Kinjeketile
JF-Expert Member
- Dec 24, 2013
- 999
- 1,683
Magufuli atashinda kwa 100% by the way who is Membe? Alishafukuzwa kama Mbwa koko aende zake huko
Sasa kama atashinda kwa 100% mbona mmeprint form moja na huku mtaani mmemwaga POLICCM?
By the way kaa chini unywe maji Bwashee ili upunguze hasira 😂 😂😂