Kwahiyo mnaiga ya dodoma? Cha ajabu zito kesho anaweza kuhojiwa dw na kusema watu wanakufa sana kwa corona na corona ipo kila konaDodoma uliona Barakoa.....
Kufa kuna kuiga......Kwahiyo mnaiga ya dodoma? Cha ajabu zito kesho anaweza kuhojiwa dw na kusema watu wanakufa sana kwa corona na corona ipo kila kona
Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
Hotuba nzuri lakini hapo kwenye watu kutokuwa na hofu ya kutumbuliwa anatuma ujumbe gani?Hukutakuwa na hofu ya kutekwa, kutumbuliwa wala hofu ya kupoteza uhai kwenye utawala wetu.
"Endelea kuchukua tahadhari" hii ni kauli ya kiongozi wangu wa nchi na ninaiamini kuliko unayosema wewe mkuu.Kwahiyo mnaiga ya dodoma? Cha ajabu zito kesho anaweza kuhojiwa dw na kusema watu wanakufa sana kwa corona na corona ipo kila kona
Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
Hapa heko ACT, kuna minong'ono ya manung'uniko mengi huku mitaani.13.Bureu du Change zote tutazirudisha na madai yote halali ya wafanyabiashara wa maduka ya kubadilisha fedha yatashughulikiwa na kulipwa.
Dodoma uliona Barakoa.....
hili ni swali la muhimu kwa wapiga kura wajiulize hivi kweli membe ana nia ya dhati kwenye uchaguzi huu bila kuwa na tume huru? wakipata jibu waamue na wachanganye na za kwao ndipo watamjua membe na wenzie wanaojiita wapinzaniIzo kura zina simamiwa na tume huru!
Kweli kabisa ccm chama dume , wagombea urais lazima watoke ccm.Let them try what they can jaman, Sasa mnataka wamsimamishe Nani? Kuna wakati kufanya usajiri ni better
Unaweza fikiri watu wanatetea maslahi ya wananchi kumbe wanatetea yao , ndio kama hivyo.Dodoma hawaamini katika Barakoa, wameshaliweka wazi hilo.
Zitto amepigia kelele suala la barakoa na pandemic precautions kwa ujumla.
Ndo maana hapo watu wanawashangaa wanapokusanyika wao wenyewe hakuna barakoa!
Membe alifukuzwa CCM.Narudia tena, tofauti ya Lowassa na Membe, mmoja anapaka nywele picko, na mwingine kaachia mvi zionekane. Membe hakufukuzwa ccm, bali aligoma kuomba msamaha, kisha akazira na kurudisha kadi ya ccm. Katika mazingira hayo akaiacha ccm bila uchaguzi zaidi ya wao kuhitimisha kwa kutangaza kumfukuza.
ACT Wazalendo,
Hivi CCM yangu nao hawana Verified Account yao hapa Jamvini JamiiForums? Kama hawana 'wananiangusha' mno na ninaomba wawe nayo pia.
CCM ni wahuni sana. Wamekosa ustaarabu. Channel imekuwa hacked halafu inatumia kutangaza hotuba ya Kabudi UN! Huu ni uhuni wa hali ya juu. Kwa nini CCM hampendi ushindani wa kistaarabu?
Soon ataundiwa zengweMembe ni muislam?