Bernard Membe: Sitaomba msamaha!

Unajuwa Mh wetu kuna mambo alipaswa yapotezea Ila kwa hili naona kama ni hatari sana Membe kuna kitu anajuwa nauwenda kinamuuma sana sote atujuwi. Ila ugumu unakuja nani wakumvika paka kengele? Hujipendi? Nakama ukimgusa hauwez tikisa Nchi? ,,nani wako nyuma yake na wana agenda gani? Je ukigusanisha moto na milipuko haviwez tokea?
 
Ndiyo maana anajiamini na wao wanamuogopa lkn kwa Membe nadhani wamegonga pabaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…