Tetesi: Bernard Membe na mtandao wao hawakufurahia uamuzi wa Rais Magufuli kununua korosho kwa wakulima tena kwa bei kubwa kuliko iliyopendekezwa

Wewe unataka na wakulima wengine wakopwe na kudhulumiwa km wakulima wa korosho?
 
Mkuu Mbeya ipi unaizungumzia wewee.? Huko kote tayari wananchi wamemuelewa Rais Magufuli na kinachofuata ni ushindi wa kishindo 2020
 
Watumishi fanyeni hujuma indirect dhidi ya serikali hii onevu ni miaka 3 hakuna ongezeko la mishahara na maslahi yenu yanazidi kukandamizwa.
 
Eti huyo nae mmetoka nae Mkoa mmoja wa Mara?
 
Kuna aliye angalia jana kipindi cha dakika 45 ITV? Waziri wa kilimo alisema kwa sasa korosho zinakusavywa tu halafu zitauzwa,then wakulima watakuja kulipwa.



Ina maana wamekopwa.. very sad
 
ungeniambia zao la ming'oko kidogo ningejua labda aliyekutuma angalau aliyemtuma kukutumia wewe labda amepata usingizi angalua wa lisaa limoja tangu hili jina la mbobezi Membe kutajwa lakini kwakuwa umekuja bila kuchanganya na za kwako karibu upokee vidonge kama ma lumpen wenzako hili upate usingizi
 
swali langu kila siku litakuwa moja mpaka mtakapotoa jibu la uhakika "KAMA SUALA LA KOROSHO LIMEMUINUA MAGUFULI NA KUMDHOOFISHA MEMBE, SASA KWANINI BADO MNAMUOGOPA MEMBE KIASI HICHO HADI KUPELEKEA KUKOSA BALANCE HUKO SERIKALINI"
 
Imemuinua kwenye nini, wakati wakulima had I sasa hivi wanalia na haijulikani kama watoto wataenda shule January?

Malipo ya mwaka huu yanazidi Yale ya mwaka Jana na juzi ambapo bei ilifika elfu tatu na mia nane?

Nyie mpo Dar huko mnaongelea watu wanaolima korosho? Mliwatengeneza wanakijiji wa Mtonya-Tunduru wawasifie sasa hivi wanalia njaa.
 

Kwa post hii sipati picha mkifungiwa chumba kimoja na magu kama patatosha.
 
zimeshanunuliwa tani ngapi mpaka sasa, na ni wakulima wangapi wameshalipwa pesa yao taslimu?
Huyo jamaa kama atakujibu niambie, sisi huku ntwara tunalia hakuna hela na korosha inshachukuliwa , malipo danadana. Mara ooh wanasiasa wanahujumu mara sijui kangombo wew kama hela unayo si ulipe hela ya watu .sasa unalilia nin au hiyo biashara hukuifanyia utafiti.


Hii nchi wanasiasa wameiharibu sana na sisi vijana tupo busy kushabikia utumbo wa wanasiasa.....duuuu hatariiii


Chakushangaza zaidi eti katibu wa ccm nae anaenda kwenye media kumshambulia mwezake eeeee ,hivi siku hizi ofisi za katibu mkuu na kamati kuu ya chama chetu kipi huko media kwanini asingemwita ofisini kwake kwa barua na kuraruana huko? Hatarii nyingine hiiiyoo.....

Hivi je kwa kurushiana maneno hayo mmetatua matatizo ya wananchi?, mkulima kahawa analia, mahindi huko Ruvuma ,Mbeya na Sumbawanga mvua zimeanza sijui kama huyo mkulima mahindi yake ameuza??! Ebu nimuulize mzee summry eti muzee umeuza mahindi yako huko Sumbawanga?!!?? Pia mgogoro wa membe na katibu mkuu umetatua tatizo lako mzeee??????? Haaaaa mbona unacheka mzee?????


Lets focus on crucial issues nawachukia sana wanasiasa wa Tz , mmejaa mjungu halafu hakuna mlitendalo ,ujuaji mwingi kama Nape lkn jimbo lake matatizo kibao anashindwa kutatua
 
Yaani jiwe na kinyesi bora kinyesi kitatumika kama mbolea aisee yaani anapenda pesa za wenzie sana
 
Mpaka sasa tani ngapi zimenunuliwa?
Au manunuzi ya uporaji?
 
naamanisha kuwa Serikali iwasaidie pia wakulima wa mazao mengine
Sasa kwani wakulima wa korosho wamesaidiwa au wamedhulumiwa?
Rejea walivyodhulumiwa ruzuku na sasa hivi wamekopwa korosho ambako kulingana na historia ya Jiwe kulipwa ni majaliwa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…