Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 10,448
- 8,705
Walikuwa na wasiwasi nae toka mwanzoni. Haswa Chadema. Ndio maana hawakumkumbatia kabisa.Upinzani Waligundua kwenye sekeseke lile la Airport,
Maigizo yakaanzia pale,ila ilikuwa too late,
Uzuri walioufanya Walisave vifaranga wachache kuliwa na mwewe,if u what i mean
Amandla...