Anatapatapa huyo! Si alisema niguse ninuke kaguswa mbona hakunuka
Hii ngoma mbichi ndungu mtz Kaa mbali nayo Usije ukababuliwa kwa joto. Hilo Jasusi linajuwatusio yajuwa let keep silenceMwamba wa Kusini amenena moja kwa moja kupitia ukurasa wake wa Twitter.
Kuna maswali?
View attachment 1470338
Huyu jamaa lofa sana,sasa nani anashida na msamaha wake,apambane na khali yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nawe weka ushshidiUnaweza kuweka ushahidi hapa?
Sisi tunajua Katibu Mkuu wa chama alitangaza kutimuliwa kwa Membe chamani, sasa hayo madai yako hebu tuwekee ushahidi hapa.
Afanywe mara ngapi?Hawana cha kumfanya maana wanaogopa kunuka
Wacheni kujibaraguza nyinyi magamba, kwa Membe hamna ujanja wa kumfanya loloteHata mchungaji Msigwa alimwambiaga hivyo hivyo mzee Kinana kwamba kamwe hatamwomba radhi na kama anamind aende mahakamani.
Kilichofuatia wote tunakijua.
Jasusi mbobezi hatetereki[emoji2]
Makavu yapi sasa hapo? Mtu kutimuliwa chama kuna kuguswa zaidi ya huko?Ndiyo hiyo sasa anawapa makavu live
Ngoja wamtafutie kesi ya uhujumu uchumi au kodi isiyolipoka
Comment yako inakuweka huko, pimbi na panya wanatofsutiana, wewe ni panya buku. Ukimwaga mkojo nakumwagia uharoUna ushahidi kwamba mimi ni CCM? Fuatilia michango yangu for the last 10 years na ushee then uje na ushahidi. Wewe ni pimbi tu ambaye umevamia meli hata hujui inakwenda wapi.
Kuna kuguswa zaidi ya kutimuliwa chamani?. Ccm siyo chadema! Ccm chama kwanza mtu baadaeThubuutuuuuu, kaguswa nini? Yaani unatabiri mvua kunyesha kipindi cha masika alafu unajisifu?
Ushahidi upi?Nawe weka ushshidi
Who cares?
Lakini ukimya wake tu jamaa!! Hajiamini,
Kabisa mkuuHana lolote huyo Membe. Katika watu wasioamini hao wanaccm wachafu, mimi ni mmojawapo. Unaweza kukuta anachimba huo Mkwara, kumbe lengo lake ni kujiwekea mazingira ya kupewa ulaji.
Mtu mwoga angeshalamba viatu.Hakuna mtu mwoga kama membe
Mayalla mwenyewe akili zimehama kisa njaaMayalla p, kamshauri membe awe mzalendo aombe radhi