Hata Msigwa alikuwa na mbwembwe kama hizi za Membe, nadhani unajua kilichotokea.A man with his balls..Big up Membe..Radhi for what?for who?Dikteta atawapelekapeleka hao hao wapuuz wengine
Kaguswa wapi?Anatapatapa huyo! Si alisema niguse ninuke kaguswa mbona hakunuka
Itabidi tumchukue awe mgombea wetu ama siyo?Hakika !
Huyu ni chinga mama wewe, na msigwa ni mnyalu.Hata mchungaji Msigwa alimwambiaga hivyo hivyo mzee Kinana kwamba kamwe hatamwomba radhi na kama anamind aende mahakamani.
Kilichofuatia wote tunakijua.
tunawaandaa kisaikolojia , Jiwe atakatwa mapema sana , mipango yote imekamilikamkuu, utawapandisha watu pressure bure... ohooo!
Alishatimuliwa ccm huyo hana impact yeyoteTopic ni Membe na ccm mkuu
atagombea kwa tiketi ya ccmItabidi tumchukue awe mgombea wetu ama siyo?
Hakuna kitu pale.Huyu ni chinga mama wewe, na msigwa ni mnyalu.
Huyu ukitema nchale ukimeja nchale.
Ipo siku akionewa mtu kama usemavyo, watu watajitoa muhanga lolote na liweNgoja wamtafutie kesi ya uhujumu uchumi au kodi isiyolipoka
Ccm, ndy maana mpo hapaWho cares?
Unaongea kujifarij tu mkuu ila ukweli unaujua sasa hapa sijui unamfurahisha naniatagombea kwa tiketi ya ccm
hajafukuzwa , kamati kuu ilipendekeza afukuzwe , wakagwaya baada ya kuonywa , ndio kisa cha Mangula kulishwa sumuAlishatimuliwa ccm huyo hana impact yeyote
Siku akitoka huko kwa kishindo msijinyeeLakini ukimya wake tu jamaa!! Hajiamini,
kwenye wanaccm wewe haumo , unajua ni nani ataongoza vikao vya mchujo ?Unaongea kujifarij tu mkuu ila ukweli unaujua sasa hapa sijui unamfurahisha nani
Hakuna mtu mwoga kama membe
Unaweza kuweka ushahidi hapa?hajafukuzwa , kamati kuu ilipendekeza afukuzwe , wakagwaya baada ya kuonywa , ndio kisa cha Mangula kulishwa sumu
Ccm, ndy maana mpo hapa