Bernard Membe apokelewa rasmi ACT–Wazalendo. Atoa ahadi kemkem endapo watashika madaraka

Hiki chama chenu hata hakieleweki, hivi kati ya Mwenyekiti wa chama na Kiongozi wa chama ni nani mwenye nguvu ndani ya chama! Nani anampagia mwenzie majukumu? Na Membe atakuwa na cheo gn? Dah kizunguzungu tu
Hicho chama kimejaa waislamu
 

Ila ACT kimejijenga katika Misingi ya Udini sana, Uislam, ila Poa tu, Shetani CCM lazima apigwe na silaha yeyote
 
ACT Wazalendo,

Hivi CCM yangu nao hawana Verified Account yao hapa Jamvini JamiiForums? Kama hawana 'wananiangusha' mno na ninaomba wawe nayo pia.
sasa humu watatumiaje polisi kwa mfano? maana kuna hoja nzito sana humu na tunajua CCM ni wepesi sana kwenye hoja ndiyo maana kimbilio lao kila siku linaishia kuwatumia mapolisi.
CCM yetu ya Mwalimu ndiyo ilikuwa inaweza mambo haya ya hoja vs hoja - siyo hizi awamu za hawa wasaka tonge kuanzia ya 2 hadi ya 5!
 
Pole sana mzee Membe, siasa ngumu, hadi sasa hujanivutia tangu umeanza kuongea, hujatoa hoja badala yake unalalamika ya akina Sanane na Azori, tushawishi tukupe kura mzee.Bora tumsikilize Seif, halafu anaongelea magogoni, wakati tuko chamwino
 

Acha uongo wewe,Magufuli anavyopenda kumulikwa na kamara za TV kuna wa wakufananae nchi hii. Lakini muite kwe ye mdahalo gone anavyokimbia.
 
Bernard Membe amehama tu Mwili wake kwenda ACT-Wazalendo. Katika hali ya kushangaza amekosea vitu vya msingi kabisa katika hotuba yake. Hii inaashiria kuwa hakujiandaa kisaikolojia kuhamia huko alikokwenda.

Kwanza kabisa ameitaja ngome ya Wanawake ACT-Wazalendo kuwa ni "UWT" ambao ni Umoja wa Wanawake CCM. Aidha akiwashukuru viongozi wa Chama hicho kumkaribisha, amesema kuwa ni Viongozi wa CHADEMA. Viongozi hao wametabasamu kinafiki tu.

Hii hali itamtesa kwa muda mrefu sana katika maisha yake, kwa sababu anafanya hivyo akidhani anamkomesha mtu fulani, but deeper inside anaamini kuwa hakutakiwa kuwa hapo alipo ambapo siyo mahali sahihi kwake.
 
Tumetangaziwa Mara nne kwamba Membe amekufuzwa ndani ya CCM. Hiyo kukataa kuomba msamaha kwa kusimamia anachokiamini ndiyo kumemfanya afukuzwe uanachana.
Membe kila kitu alichonacho maishani kwake from kazi yake'ukipepeo',mali alizonazo,hadhi aliyonayo,kazi nzuri za watoto wake/ndg zake zote kazipatia chini ya CCM.

Hawezi kwenda nao kinyume hata dakika 1 maana anaelewa vzr 'consequences'za hicho kitu,sanasana Membe ataishia kuleta kampeni kama za lowassa za kiuoga uoga/kikondoo kwa kuogopa kukisema chama cha zamani huku akisifiwa eti jamaa ana kampeni za kistaarabu sana.
 
Utafiti wa TWAWEZA ulionyesha CCM inapendwa na watu wa vijijini na watu wasiosoma,kwa hio haishangazi.
 
OK upo vizuri. Am sorry
Yupo sahihi si vizuri. Membe alirudisha kadi kabla ya hitimiho la kufukuzwa kwake ila hiyo si tatizo, tatizo pia si kaondokaje ccm, tatizo ni nafasi ya uraisi ni kubwa sana kumpa mgeni asiye hata na mwaka chamani. 2015 upinzani ulipitishwa kwenye kipimo cha ukomavu.
 
Kosa la kwanza ,anaangamia kwa kukosa maarifa
 
koona imeisha eeh
 
Hio kufukuzwa ni gia/story/sababu tu zimetafutwa za nitoke kwa style gani huku Ccm ili nijitofautishe na Lowassa?Jibu likawa hilo style ya kufukuzwa.

Membe ni mharibifu kama Lowassa tu akimaliza kilichompeleka ACT atarudi zake kwao CCM.
Serikali ya CCM mbona imefanya mengi sana kiasi haihitaji ata nguvu ya ujasusi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…