Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 10,448
- 8,705
Walikuwa na wasiwasi nae toka mwanzoni. Haswa Chadema. Ndio maana hawakumkumbatia kabisa.Upinzani Waligundua kwenye sekeseke lile la Airport,
Maigizo yakaanzia pale,ila ilikuwa too late,
Uzuri walioufanya Walisave vifaranga wachache kuliwa na mwewe,if u what i mean
@Tindo wawehuka si bureLisu ni mpinzani wa kweli, na kapata kura za uhakika, ila tume ya uchaguzi na tiss wakatangaza matokeo ya maagizo ya jiwe.
Huo ndio ukweli.@Tindo wawehuka si bure
Siasa inayoijua wewe niya kimihemuko ndo maana unaongea pointless hivi bila kufikiria nje ya box.Hawakuungana kama sheria zinavyotaka na wala sio kwa sababu ya Membe, ila walipeana ushirikiano wote ambao hakuwaacha na tatizo la kisheria. Na huyo Membe alipotezewa kimachomacho. Kwa ujumla mbinu ya Membe na ccm ilikuwa ya kizee sana, ndio maana ilibidi ccm wategemee zaidi kura za kwenye mabeg, na matokeo fake ya tiss kutangazwa washindi.
Nyuki baada ya kuuma kamwe harudi home,akirudi atauawa maana baada yakupoteza risasi anakuwa si askari tena.Nyuki Anarudi Home Baada Ya Kuiuma ACT
Siasa inayoijua wewe niya kimihemuko ndo maana unaongea pointless hivi bila kufikiria nje ya box.
Nilisema mapemaaaaaa!!CCM OYEE
Alishtukiwa vipi wakati alipewa nafasi kugombea urais?Alistukiwa mapemaaaa....
Mbinu za CCM za kisenge sana. Round hii mlikula wa chuya!
Kweli matakataka yakiongozwa na mmawia.Wapinzani wa Tz ni takataka kweli
Pumbafff wewe hata ukitukana mmeshaukalia.Takataka ni babako na mamako
Walio ukalia ni walio kutafutia kwenye mkesha wa mbio za mwengePumbafff wewe hata ukitukana mmeshaukalia.