Bernard Membe: Tanzania diplomasia imeshuka awamu hii. Tutatengwa na majirani wakiona hatufuati vigezo vya WHO kupambana na COVID19

Bernard Membe: Tanzania diplomasia imeshuka awamu hii. Tutatengwa na majirani wakiona hatufuati vigezo vya WHO kupambana na COVID19

Mtu mweusi kweli hajiamini ! Usa kila siku analitukana shirika la afya kuwa linatumika na China
Magufuli kuwa challenges Ndio iwe kosa?

Huyu Baba sijui Kwanini hampendi Rais wetu
Marekani äna hiyo muscle though, hata hivyo huu uamuzi wa Marekani umekosolewa vikali pia
 
MEMBE: KUTENGWA NI ANGUKO LA TANZANIA
"Kukosoa Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO) na kukataa kushirikiana na washirika wa kimataifa na kikanda katika mapambano dhidi ya virusi vya Corona itagharimu Tanzania kiunajimu, Waziri wa zamani wa Mambo ya nje wa Tanzania", Bernard Membe alisema.

"Tutanyimwa fedha, utalii utashuka, ndege hazitakuja, wawekezaji wataambiwa wasije Tanzania na tunaweza hata kuwekewa vikwazo," Membe aliambia chapisho hili.
Kila mtu, alionya, hafurahii kwa jinsi Tanzania inavyopambana na janga hili ikiwa ni pamoja na WHO, Viongozi wa Afrika Mashariki, Viongozi wa SADC, Jumuiya ya Afrika (AU), benki ya IMF / Dunia, nchi za Ulaya, Merika na Uchina.

"Ni jambo rahisi tu kuelewa kuwa janga la kidunia kama hili inahitaji suluhisho la ulimwengu. Suluhisho za ulimwengu na kikanda zinahitaji mshikamano na mbinu na mikakati ya pamoja. Tunaonekana tukijitenga, tunalaumu na kutuhumu hata marafiki wetu bora duniani. Tunahitaji kufanya kazi pamoja na ulimwengu kupunguza na kutatua janga hili. Ninamsihi Rais na Serikali kufanya hivyo, lazima tubadilike na kwenda sambamba na ulimwengu! " alisema Membe.
Alitoa wito kwa nchi kufuata kikamilifu mahitaji yaliyowekwa na WHO na kufuata ushauri wa wataalam
Image may contain: 1 person, eyeglasses and closeup
Pumba ,takataka ,kinyesi ,mavi ya nguruwe,,tupa kule ,hamuwezi na hamtaweza,njama za kifala dhidi ya awamu ya tano,pathetic

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtu mweusi kweli hajiamini ! Usa kila siku analitukana shirika la afya kuwa linatumika na China
Magufuli kuwa challenges Ndio iwe kosa?

Huyu Baba sijui Kwanini hampendi Rais wetu
Kwa hiyo Trump akilitukana shirika la WHO na sisi Tz tutukane twende naye sawa.
 
Mtu mweusi kweli hajiamini ! Usa kila siku analitukana shirika la afya kuwa linatumika na China
Magufuli kuwa challenges Ndio iwe kosa?

Huyu Baba sijui Kwanini hampendi Rais wetu

Ni mpuuzi fulani hivi, walizoea kwenda huko kushikwa shikwa makalio kwa pesa za wanyonge, sasa kukosa hiyo nafasi kipindi hiki anatabili vitu ambavyo havipo, WHO wenyewe njaa tupu wanasubilia michango ya mataifa ndo wajiendeshe, jambo la corona halina masikini wala nchi tajiri na ili dunia itulie corona =lazima iishe dunia nzima. Sasa tutatengwaje wakati hatutakuwa na corona?
 
Back
Top Bottom