Mackanackyyy
JF-Expert Member
- Mar 26, 2019
- 2,338
- 5,271
Tueni mzigo wenu huuNimesikilza
Kwa makini mahojiano hayo,yalipangwa na DW na ni bias kabisa
Nasema hivyo kwa sababu eti ni Watanzania tu pekee ndio tutaathirika wakati hata Zambia wataathirika tena pakubwa kuliko sisi watanzania kwa sababu asilimia 70 %ya mizigo ya Zambia inatoka Tanzania
Kwanza mzigo wa Zambia umepungua tu sana Dar Port..Hapa ndipo mnapojidanganya!
Hakuna Bandari zingine kwani Africa?
Nimesikilza
Kwa makini mahojiano hayo,yalipangwa na DW na ni bias kabisa
Nasema hivyo kwa sababu eti ni Watanzania tu pekee ndio tutaathirika wakati hata Zambia wataathirika tena pakubwa kuliko sisi watanzania kwa sababu asilimia 70 %ya mizigo ya Zambia inatoka Tanzania
Kwa Taarifa yako, Vifo vya Corona havipungui 50 kila siku, ndo maana Jiwe Mwanzo aliamuru wazikwe Usiku alipoona anatukanwa akajidai wazikwe kawaida na nduguVitu vingine vinatia hasira!! Miiko gani tumejitenga nayo? Kuna chuki Kali sana dhidi ya Tanzania isiyokuwa na sababu!! Kinachowakasirisha zaidi ni kutuona tunadunda na tunaendelea na shughuli zetu!! Walitazamia tufe kwa maelfu na haijawa hivyo!! Inawauma sana!!!
Rais wetu Dr Magufuli mamilioni ya watanzania tunakushukuru sana kwa uongozi wako katika kipindi hiki ambacho vinginevyo tungepita kwenye ugumu sana!! Tukikushukuru watanzania ikutoshe maana hao mabeberu na vibaraka wao hatutegemei kama wanaeeza kukiri uongozi wako imara japo nafsini mwa o wanajua hivyo! Mungu yuko upande wetu ndio maana matazamio yao hayajafanikiwa!!
Kodi kiasi gani unalipa wewe? Clueless idiotMtumwa wa fikra utamtambua tu!! Hata akiwa na uwezo namna gani bado hawezi kujiamini!! Tunaishi kwa kodi zetu pamoja na kwamba mabeberu wametupora sana!! Wanakasirika sana kuona ofisi namba moja haiingiliki!!
Hivi unauhakika kuwa bado yupo Chato?Amfuate Jiwe Chato akamuelezee
kwani wewe una taarifa gani za vifo???au ndio kigogo kakwambia vifo ni 1400??Bila kupata taarifa unajuaje kama hatufi kwa maelfu?
Mbona amefafanua yote, soma tena habari yote. Suluhisho la dunia ni kufuata maelekezo yote ya WHO ikiwamo lockdown na cha muhimu kupima kwa wingi pamoja na kufunga mikusanyiko ya aina yoyote sio kuchagua ipi isimamishwe. Kiufupi fuatilia maelezo ya WHO kama yamefuatiliwa yote.Nauliza tu kupanua ufahamu wangu:
Anaposema kuigharimu Tanzania 'kiunajimu' anamaanisha nini? Je, 'suluhisho la ulimwengu' juu ya Corona ni lipi?
Mtu mweusi kweli hajiamini !
Usa kila siku analitukana shirika la afya kuwa linatumika na China
Magufuli kuwa challenges Ndio iwe kosa?
Huyu Baba sijui Kwanini hampendi Rais wetu
Hata wewe hujiamini, mbona hata simu ,nguo viatu chupi ulizovaa zote zimebuniwa na mtu mweupe ,hata simu uliyonunuliwa na wazazi wako vyote ni vya watu weupe.Mtu mweusi kweli hajiamini !
Usa kila siku analitukana shirika la afya kuwa linatumika na China
Magufuli kuwa challenges Ndio iwe kosa?
Huyu Baba sijui Kwanini hampendi Rais wetu
Utoaji wa verified updated daily reports which is per WHO standards.Mahitaji gani kwa mfano yalowekwa na WHO ambayo hayajazingatiwa? ushauri upi wa kitaalamu haujahimizwa na viongozi wananchi waufate?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie Praise team ndio mnaoua watanzania wenzenu bila kujua.Vitu vingine vinatia hasira!! Miiko gani tumejitenga nayo? Kuna chuki Kali sana dhidi ya Tanzania isiyokuwa na sababu!! Kinachowakasirisha zaidi ni kutuona tunadunda na tunaendelea na shughuli zetu!! Walitazamia tufe kwa maelfu na haijawa hivyo!! Inawauma sana!!!
Rais wetu Dr Magufuli mamilioni ya watanzania tunakushukuru sana kwa uongozi wako katika kipindi hiki ambacho vinginevyo tungepita kwenye ugumu sana!! Tukikushukuru watanzania ikutoshe maana hao mabeberu na vibaraka wao hatutegemei kama wanaeeza kukiri uongozi wako imara japo nafsini mwa o wanajua hivyo! Mungu yuko upande wetu ndio maana matazamio yao hayajafanikiwa!!
Sukumawiki ni mboga ya majani yenye vitamin C.Nimesikilza
Kwa makini mahojiano hayo,yalipangwa na DW na ni bias kabisa
Nasema hivyo kwa sababu eti ni Watanzania tu pekee ndio tutaathirika wakati hata Zambia wataathirika tena pakubwa kuliko sisi watanzania kwa sababu asilimia 70 %ya mizigo ya Zambia inatoka Tanzania