchungulia hili 'garasa' bora angemsajili Rungwe mzee wa ubwabwa. Mwenzie Pinda kajituliza Leo mwanae kala ubunge na soon anapigwa unaibu waziri yeye wanae wakajiajiri sasa walime krosho
 
Back
Top Bottom