Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Tulishamtimua huyo tunangojea chadema mumchukue awe mgombea wenu kama 2015Kiboko yenu magamba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulishamtimua huyo tunangojea chadema mumchukue awe mgombea wenu kama 2015Kiboko yenu magamba
Asingefutwa uanacha kama ni mbivu...Sizitaki mbichi hizi
Sasa atakuwa wapi sasa maana kwenye chama chakavu tulimtimuaHuna haki ya kumpangia
Huyo ndio mgombea wa ccm oktober!tujiandae kisaikolojia!!
Utakuka kubaki mdomo wazi sana siku mojaMwanaume pekee mwenye balls zake aliebaki Tanzania. Anaeweza kusema waziwazi dhidi ya Baba Suzzy.
Sasa atakuwa wapi sasa maana kwenye chama chakavu tulimtimua
Andika vizuri basi mbona unatetemeka kisa Membe?Utakuka kubaki mdomo wazi sana siku moja
Membe hawezi kuishi bila siasa! Maana huko ndio anakopatia ugaliHaikuhusu na hakuna sehemu imeandikwa kuwa bila siasa hakuna maisha
Asingefutwa uanacha kama ni mbivu...
Mwanaume pekee mwenye balls zake aliebaki Tanzania. Anaeweza kusema waziwazi dhidi ya Baba Suzzy.
Yaani account hii ilifunguliwa 2017 wakati alikua foreign affair minister for some uears?Mwamba wa Kusini amenena moja kwa moja kupitia ukurasa wake wa Twitter.
Kuna maswali?
View attachment 1470338
Okei, anakuja lichama jipya chadema! Hapo je?Alisha amua kutoka kwenye lichama chakavu
Membe 2020!
Chadema oyeeeee
Nitetemeke kisa Membe?Andika vizuri basi mbona unatetemeka kisa Membe?
Unaweza kukuta Membe alishaomba msamaha kimya kimya kama January Makamba!siasa si hasa
Okei, anakuja lichama jipya chadema! Hapo je?
Naweza ishamgilia wala sibishivila sio hii ya sasa iliyooza na kujaa wanafiki na majizi...Utaishangilia sana wewe gambaz
Unaweza kukuta Membe alishaomba msamaha kimya kimya kama January Makamba!
Ni kweli. Umejuaje?Chadema naona imewashika sehemu mbaya sana magamba