Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Afanywe mara ngapi sasaWacheni kujibaraguza nyinyi magamba, kwa Membe hamna ujanja wa kumfanya lolote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afanywe mara ngapi sasaWacheni kujibaraguza nyinyi magamba, kwa Membe hamna ujanja wa kumfanya lolote
Hata kinana mlimtengenezea akaunti eki ila kawaumbuaMwamba wa Kusini amenena moja kwa moja kupitia ukurasa wake wa Twitter.
Kuna maswali?
View attachment 1470338
Mguseni muone atakavyo waumbua nyinyi magambaHata kinana mlimtengenezea akaunti eki ila kawaumbua
Afanywe mara ngapi sasa
Ushahidi upi?
Umeonaeeeeee?anaombwa msamaha ni Mungu pekee.
Makavu yapi sasa hapo? Mtu kutimuliwa chama kuna kuguswa zaidi ya huko?
He's Infinitesimal...Mguseni muone atakavyo waumbua nyinyi magamba
Naona unampigania jasusi mbobeziWacha kujipendekeza wewe
Membe 2020!Hakuwa na mpango na lichama chakavu
Kwahivo atakuwa chama jipya chadema ama siyo?Hakuwa na mpango na lichama chakavu
Unajuwa Mh wetu kuna mambo alipaswa yapotezea Ila kwa hili naona kama ni hatari sana Membe kuna kitu anajuwa nauwenda kinamuuma sana sote atujuwi. Ila ugumu unakuja nani wakumvika paka kengele? Hujipendi? Nakama ukimgusa hauwez tikisa Nchi? ,,nani wako nyuma yake na wana agenda gani? Je ukigusanisha moto na milipuko haviwez tokea?
Mwamba wa Kusini amenena moja kwa moja kupitia ukurasa wake wa Twitter.
Kuna maswali?
View attachment 1470338
Naona unampigania jasusi mbobezi
Membe 2020!
Chadema oyeeeee
Kwahivo atakuwa chama jipya chadema ama siyo?
Na Yule aliyekimbilia chato Kwa kuogopa Corona utamwitaje?Hakuna mtu mwoga kama membe