Uchaguzi 2020 Bernard Membe: Hatoki mtu hapa kwenye kinyang'anyiro cha Urais. Septemba 15 kinaanza kimbunga kumbakumba

KWAKWELI NAWAPONGEZA CCM KWA KUMFUKUZA KWENYE CHAMA HUYU JAMAA. FIKILIA LEO HII TUNGEKUWA NA MGOMBEA HUYU KWENYE CHAMA CHETU CHA CCM, MBONA TUNGETIA HURUMA KAMA CHADEMA. YAANI NI AFADHALI UMSIKILIZE HASHIM LUNGWE WA CHAUMA, KULIKO HUYU JAMAA.
PONGEZI ZIWAENDEE CCM KWA KUMTIMUA MAPEMA
 
Kibaraka tu huyo atupishe
 
Kuna game linatengenezwa ambalo ndiyo kaburi rasmi ya CCM before 28th October.

Stay turned... kauli ya Lissu Zanzibar na ukimya wa ACT si mwa bahati mbaya
ukiona choo ndotoni usikitumie
 
Ujio wa Lissu nchini, na kitendo cha Lowasa kuwasaliti wapenda mabadiliko, kumechangia sana kufifishwa kwa nyota ya Mh. Bernad Membe.
 
Kuna game linatengenezwa ambalo ndiyo kaburi rasmi ya CCM before 28th October.

Stay turned... kauli ya Lissu Zanzibar na ukimya wa ACT si mwa bahati mbaya
Nakuelewa mkuu ngoja tusubiri ni kesho tu...
 
Kaza buti twende baba.
 
Tundu na wafuasi wa CHADEMA ndio wanalialia Membe awasaidie
 
Kimbunga gani? Hiki ndio kimbunga?
 

Attachments

  • 2508706_65516dc9-4f6f-4565-aabf-2d87c35b06e5.jpg
    50.2 KB · Views: 1

Kutokana na wanasiasa wengi wa ccm kutegemea vyombo vya dola, inakuwa ngumu kwa wanasiasa kutoka ccm kuweza kufanya siasa, nje ya mbeleko ya vyombo vya dola. Sio kwamba hawawezi, ila ni ngumu sana kwao kufanya siasa zisizo na upendeleo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…