Uchaguzi 2020 Bernard Membe: Nina dhamira ya kuwania urais wa Tanzania

Uchaguzi 2020 Bernard Membe: Nina dhamira ya kuwania urais wa Tanzania

Cannabis

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2014
Posts
11,557
Reaction score
33,535


Aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya nje na Ushirikiano wa Kimatifa wakati wa Serikali ya Tanzania, Bernard Membe ambaye mwezi Februari mwaka huu chama chake cha CCM kilipendekeza kumvua uanachama wake amesisitiza kuwa dhamira na uamuzi wake wa kuwania nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Bernard Membe amesisitiza kuwa ana nia hiyo kutokana na mazingira anayoyaona sasa hivi, na hiyo ni kuendana na katiba ya Chama Cha Mapinduzi, amenukuliwa akisema:

"Naomba kutumia nafasi hii kuwaambia wa Tanzania wasijewakadhani hata siku moja kwamba ni dhambi kupambana na Rais aliyopo madarakani, ukidhani kwamba ni dhambi ni ujinga hii ni haki yako yakikatiba unayo haki yakuchagua na kuchaguliwa".
 
Pambana na huyo Magufuli mpaka kieleweke. Washa moto ndani ya CCM ili kumtoa Ikulu. Anajua fika kwamba ukichukua form KWISHA HABARI yake kwani wengi ndani ya CCM hawataki hata kusikia sauti yake au kumuona sura yake.
 
Pambana na huyo Magufuli mpaka kieleweke. Washa moto ndani ya CCM ili kumtoa Ikulu. Anajua fika kwamba ukichukua form KWISHA HABARI yake kwani wengi ndani ya CCM hawataki hata kusikia sauti yake au kumuona sura yake.
Thus kaprintiwa fomu moja tu ajawahi weza ushindani wowote
 
Membe siyo mpumbavu! Anafahamu fika ndani ya Ccm ana kundi kubwa tu linalo muunga mkono na lisilo pendezwa na udikteta unao endelea kutamalaki kwenye chama na nchi kwa ujumla.

Nina imani kungekua na uchaguzi huru na haki, mwaka huu angemgaragaza Rais aliyeko madarakani kwa kura nyingi sana endapo tu angegombea kupitia chama chochote kile cha kisiasa. Watanzania wanataka kuishi maisha bora, na siyo bora maisha.
 
Huyu Baba kichekesho sana. Mimi ningekuwa niyeye ningemuunga mkono raisi maana anafanya kazi nzuri. Ni kipi Membe ataleta kizuri au Magu hajafanya?
Au watu tunataka kurudi kwenye kupiga??God forbid Membe hawezi kuwa raisi wa JMT
 
Huyu Baba kichekesho sana. Mimi ningekuwa niyeye ningemuunga mkono raisi maana anafanya kazi nzuri. Ni kipi Membe ataleta kizuri au Magu hajafanya?
Au watu tunataka kurudi kwenye kupiga??God forbid Membe hawezi kuwa raisi wa JMT
Baadaye ndiyo utajua kama ni kichekesho ama lah!!
Kwa sasa kaa chini tazama muvi kama sisi
 
Huyu Baba kichekesho sana. Mimi ningekuwa niyeye ningemuunga mkono raisi maana anafanya kazi nzuri. Ni kipi Membe ataleta kizuri au Magu hajafanya?
Au watu tunataka kurudi kwenye kupiga??God forbid Membe hawezi kuwa raisi wa JMT

Wewe na MATAGA wenzio muungeni mkono huyo JIWE lakini Membe na CCM tuliowengi na Umma wa Tanzania tunamng'oa Jiwe mwaka huu 2020. Jiwe ni one term President.
 
Back
Top Bottom