Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Boss wako Bashiru akikusikia unauliza hili swali la kizembe atakupiga mtama mrefu kama ule wa Adam Mchomvu.Kwan hata Lisu zaidi ya kuwapigia stories huko majukwaani, ana nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Boss wako Bashiru akikusikia unauliza hili swali la kizembe atakupiga mtama mrefu kama ule wa Adam Mchomvu.Kwan hata Lisu zaidi ya kuwapigia stories huko majukwaani, ana nini?
Na amesema kwa sasa focus yake ya uchaguzi bado sana anajikita kwanza kumnasua kijana wake aliyekamatwa na polisi kwa tuhuma za kutakasa pesa chafu 🤣
Hivi Makonda ndio ameachwa nyuma kiasi hichooBoss wako Bashiru akikusikia unauliza hili swali la kizembe atakupiga mtama mrefu kama ule wa Adam Mchomvu.
NA
NAYE NDIYE ALIYETUKANA WATUMISHI WA UMA NI TAKATAKA ZA JALALANI AKIWA PALE MBEYA MJINI??
Atosha wapi?Hao wengine watulie tu JPM atosha
Kumbe Reli nlidhani SGR ya Trillion zaidi ya 7? Kwahiyo uliambiwa akikosoa Flyover basi hatojenga? Lissu anasema balancing ndio muhimu yaani wakati unanunua ndege 4 basi pesa ya ndege zingine nne peleka kwa kilimo cha umwagiliaji n.kKuliko huyuu lisu, bora ata membe mara miamojaa, leo akiwa hapa kwetu sumbawanga kadanganya eti tren ya kaliua hadi mpanda haifanyi kazi. Halafu akasema atajenga reli hadi momba, sijui kwa nini huyumgombea anajichanganya kila siku, wao chadema si hawapendi ujenzi wa miundombinu ya maendeleo, kwamba nikuhalibu fedha za umaa? Sasa nawao wakotayari kwa hayomatumizi mabaya ya fedha??
Ile ilikuwa banter kwa Kabudi aliyesema ameokotwa jalalani!! So it was more of a sattire ila mnaigeuza propaganda mkidhani waTZ ni wajinga.NAYE NDIYE ALIYETUKANA WATUMISHI WA UMA NI TAKATAKA ZA JALALANI AKIWA PALE MBEYA MJINI??
Jamaa itabidi aendelee kuchechemea zaidi na zaidi almradi apate huruma za wapiga kura....Lissu tafdhali, endelea kuwanyoosha hawa maharamia! ...
Uyo mzee ni hana lolote taarabu kibaoNimekuwa nikifuatilia kauli za Bernard Membe kuanzia alipoteuliwe kuwa mgombea wa ACT Wazalendo.
The man is very soft. So naive. Bora hata Lowassa wa 2015. Yaani anaongea kama ananong'oneza fulani hivi hataki asikike. Anaibua mashaka mengi sana!
Nashauri watu wake wa karibu wamjulishe kuwa ni bora mara 100 akajiweka pembeni hadi baada ya uchaguzi.
Yaani anazidiwa hadi na JPM.
Bora kidogo uyu je anaongea mikojo na kujikataa.Kuliko huyuu Lissu, bora ata Membe mara miamojaa, leo akiwa hapa kwetu Sumbawanga kadanganya eti treni ya Kaliua hadi Mpanda haifanyi kazi. Halafu akasema atajenga reli hadi momba, sijui kwa nini huyumgombea anajichanganya kila siku, wao chadema si hawapendi ujenzi wa miundombinu ya maendeleo, kwamba nikuhalibu fedha za umaa? Sasa nawao wakotayari kwa hayomatumizi mabaya ya fedha??
Alijiita mwenyewe katolewa jalalani na mikojo unawaambiaje wananchi.NA
NAYE NDIYE ALIYETUKANA WATUMISHI WA UMA NI TAKATAKA ZA JALALANI AKIWA PALE MBEYA MJINI??
Jamaa itabidi aendelee kuchechemea zaidi na zaidi almradi apate huruma za wapiga kura.
Mgombea mmoja naskia ni kutaja mara mikojo mara azomewe duh!Bora hata tusingeharibu fedha za uchaguzi maana wagombea wanaochuana na Rais wetu ndio Kama hawa.
Mgombea mmoja naskia ni kutaja mara mikojo mara azomewe duh!
Chuchu zitatajwa kila kiungoYaani likianza kuongea itabidi uhakikishe upo mbali na unaowaheshimu... Vinginevyo utaaibika...
Membe kiboko, naona anawachanganya sana huko ugambani, tatizo jiwe hana plan A wala B, yeye ndio kila kitu, sasa this time jiwe atakula jeuli yake, maana hata uko ugambani wameshamchoka.Na amesema kwa sasa focus yake ya uchaguzi bado sana anajikita kwanza kumnasua kijana wake aliyekamatwa na polisi kwa tuhuma za kutakasa pesa chafu [emoji1787]