Uchaguzi 2020 Bernard Membe awe mtazamaji tu kwenye kuwania Urais

Uchaguzi 2020 Bernard Membe awe mtazamaji tu kwenye kuwania Urais

Rais bora kuliko wote kwenye hizi mbio, ni Magufuli peke yake. Mzalendo namba 1.

Magufuli anabebwa na chama Dola tu CCM,yaani Hashimu Rungwe ni bora Mara 1,000,000 ya Magufuli.

Huyu Magufuli 2015 aliokota dodo chini ya mbuyu. Hakuna kitu ninachojilaumu kama kumshabikia na kumpigia kura Magufuli 2015. Hata MATAGA mnamshabikia Magufuli huku dhamira zenu zikiwastua na October 28 akishinda maisha yakiwachapa mnaumia zaidi,bora ya sisi tunaompinga tutasema tunaumia ya ujinga wa MATAGA na watu wao.
 
Jina la Membe halitakuwepo kwenye form ya kura?


Haijalishi na mkipenda mwambieni Magufuli awaamtishe NEC wampe kura Membe bila ya kupigiwa.

Binafsi namkubali sana homebody Membe lakini uchaguzi huu upepo wa kisiasa upo kwa Lissu na Magufuli, hao ndiyo washindani wakuu wanaoleta afya kwenye taifa letu.
 
Kumbe Reli nlidhani SGR ya Trillion zaidi ya 7? Kwahiyo uliambiwa akikosoa Flyover basi hatojenga? Lissu anasema balancing ndio muhimu yaani wakati unanunua ndege 4 basi pesa ya ndege zingine nne peleka kwa kilimo cha umwagiliaji n.k

sio kwamba usifufue ndege kabisa. Point yake ni maendeleo ya watu yaani maendeleo yawe centered kwa human capital na sio miundombinu alafu anayeitumia hana kitu. Yatatukuta ya china ambapo uchumi unapaa ila wananchi ni maskini wa kutupwa!! Cheap labor!
China ipi unayoongelea wewe???
 
China ipi unayoongelea wewe???
Hii unayoifahamu ww mfanyakazi wa china utalinganisha maslahi yake na wa western world? Unajua Kwanini licha ya kuwa na GDP growth kubwa bado inabaki kwenye emerging economies na sio developed nation kma Japan?!
 
Hujui hata kujenga hoja maskini. Maendeleo ya miondombinu yaendane na maendeleo ya watu (social welfare)
Economic development towards economic growth hiki ndicho anachokiongelea Tundu Lissu.
Kama hauna hata chembe ya knowledge ya maendeleo ambayo watanzania na hata dunia ya kwanza ndipo ilipoanzia usibebwe na hoja hizo maana zitadhihirisha ujinga uliokujaa kichwani.
Hovyo kabisaaa. Umejifunzia wapi au umesikia jamaa yenu akipayukapayuka tuuu.
 
Back
Top Bottom