Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,135
- 48,827
Mnawatapeli watu korosho zao uko Mtwara.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
angalizo lako ni zuri , hii sasa tuwaachie madaktari wenyeweWatatumia kipimo gani kujua kuwa ajaye ni mjinga?
Wengi Tu...zimeshanunuliwa tani ngapi mpaka sasa, na ni wakulima wangapi wameshalipwa pesa yao taslimu?
Huu waraka umejaa majungu
Japo nina ' Upinzani ' wangu na Mheshimiwa Benard Membe hasa katika suala lake zima la Yeye kutaka kuwa Rais wa Tanzania na pia kuhusu ' Strategies ' zake kwasababu zangu ambazo nazijua mwenyewe ( na sihitaji niziweke hapa ) ila naomba nami leo niseme kwamba nadhani sasa huyu Benard Membe ' anaonewa ' tu na kuna Watu sasa wanataka ' Kuhalalisha ' maovu yao na unafiki wao kupitia mgongo wa Membe ili tu waaminike ama waaminiwe na mambo yao yaende sawa.
Benard Membe kama Mwanadamu, Mwanasiasa na Mwana CCM ( tena Kada kabisa ) ana mapungufu yake fulani fulani kama ambavyo Mimi GENTAMYCINE, Wewe na Yule tunayo lakini naanza kuona kama vile kuna Watu sasa ' nchi imewashinda ' hivyo wanataka kuanza ' Kuhalalisha ' huko ' Kushindwa ' Kwao kwa ' Kumsingizia ' Membe wakati ukweli ni kwamba waliaminiwa, wakapewa dhamana na kuna mahala ' wamekengeuka / wamekosea ' sasa yanawashinda wanakimbilia ' Kumsakama ' Mzee wa Watu Membe.
Jengeni nchi kama mlivyowaaminisha Watanzania na acheni Kumsumbua na Kumnyanyasa Mzee wa Watu Benard Membe. Sasa imetosha na hatutaki kusikia haya ' Malumbano ' ya ' Kipopoma / Kipumbavu ' ambayo sioni ' Tija ' yake kwa nchi na Taifa huku tukijua ya kwamba bado kuna matatizo mengi sana tena ya ' Kimaendeleo ' yanaisibu Tanzania yetu na Watanzania mmoja mmoja.
Binafsi ' nimechoka ' na huu Upuuzi / Upupu.
2020 twende na MembeView attachment 955390
Siasa za korosho zimemuinua zaidi Rais Magufuli na kumdhohofisha zaidi Bernard Membe katika ngome yake.
Kumekuwepo na tetesi kuwa, Bernard Membe, pamoja na mtandao wa watu wake wakiwemo, Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye, Mbunge wa Mtwara Vijijini, Hawa Ghasia na wengine wanaotokea Mikoa ya Ukanda wa Pwani; hawakufurahishwa na uamuzi wa Serikali ya Awamu ya Tano, chini ya Rais Dk. John Pombe Magufuli wa kununua korosho kwa wakulima tena kwa bei ya juu kuliko iliyokuwa imepangwa hapo awali.
Maneno aliyoongea Nape Nnauye bungeni yanaonyesha wazi kuwa bado hawakufurahishwa na uamuzi wa Serikali kununua korosho kwani Nape badala ya kufafanua uamuzi wa Serikali kuamua kununua korosho tena kwa bei ya juu, yeye:
- Aliwasifia wakulima kwa kuwa wavumilivu na watulivu.
- Kukosoa Serikali kuwa, haikutumia busara kushughulikia sakata la korosho.
- Kuitaka Serikali inunue haraka korosho ili wakulima wasipate hasara zaidi.
- Halmashauri kuingia hasara kutokana na kutegemea korosho.
Aidha, akiwa ziarani mkoani Arusha, Rais Dk. John Pombe Magufuli aliwatuhumu baadhi ya wanasiasa kwa kutaka kuihujumu Serikali katika uuzaji wa zao la korosho. Alisema kuwa, baadhi yao walinunua korosho changa kwa wakulima katika mfumo wa kangemba na sasa wanataka kuiuza wakati hawana mashamba. Rais alisema korosho itakayonunuliwa ni ile ya wale watakaoonyesha mashamba yao na watakaoshindwa kuonyesha mashamba yao, korosho yao itataifishwa.
Hivyo, ni wazi kuwa, wanasiasa wa Mikoa ya Kusini anakotokea Membe na Nape, walijisikia vibaya sana kuona Serikali ikiamua kununua korosho tena kwa bei ya Tsh. 3,300.
So alichofanya Dk. Bashiru ni mwendelezo wa hatua za kisiri siri za kundi la Membe kuihujumu Serikali ya Awamu ya Tano, tena kwa kusaidiwa na baadhi ya Makada wa Chama, ambao wengi wao ndio waliokuwa Viongozi kwenye utawala uliopita na ambao wameachwa ama kutumbuliwa katika Awamu ya Tano.
Hata kujiuzulu nafasi ya uenyekiti wa Kamati ya Bajeti, Hawa Ghasia ni kutokana kushindwa kwake kuishauri Serikali kwa kuwa, alikuwa katika kundi linalohujumu Serikali.
Kwa ujumla, kitendo cha Rais Dk. John Pombe Magufuli kuamua kununua korosho tena kwa bei ya juu ya Tsh. 3,300 kimewaacha Wapinzani wake ndani ya CCM midomo wazi kwani hawakutegemea kabisa kuwa, Serikali ingekuwa tayari kwenda that extra mile. Walijidai kumu-beep Magufuli, naye akawaoigia - sasa wanaugulia mioyoni mwao.
Na ghafula Kanda ya Ziwa, Kanda Kati, Kanda ya Kusini na Kanda ya Magharibi zimeenda kwa Magufuli huku Nyanda za Juu yote (isipokuwa Mbeya) ikiwa pia kwa Omuzilankende. Kanda ipi imebaki? Huko Kaskazini baada ya CHADEMA kumkorofisha has kumdharau Lowassa, ni wazi 2020, itakuwa nusu kwa nusu.
Ngoja tuone!!
Eti huyu nae mwanamme,Wanaume wanaenda wanaisha Wallah,umebaki kutudharirisha Wana Mara wenzio kwa upuuzi wako,wote tunaonekana vilaza kwa ajili ya njaa zako,mwana Mara gani tena mwanaume wakujipendeza kwa wanaume wenzio kiasi hicho?.badilika unatuaibisha,unakera sana.View attachment 955390
Siasa za korosho zimemuinua zaidi Rais Magufuli na kumdhohofisha zaidi Bernard Membe katika ngome yake.
Kumekuwepo na tetesi kuwa, Bernard Membe, pamoja na mtandao wa watu wake wakiwemo, Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye, Mbunge wa Mtwara Vijijini, Hawa Ghasia na wengine wanaotokea Mikoa ya Ukanda wa Pwani; hawakufurahishwa na uamuzi wa Serikali ya Awamu ya Tano, chini ya Rais Dk. John Pombe Magufuli wa kununua korosho kwa wakulima tena kwa bei ya juu kuliko iliyokuwa imepangwa hapo awali.
Maneno aliyoongea Nape Nnauye bungeni yanaonyesha wazi kuwa bado hawakufurahishwa na uamuzi wa Serikali kununua korosho kwani Nape badala ya kufafanua uamuzi wa Serikali kuamua kununua korosho tena kwa bei ya juu, yeye:
- Aliwasifia wakulima kwa kuwa wavumilivu na watulivu.
- Kukosoa Serikali kuwa, haikutumia busara kushughulikia sakata la korosho.
- Kuitaka Serikali inunue haraka korosho ili wakulima wasipate hasara zaidi.
- Halmashauri kuingia hasara kutokana na kutegemea korosho.
Aidha, akiwa ziarani mkoani Arusha, Rais Dk. John Pombe Magufuli aliwatuhumu baadhi ya wanasiasa kwa kutaka kuihujumu Serikali katika uuzaji wa zao la korosho. Alisema kuwa, baadhi yao walinunua korosho changa kwa wakulima katika mfumo wa kangemba na sasa wanataka kuiuza wakati hawana mashamba. Rais alisema korosho itakayonunuliwa ni ile ya wale watakaoonyesha mashamba yao na watakaoshindwa kuonyesha mashamba yao, korosho yao itataifishwa.
Hivyo, ni wazi kuwa, wanasiasa wa Mikoa ya Kusini anakotokea Membe na Nape, walijisikia vibaya sana kuona Serikali ikiamua kununua korosho tena kwa bei ya Tsh. 3,300.
So alichofanya Dk. Bashiru ni mwendelezo wa hatua za kisiri siri za kundi la Membe kuihujumu Serikali ya Awamu ya Tano, tena kwa kusaidiwa na baadhi ya Makada wa Chama, ambao wengi wao ndio waliokuwa Viongozi kwenye utawala uliopita na ambao wameachwa ama kutumbuliwa katika Awamu ya Tano.
Hata kujiuzulu nafasi ya uenyekiti wa Kamati ya Bajeti, Hawa Ghasia ni kutokana kushindwa kwake kuishauri Serikali kwa kuwa, alikuwa katika kundi linalohujumu Serikali.
Kwa ujumla, kitendo cha Rais Dk. John Pombe Magufuli kuamua kununua korosho tena kwa bei ya juu ya Tsh. 3,300 kimewaacha Wapinzani wake ndani ya CCM midomo wazi kwani hawakutegemea kabisa kuwa, Serikali ingekuwa tayari kwenda that extra mile. Walijidai kumu-beep Magufuli, naye akawaoigia - sasa wanaugulia mioyoni mwao.
Na ghafula Kanda ya Ziwa, Kanda Kati, Kanda ya Kusini na Kanda ya Magharibi zimeenda kwa Magufuli huku Nyanda za Juu yote (isipokuwa Mbeya) ikiwa pia kwa Omuzilankende. Kanda ipi imebaki? Huko Kaskazini baada ya CHADEMA kumkorofisha has kumdharau Lowassa, ni wazi 2020, itakuwa nusu kwa nusu.
Ngoja tuone!!
Well said mzee. Watu na uelewa wao mdogo hawawezi kuelewa hujuma zinazofanywa na Watanzania kwa Nchi zao. Ingekuwa tunaambizana kwa uwazi, ungeshangaa kukuta kuwa, zaidi ya wale waliotajwa na Gazeti la Tanzanite, kuna mikubwa wao anayewapa baraka, hivyo Rais Magufuli asiwahurumie, awafyekelee mbali.Umenena vyema. Ni mkakati mzuri. Wawangalie vizuri huenda wanapata ushawishi wa fedha na mambo mengine kutoka kwa mabeberu wa nje. Ikithibitika watoswe mapema.
Mmenunua tani ngapi za korosho?? Kama hakuna majibu acha upumbavuChadema wako bize kumpotosha Membe kama walivyompotosha Lowasa.
Mahaba ya Chadema kwa Membe yanasitajaabisha , badala ya kumlilia Mbowe yupo gerezani wako bize kumlilia mwana ccm Membe!!!!
Mabeberu yanayokuja ikulu kuongea na magufuli au?Umenena vyema. Ni mkakati mzuri. Wawangalie vizuri huenda wanapata ushawishi wa fedha na mambo mengine kutoka kwa mabeberu wa nje. Ikithibitika watoswe mapema.
Tanzanite gazeti chochezi weweWell said mzee. Watu na uelewa wao mdogo hawawezi kuelewa hujuma zinazofanywa na Watanzania kwa Nchi zao. Ingekuwa tunaambizana kwa uwazi, ungeshangaa kukuta kuwa, zaidi ya wale waliotajwa na Gazeti la Tanzanite, kuna mikubwa wao anayewapa baraka, hivyo Rais Magufuli asiwahurumie, awafyekelee mbali.