Naweza ishamgilia wala sibishivila sio hii ya sasa iliyooza na kujaa wanafiki na majizi...
Ni kweli. Umejuaje?
Nasema hivi ili ufurahi ila ukweli wajua.
M4C=MAGUFULI 4 CHANGE...Chama Cha Majizi
Wewe ulijua kanali Kinana atatubu?Wacha kumdhalilisha mzee wa watu, Membe siyo size yenu
Nitetemeke kisa Membe?
Nakuhakikishia subiri Mbowe atakuduwaza tena kama 2015
Mtu mwoga angeshalamba viatu.
M4C=MAGUFULI 4 CHANGE...
Usimlinganisha Kinana na mh MembeWewe ulijua kanali Kinana atatubu?
Haaa huyo sio mlamba viatu kama weee[emoji3]
Wewe ulijua kanali Kinana atatubu?
kwenye kikao cha saa saba mchana siku ya mchakato wa kuteua majina ya uraisi july 2015 kuna makubaliano yalifanyika kuwa jpm atawale miaka mitano halafu amwachie membe!!!sasa naona jpm kagoma anataka atawale hadi pale moyo wake wa betri utakaposimama ndio uwe mwisho wa utawala wake!!!tusubiri tuone!!!Unajuwa Mh wetu kuna mambo alipaswa yapotezea Ila kwa hili naona kama ni hatari sana Membe kuna kitu anajuwa nauwenda kinamuuma sana sote atujuwi. Ila ugumu unakuja nani wakumvika paka kengele? Hujipendi? Nakama ukimgusa hauwez tikisa Nchi? ,,nani wako nyuma yake na wana agenda gani? Je ukigusanisha moto na milipuko haviwez tokea?
Kupitia chama gani?Aombe msamaha achekwe huku bado ana ndoto za kuwania uraisi 2020?
Hakuna mtu mwoga kama membe
uoga wake unaonekana wapiHakuna mtu mwoga kama membe
Membe ni jasusi pia
Yule aliomba msamaha for a reason; wanasema ana makontena yake hajayalipia ushuru, sasa kama unajiamini wewe ni msafi msamaha wa nini?!
Kosa kubwa ambalo binadamu wengi uwa tunakosea ni kutojua ni muda gani sahihi wa kuacha jambo (not to know when to quit). Hili lilimkumba Sumaye pia hakujua ni muda gani wa kuachana na siasa hadi akageuka kituko.Mwamba wa Kusini amenena moja kwa moja kupitia ukurasa wake wa Twitter.
Kuna maswali?
View attachment 1470338
Kwanza sikuona sababu ya kujisumbua ili kujua hilo maana hana sifa ya kusumbua akili yanguWewe ulijua kanali Kinana atatubu?