Ukiwa na mentality fulani ni vigumu sana kumuelewa Lissu.Kuliko huyuu Lissu, bora ata Membe mara miamojaa, leo akiwa hapa kwetu Sumbawanga kadanganya eti treni ya Kaliua hadi Mpanda haifanyi kazi. Halafu akasema atajenga reli hadi momba, sijui kwa nini huyumgombea anajichanganya kila siku, wao chadema si hawapendi ujenzi wa miundombinu ya maendeleo, kwamba nikuhalibu fedha za umaa? Sasa nawao wakotayari kwa hayomatumizi mabaya ya fedha??
Kwa nini unajifariji lakini?Ndo mjue kuwa wananchi na wapiga kura wapo pamoja na mtu wao dhidi ya mtesi yule yule na vibaraka vyake...
Lissu anawajua Watanzania vjzuri sana,wabongo hawapendagi mambo magumu kama anayoongea Lipumba na Zitto. Wabongo wanapenda vijembe na gossip,CCM walikuwa wanatumia sana style hii sasa safari Lissu anawapiga spanner kwa style hiyo huku Magufuli akinadi mandege na reli.
Lipumba alikuwa anaongea point tu lakini Mkapa akija anasema huyo professor uchwara tu hana anacbokijua,Mara hana mke wala familia. Mwaka huu CCM wanalia wao eti wanatukanwa.
Kuliko huyuu Lissu, bora ata Membe mara miamojaa, leo akiwa hapa kwetu Sumbawanga kadanganya eti treni ya Kaliua hadi Mpanda haifanyi kazi. Halafu akasema atajenga reli hadi momba, sijui kwa nini huyumgombea anajichanganya kila siku, wao chadema si hawapendi ujenzi wa miundombinu ya maendeleo, kwamba nikuhalibu fedha za umaa? Sasa nawao wakotayari kwa hayomatumizi mabaya ya fedha??
Tuko tunajenga meal. Nyere hydro power, suala bei za umeme Tanzania itakuwa historiaBora kidogo uyu je anaongea mikojo na kujikataa.View attachment 1572874
Hakujiita, tundu lisu aliwatukana watumishi wa umaa eti nitakataka za jalalani, wala asibisheeAlijiita mwenyewe katolewa jalalani na mikojo unawaambiaje wananchi.
Umewahi kufukuzwa kaziKwan hata Lissu zaidi ya kuwapigia stories huko majukwaani, ana nini?
Jamaa yenu hajawahi kuwa na nia njema na taifa letu, zaidi ya kuwa kibaraka wa mabeberuUkiwa na mentality fulani ni vigumu sana kumuelewa Lissu.
YAAANI NIHARIBU SIMU YANGU NA MB ZANGU, NADOWNLOAD ILAN YA CHADEMA KWELII??Soma ilani yao mbona wameiwekabkwenye mitandao humu mtu mzima na mwenye uwezo wa kusoma mbona unajiaibisha nsni kasema miundo mbinu haitakiwi CHADEMA wanasema wafanya kazi wasinyimwe nyongeza za mishahara kwa kisingizio cha kujenga miundo mbinu ijengwe huku wafanyakazi wanalipwa nyongeza ya mshahara na wastaafu wanalipwa pension yao
Ha ha ha.......Yaani anazidiwa hadi na JPM.
Tulia dawa ya Lissu ukuingie vzrKuliko huyuu Lissu, bora ata Membe mara miamojaa, leo akiwa hapa kwetu Sumbawanga kadanganya eti treni ya Kaliua hadi Mpanda haifanyi kazi. Halafu akasema atajenga reli hadi momba, sijui kwa nini huyumgombea anajichanganya kila siku, wao chadema si hawapendi ujenzi wa miundombinu ya maendeleo, kwamba nikuhalibu fedha za umaa? Sasa nawao wakotayari kwa hayomatumizi mabaya ya fedha??
YAAANI NIHARIBU SIMU YANGU NA MB ZANGU, NADOWNLOAD ILAN YA CHADEMA KWELII??
Yule muuaji ana nia njema?Jamaa yenu hajawahi kuwa na nia njema na taifa letu, zaidi ya kuwa kibaraka wa mabeberu
Hakujiita, tundu lisu aliwatukana watumishi wa umaa eti nitakataka za jalalani, wala asibishee
Takataka alijiita kabudi labda kama ulianza siasa baada ya kabudi kupata uteuziHakujiita, tundu lisu aliwatukana watumishi wa umaa eti nitakataka za jalalani, wala asibishee
Membe ni Lowassa aliyechangamka!Nimekuwa nikifuatilia kauli za Bernard Membe kuanzia alipoteuliwe kuwa mgombea wa ACT Wazalendo.
The man is very soft. So naive. Bora hata Lowassa wa 2015. Yaani anaongea kama ananong'oneza fulani hivi hataki asikike. Anaibua mashaka mengi sana!
Nashauri watu wake wa karibu wamjulishe kuwa ni bora mara 100 akajiweka pembeni hadi baada ya uchaguzi.
Yaani anazidiwa hadi na JPM.
Wewe mbuzi, Lissu Angekuwa anapiga story ungetaja jina lake hapa?😀Kwan hata Lissu zaidi ya kuwapigia stories huko majukwaani, ana nini?
Hujui hata kujenga hoja maskini. Maendeleo ya miondombinu yaendane na maendeleo ya watu (social welfare)Kuliko huyuu Lissu, bora ata Membe mara miamojaa, leo akiwa hapa kwetu Sumbawanga kadanganya eti treni ya Kaliua hadi Mpanda haifanyi kazi. Halafu akasema atajenga reli hadi momba, sijui kwa nini huyumgombea anajichanganya kila siku, wao chadema si hawapendi ujenzi wa miundombinu ya maendeleo, kwamba nikuhalibu fedha za umaa? Sasa nawao wakotayari kwa hayomatumizi mabaya ya fedha??
Rais bora kuliko wote kwenye hizi mbio, ni Magufuli peke yake. Mzalendo namba 1.Nimekuwa nikifuatilia kauli za Bernard Membe kuanzia alipoteuliwe kuwa mgombea wa ACT Wazalendo.
The man is very soft. So naive. Bora hata Lowassa wa 2015. Yaani anaongea kama ananong'oneza fulani hivi hataki asikike. Anaibua mashaka mengi sana!
Nashauri watu wake wa karibu wamjulishe kuwa ni bora mara 100 akajiweka pembeni hadi baada ya uchaguzi.
Yaani anazidiwa hadi na Lissu.