Uchaguzi 2020 Bernard Membe tulimjua tangu awali. Hatusumbui, Mabadiliko ni lazima mwaka huu!

Ndio wapinzani wetu hawa. Soon zitaanza U turn
Hakuna cha u turn. Watanzania tumeshaamua mwaka huu ni Tundu Antiphas Lissu tu kwa Uraisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania. Haijalishi nani yupo nae na nani hayupo nae. Tumeshasema sisi watanzania tunamchagua Tundu Antiphas Lissu kuwa Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020-2025
 
Jasusi akiwa bado asset hajitambulishi wala hawajulikani huwezi kuwa jasusi halafu ukajianika huyo sio jasusi mbobezi. ila huyu ni kama alivyokuwa kina Sumaye wale walitumwa kazi maalumu ila CDM wakashtuka mapema kabla ya uchaguzi. 2015 habari nyingi zilipenyezwa CCM hata wale waliohama kama kina Silinde na yule aliyekuwa mkuu wa wilaya Dodoma wale ni walitumwa tu. Sumaye kwenye ule mkutano walioitwa ikulu wastaafu wote akajisahahu na kusema, kuwa kwangu upinzani ni kwa manufaa ya CCM, hapo nikajuwa mzee kajisahahu watu wakamshtukia wakamlia timing kumdhalilisha, uchaguzi wa Pwani mgombea pekee hana upinzani akapigwa chini kwa aibu. revenge done.
 
Hawajisahau wanajua wanalolifanya............"Just Making A Statement"
 
. Furaha Hii ni kwa sababu Kuu kuwa ile siku yetu muhimu i karibu sana. Tumebakiza siku Saba watanzania tuandike historia kuu, itakayosomwa na kuheshimiwa na vizazi na vizazi.[emoji1536][emoji1536][emoji1536][emoji1536][emoji1534][emoji1534][emoji1534][emoji1548][emoji1548][emoji818][emoji818][emoji818][emoji818][emoji617][emoji617][emoji617][emoji777][emoji777][emoji777]
 
Sana CCM 100% HAIJAWAHI TOKEA
 
Sahihi kabisa!! Historia tunayoenda kuiweka watanzania hapo tarehe 28 hakuna kizazi cha Tanzania itaisahau Milele na milele. Ccm tunaenda kuiangusha rasmi na kumuweka Tundu Antiphas Lissu madarakani. Kama Mungu aishivyo hil linaenda kutimia kwa Jina la Yesu Kristo!
 
Mabadiliko lowasa, lowasa mabadiliko huku mnazungusha mikono kama manyumbu. Walipasuka 2015,mkashindwa kuingia sasa jembe kaja kaziba upenyo. Mwaka huu kipondo mtakachopata, kitakuwa funzo la karne. Mungu mbariki John Pombe Magufuli.
 
Mabadiliko lowasa, lowasa mabadiliko huku mnazungusha mikono kama manyumbu. Walipasuka 2015,mkashindwa kuingia sasa jembe kaja kaziba upenyo. Mwaka huu kipondo mtakachopata, kitakuwa funzo la karne. Mungu mbariki John Pombe Magufuli.
JPM=90%
LISU=8%
VINGINE=2%

Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
 
Membe project ya CCM iliyofeli kabla haijaanza.
 
HIVI NANI ANAMJUA MEMBE?
Kura zetu zielekezwe kwa mwanamapinduzi Lissu na wabunge wake.
 
Leo mnamkana wakati mlishadadia kuja kwake na mlimsifu kuwa yule ni Kachero mbobezi leo mnaanza kumponda. Tulieni sindano iwaingia vizuri, sasa anakwenda kukinukisha mahakama kuu.Mliambiwa mtengeneze assets zenu kwa kukuza vipaji lakini kila kukucha mnasubiri wahamiaji toka ccm. Jinga wapinzani, mwaka huu mnakwenda kushindwa vibayaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Membe project ya CCM iliyofeli kabla haijaanza.
Utajua kama imefeli siku ya ijumaa, hakikisha unazo pilton za kutosha mfukoni, vinginevyo hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…