Masiya
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 7,602
- 7,332
Ukiwa na mentality fulani ni vigumu sana kumuelewa Lissu.Kuliko huyuu Lissu, bora ata Membe mara miamojaa, leo akiwa hapa kwetu Sumbawanga kadanganya eti treni ya Kaliua hadi Mpanda haifanyi kazi. Halafu akasema atajenga reli hadi momba, sijui kwa nini huyumgombea anajichanganya kila siku, wao chadema si hawapendi ujenzi wa miundombinu ya maendeleo, kwamba nikuhalibu fedha za umaa? Sasa nawao wakotayari kwa hayomatumizi mabaya ya fedha??