Huyu jamaa, ‘jasusi mbobezi’, hana kabisa mvuto akiwa jukwaani.
Siasa kwake naona si jambo alilonalo kiasili.
Anajitahidi sana kuongea na kudondosha vibwagizo akiwa jukwaani, lakini wapi! Hamna kitu kabisa.
Maneno hayamtoki mdomoni kiulaini. Linganisha Lissu akiwa jukwaani na huyo Membe, ni usiku na mchana.
Sauti haina mvuto. Hana msamiati wa kutosha wa kuchotea vibwagizo kuendana na hadhira iliyo mbele yake.
Anachokiweza ni vijembe vya kimafumbo huko Twitter.
Nafurahi kuona si peke yangu nionaye hivyo...Hana bashasha......mashamsham wala machejo yoyote.....
Hana amsha amsha kabisa.......hasisimui......
Wee jamaa Mungu anakuonaHuyu jamaa, ‘jasusi mbobezi’, hana kabisa mvuto akiwa jukwaani.
Siasa kwake naona si jambo alilonalo kiasili.
Anajitahidi sana kuongea na kudondosha vibwagizo akiwa jukwaani, lakini wapi! Hamna kitu kabisa.
Maneno hayamtoki mdomoni kiulaini. Linganisha Lissu akiwa jukwaani na huyo Membe, ni usiku na mchana.
Sauti haina mvuto. Hana msamiati wa kutosha wa kuchotea vibwagizo kuendana na hadhira iliyo mbele yake.
Anachokiweza ni vijembe vya kimafumbo huko Twitter.
Nafurahi kuona si peke yangu nionaye hivyo...
Lissu mmoja ni sawa na kina Magufuli 70Hata kelele za ‘twende na Membe’ zimezima sasa.
Hata huyo Lissu mbona hana mvuto sema anabebwa na zile risasi.
Zitto ni mwanasiasa wa asili hivyo kuongea kwenye hadhira kwake ni kama kula migebuka tu.Kabisa!
Hata Zitto ana afadhali kuliko Membe.
We mzee toka upate kura mbili sijui dishi limeyumba [emoji2369]Duh...!, sasa itakuwaje?, maana huyu ndiye mgombea wa pamoja!. TL ni pace maker tuu!.
P
Hii Ina maana kwamba hata Chadema tu waliona kabla kuwa Member hastahili nafasi ya Lisu,
And among many Tanzanians, ndivyo huwa inavyokuwa wakati wa kupiga kura
Utashangaa CCM inashinda kwa kura za ✓ openly kabisa hata ingekuwa kwa kuhesabiwa mbele ya ushahidi wa CCTV
Kama uliona kampeni za kutia Nia CCM mwaka 2015 , kule Mtama Lindi ambapo Membe alikuwa akitia Nia Wala hili lisingekuwa surprise kwakoKabisa!
Hata Zitto ana afadhali kuliko Membe.
inawezekana amepaniki kwa sababu kubwa mbili......Huyu jamaa, ‘jasusi mbobezi’, hana kabisa mvuto akiwa jukwaani.
Siasa kwake naona si jambo alilonalo kiasili.
Anajitahidi sana kuongea na kudondosha vibwagizo akiwa jukwaani, lakini wapi! Hamna kitu kabisa.
Maneno hayamtoki mdomoni kiulaini. Linganisha Lissu akiwa jukwaani na huyo Membe, ni usiku na mchana.
Sauti haina mvuto. Hana msamiati wa kutosha wa kuchotea vibwagizo kuendana na hadhira iliyo mbele yake.
Anachokiweza ni vijembe vya kimafumbo huko Twitter.
Membe nilimuona 2015 Lindi, kwenye Urais CCM, huyu mtu siasa za jukwaani sio fani yakeNgumu now kuwa judge wagombea wa upinzani since hata media zinawaogopa..
Charisma ..Lissu Yuko juu hata ya Magufuli.
Magufuli ana advantage ya 'machinery'.. behind
Hizi hisia za huyu nyani zisikushtue, subiri kampeni zikianza.Duh...!, sasa itakuwaje?, maana huyu ndiye mgombea wa pamoja!. TL ni pace maker tuu!.
P
Lissu akienguliwa, huyo ndio mgombea.
Atabebwa na support ya chama.
Mbona Magufuli amepauka sana, lakini alishinda au kushindishwa?
...Aaah wapi!...Li
Lissu ni angel of death 💀... Dola inalijua hilo ndio mana hawam-face ... wanachokifanya wanamzunguka wanamnyoa mbawa mwisho wa siku ashindwe kuruka mbinu adhimu sana inatumika kumtuliza huyu bwana mkubwa
...Aaah wapi!...Li
Lissu ni angel of death 💀... Dola inalijua hilo ndio mana hawam-face ... wanachokifanya wanamzunguka wanamnyoa mbawa mwisho wa siku ashindwe kuruka mbinu adhimu sana inatumika kumtuliza huyu bwana mkubwa
Membe hata Nyalandu anamshinda, japo na yeye Ni product ya kubebwaZitto ni mwanasiasa wa asili hivyo kuongea kwenye hadhira kwake ni kama kula migebuka tu.
Membe alibebwa na mfumo wa siasa za tanzania