Uchaguzi 2020 Bernard Membe awe mtazamaji tu kwenye kuwania Urais

Uchaguzi 2020 Bernard Membe awe mtazamaji tu kwenye kuwania Urais

Kuliko huyuu Lissu, bora ata Membe mara miamojaa, leo akiwa hapa kwetu Sumbawanga kadanganya eti treni ya Kaliua hadi Mpanda haifanyi kazi. Halafu akasema atajenga reli hadi momba, sijui kwa nini huyumgombea anajichanganya kila siku, wao chadema si hawapendi ujenzi wa miundombinu ya maendeleo, kwamba nikuhalibu fedha za umaa? Sasa nawao wakotayari kwa hayomatumizi mabaya ya fedha??
Ukiwa na mentality fulani ni vigumu sana kumuelewa Lissu.
 
Lissu anawajua Watanzania vjzuri sana,wabongo hawapendagi mambo magumu kama anayoongea Lipumba na Zitto. Wabongo wanapenda vijembe na gossip,CCM walikuwa wanatumia sana style hii sasa safari Lissu anawapiga spanner kwa style hiyo huku Magufuli akinadi mandege na reli.

Lipumba alikuwa anaongea point tu lakini Mkapa akija anasema huyo professor uchwara tu hana anacbokijua,Mara hana mke wala familia. Mwaka huu CCM wanalia wao eti wanatukanwa.

We bwana hiyo para ya pili umeniumiza mbavu zangu kwa kucheka
 
Kuliko huyuu Lissu, bora ata Membe mara miamojaa, leo akiwa hapa kwetu Sumbawanga kadanganya eti treni ya Kaliua hadi Mpanda haifanyi kazi. Halafu akasema atajenga reli hadi momba, sijui kwa nini huyumgombea anajichanganya kila siku, wao chadema si hawapendi ujenzi wa miundombinu ya maendeleo, kwamba nikuhalibu fedha za umaa? Sasa nawao wakotayari kwa hayomatumizi mabaya ya fedha??

Soma ilani yao mbona wameiwekabkwenye mitandao humu mtu mzima na mwenye uwezo wa kusoma mbona unajiaibisha nsni kasema miundo mbinu haitakiwi CHADEMA wanasema wafanya kazi wasinyimwe nyongeza za mishahara kwa kisingizio cha kujenga miundo mbinu ijengwe huku wafanyakazi wanalipwa nyongeza ya mshahara na wastaafu wanalipwa pension yao
 
Kwan hata Lissu zaidi ya kuwapigia stories huko majukwaani, ana nini?
Umewahi kufukuzwa kazi
Siku ukikosa mshahara ndio utajua hii dunia kuna mtu ameumba

Kwa kuwa unapokea mshahara kutokana na kodi za wananchi unajisahau

Kuna siku utafukuzwa kazi utakosa hata pesa ya dawa ya meno

Usijisahau sana ,Haupo salama sana kazini
 
Soma ilani yao mbona wameiwekabkwenye mitandao humu mtu mzima na mwenye uwezo wa kusoma mbona unajiaibisha nsni kasema miundo mbinu haitakiwi CHADEMA wanasema wafanya kazi wasinyimwe nyongeza za mishahara kwa kisingizio cha kujenga miundo mbinu ijengwe huku wafanyakazi wanalipwa nyongeza ya mshahara na wastaafu wanalipwa pension yao
YAAANI NIHARIBU SIMU YANGU NA MB ZANGU, NADOWNLOAD ILAN YA CHADEMA KWELII??
 
Kuliko huyuu Lissu, bora ata Membe mara miamojaa, leo akiwa hapa kwetu Sumbawanga kadanganya eti treni ya Kaliua hadi Mpanda haifanyi kazi. Halafu akasema atajenga reli hadi momba, sijui kwa nini huyumgombea anajichanganya kila siku, wao chadema si hawapendi ujenzi wa miundombinu ya maendeleo, kwamba nikuhalibu fedha za umaa? Sasa nawao wakotayari kwa hayomatumizi mabaya ya fedha??
Tulia dawa ya Lissu ukuingie vzr
 
YAAANI NIHARIBU SIMU YANGU NA MB ZANGU, NADOWNLOAD ILAN YA CHADEMA KWELII??

Haya ni maajabu!!
Yaani wewe unaona fahari kutumia MB zako miaka yote kudownload ilani ile ile iliyotufikisha hapa tulipo ikiandikwa na watu wale wale kwa mtindo ule ule...
Ilani ambazo zinatoa ahadi zile zile zisizotekelezeka tangu nchi ipate Uhuru hadi kesho ipite...!!
Yaani wewe unaona fahari sana kuzingatia ilani ambayo wakishafika huko wanakotaka wanaiweka pembeni na kuanza kubuni na kutekeleza yasiyokuwamo...
Poor reasoning from a person like you who spent so many years at school...!!
Umenifikirisha sana Mkuu...
 
Nimekuwa nikifuatilia kauli za Bernard Membe kuanzia alipoteuliwe kuwa mgombea wa ACT Wazalendo.

The man is very soft. So naive. Bora hata Lowassa wa 2015. Yaani anaongea kama ananong'oneza fulani hivi hataki asikike. Anaibua mashaka mengi sana!

Nashauri watu wake wa karibu wamjulishe kuwa ni bora mara 100 akajiweka pembeni hadi baada ya uchaguzi.

Yaani anazidiwa hadi na JPM.
Membe ni Lowassa aliyechangamka!
 
Kuliko huyuu Lissu, bora ata Membe mara miamojaa, leo akiwa hapa kwetu Sumbawanga kadanganya eti treni ya Kaliua hadi Mpanda haifanyi kazi. Halafu akasema atajenga reli hadi momba, sijui kwa nini huyumgombea anajichanganya kila siku, wao chadema si hawapendi ujenzi wa miundombinu ya maendeleo, kwamba nikuhalibu fedha za umaa? Sasa nawao wakotayari kwa hayomatumizi mabaya ya fedha??
Hujui hata kujenga hoja maskini. Maendeleo ya miondombinu yaendane na maendeleo ya watu (social welfare)
Economic development towards economic growth hiki ndicho anachokiongelea Tundu Lissu.
Kama hauna hata chembe ya knowledge ya maendeleo ambayo watanzania na hata dunia ya kwanza ndipo ilipoanzia usibebwe na hoja hizo maana zitadhihirisha ujinga uliokujaa kichwani.
 
Nimekuwa nikifuatilia kauli za Bernard Membe kuanzia alipoteuliwe kuwa mgombea wa ACT Wazalendo.

The man is very soft. So naive. Bora hata Lowassa wa 2015. Yaani anaongea kama ananong'oneza fulani hivi hataki asikike. Anaibua mashaka mengi sana!

Nashauri watu wake wa karibu wamjulishe kuwa ni bora mara 100 akajiweka pembeni hadi baada ya uchaguzi.

Yaani anazidiwa hadi na Lissu.
Rais bora kuliko wote kwenye hizi mbio, ni Magufuli peke yake. Mzalendo namba 1.
 
Back
Top Bottom