Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Membe na Lowassa wote wana mangumashi mengi ambayo ili kuyalinda lazima wawe CCM, ngoja "kesi" za Membe and Co. Ltd zianze uone moto wake! Afrika kuna mazingaombwe na sio siasa!Membe kafukuzwa lowasa hakufukuzwa...
Moja alisema maadui zake watakimbilia nairobi vile sasa sijui yeye atakimbilia zombeNdugu wana jamvi,
Kuna hiki kinachoendelea ndani ya bongo politics. Tuliyashuhudia ya EL sasa ni zamu ya MB.
Swali la msingi la kujiuliza je kuondoka kwao ccm ni kunafanana kwa maana membe ameondoka km lowasa na atarud km lowasa au kuna tofauti kati yao?
Hivi wakatinaamviwa hamuwezi kuungana kwani mda hautoshi hamkusikia?Wewe umeaje kwamba Zitto hataki ushirikiano?
Nimemsikiliza Membe akihojiwa na Kubenea amesema yupo tayari kumuunga mkono mgombea yoyote anayekubalika zaidi ndani ya upinzani,na Zitto anaongea nauli hiyo hiyo.
Labda CHADEMA haipo tayari kumuunga mkono mgombea wa ACT? Kama ni hivyo huo ni ubinafsi ni bora kila chama kisimame kivyake ili kujijenga. CCM haiwezi kutawala milele nchi hii lazima itadondoka tu.
Tatizo Watanzania tunapenda mabadiliko Ila hatuwapendi wanaojaribu kutuletea hayo mabadilikoGrave mistake...
Ataweza mikiki ya policcm? Au atakimbia kama wenzake
ACT wasije kurudia makosa ya CDM kwa
ACT- wanatafuta wabunge na kura za urais tuu na watafanikiwa
Wazee mmezidi ramliHii chama ni mali ya TISS..
Kumbuka kiliporwa toka kwa wanyonge
Kiongozi mkuu ni TISS kama mrema..
Membe yupo kazini kuhakilisha ushindi wa ccm..
Analipwa kwa kazi hii ya kipumbafuuu
Cut9c9Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe katika ukurasa wake wa Twitter amepakia picha akiwa anatabasamu huku akiwa ameshika Katiba ya chama cha ACT Wazalendo . Je, inaashiria kwamba amehamia katika chama hiki? Ikumbukwe Membe amefukuzwa kwenye chama cha Mapinduzi siku za hivi karibuni.
Amenukuliwa mara kwa mara akitaka kugombea Urais wa JMT.
Kiongozi mkuu wa chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe ameweka wazi kuwa kesho Julai 16, 2020 watamtambulisha rasmi aliyekuwa waziri wa mambo ya nje Bernard Membe kuwa mwanachama rasmi wa chama hicho baada ya kufukuzwa na chama chake cha zamani (CCM).
Zitto ameweka wazi hayo kwenye ujumbe alituma kwenye ukurasa wake wa twitter akiwa ameweka picha ya Membe huku akiwa ameshikilia kitabu cha ACT-Wazalendo.
Kwa muda mrefu sasa Bernard Membe amekuwa akihusishwa na kuhamia kwenye chama cha ACT wazalendo baada ya kufukuzwa CCM baada ya kukiuka baadhi ya taratibu za chama hicho.
Kwa mujibu wa taarifa iliyochapishwa kwenye ukurasa wa mwanahalisi Membe atatambulishwa kwenye ukumbi wa kimataifa wa mikutano wa Mlimani City mbele ya wanachama wa chama hicho.
Hivi huku ndio kunuka aliko sema atanuka endapo ataguswa?Kachero mbobezi kazini huku akisaidiwa na chameleon