Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
- Thread starter
- #81
Watauzaje kwa mfano?Wapinzania watauza nchi. Tusifanye makosa Oktoba 28. Chagua Magufuli ✅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watauzaje kwa mfano?Wapinzania watauza nchi. Tusifanye makosa Oktoba 28. Chagua Magufuli ✅
Ndo ulivyokaririshwa huko Lumumba?Membe ni mzalendo,anaipenda Tanzania.
Ndio maana tumesema tamaa za zitto, walitakiwa wajifunze yaliyotokea 2015 kwa edo, sema sikio la kufaHivi Membe alitumwa na nani agombee urais kupitia ACT?
Yaani Maalim Seif na Zitto Kabwe walijikuta tu wanamsimamisha Membe urais bila kujua alikujaje kwenye chama chao!
Yaani "ugwiji" wao wote kwenye siasa ACT hawakuwahi kufaham "asili" ya Membe?
Basi atakua mshkaji fulani hiviHamna kachero mzee.
Una uhakika gani hili sio jina langu halisi, acha uzoba mkuuSasa tu kama hapa JF umeogopa kutumia jina lako halisi..utaweza kweli kulinda kura wewe?
"Takwimu zao zinaonyesha hakuna dalili yoyote kwa Mgombea wa Chama cha Meko full kupata hata asilimia 40 ya kura. Chama cha Meko full wameshakata tamaa na ushindi. Kwa msingi huo wamepangwa kumtangaza Mgombea wa Chama Cha Meko full usiku wa manane.Hawezi fanya kampeni Kwa sababu atagawa kura za CCM, hili ndio hofu yao kubwa kwa tiss na ccm. Wao plan yao ilikuwa ni kwamba cdm na act kwa pamoja wamsimamishe yeye, na kwa jinsi ilivyo inaonekana hii ilikuwa ni plan ya tiss ili wawe na mgombea mbadala baada kuona jiwe hafai na hakubaliki, tatizo ila wamechelewa sana. Huyu jiwe kweli hawakumjua miaka yote, basi huko tiss kuna tatizo kubwa sana.
Inamcontradict nani???Hii statement ni full contradiction
Lakini kumbuka Zitto hajawahi kuwa CCM na alishawahi kuwa CHADEMA kwa muda mrefu.Labda tuambie ni viashiria gani vinavyosababisha wewe usimuamini Zitto??Huyo Membe hata kabla hajafukuzwa CCM nilisema kabisa huyo sio wa kumuamini, na wengi wetu tulisema hata akiondoka CCM asipokelewe CDM, na hata akipokelewa asipewe nafasi yoyote, kwani somo la Lowassa lilikuwa bado bichi. Na kweli kaondoka CCM kwa maelekezo maalum, akaenda ACT ambapo alikuwa analazimisha muungano ili yeye ndio awe mgombea kwa maslahi ya CCM. Nashukuru Mungu alipotezewa..
Lkn kumbuka Zitto hajawahi kuwa ccm,na alishawahi kuwa CDM kwa muda mrefu.Labda tuambie ni viashiria gani vinavyosababisha wewe usimuamini Zitto??
Sent from my TECNO WX3 using JamiiForums mobile app
Kwenye karatasi ya kupigia kura mzalendo Membe ni namba tisa.Ndo ulivyokaririshwa huko Lumumba?
Kwani kuna shida gani??? Watanzania wote tunaenda kumchagua Tundu Antiphas Lissu kwenye karatasi izo za kuraKwenye karatasi ya kupigia kura mzalendo Membe ni namba tisa.
Aliyekuambia ukiwa na Elimu lazima upate ajira ndo maana kila siku kuilalamikia serikali ajira jiajiri tuna vijana wa ajabu karne hiiKumbe hata ajira huna???
Hivi wewe tindo bado tu unajifunza mambo ya siasa za TZ? Bado tu hujakomaa? Yaani bado unaamini Maalim Seif ni mpinzani wa kweli na kwamba "atawavusha" wapemba? Unaamini vipi Maalim ni mpinzani wa kweli wakati anafanyia harakati zake kupitia ACT chama ambacho una yakini kuwa ni cha makada wa CCM? Yaani wewe una akili zaidi bali Maalim Seif hajitambui kwa kitendo chake kuwa mwenyekiti na mgombea urais wa ACT ya CCM?Huyo Membe hata kabla hajafukuzwa CCM nilisema kabisa huyo sio wa kumuamini, na wengi wetu tulisema hata akiondoka CCM asipokelewe CDM, na hata akipokelewa asipewe nafasi yoyote, kwani somo la Lowassa lilikuwa bado bichi. Na kweli kaondoka CCM kwa maelekezo maalum, akaenda ACT ambapo alikuwa analazimisha muungano ili yeye ndio awe mgombea kwa maslahi ya CCM. Nashukuru Mungu alipotezewa.
ukweli uko hivi, huko ACT mpinzani wa kweli ni Maalim Seif na wapemba wenzake, hata huyo Zitto ni wa kuwa naye makini, maana hicho chama cha ACT ni cha kina hao Membe, J.K. nk. Tahadhari CDM wawe makini sana na Zitto, maana Membe ndio mwenye ACT na yuko upinzani ili kusoma ramani dhidi ya CDM. Katika mazingira hayo hakuna uwezekano wa kumuamini Zitto.
Wamefeli vibaya sana...Chama Cha Matatizo ni halali yetu; tarehe 28/10/2020 lazima ing'oke.Hawezi fanya kampeni Kwa sababu atagawa kura za CCM, hili ndio hofu yao kubwa kwa tiss na ccm. Wao plan yao ilikuwa ni kwamba cdm na act kwa pamoja wamsimamishe yeye, na kwa jinsi ilivyo inaonekana hii ilikuwa ni plan ya tiss ili wawe na mgombea mbadala baada kuona jiwe hafai na hakubaliki, tatizo ila wamechelewa sana. Huyu jiwe kweli hawakumjua miaka yote, basi huko tiss kuna tatizo kubwa sana.
Sawa bhana.Ni suala la muda.Mkuu nilichokisema sina shaka nacho.
Watanzania wote? Labda wewe na mama yako.Kwani kuna shida gani? Watanzania wote tunaenda kumchagua Tundu Antiphas Lissu kwenye karatasi izo za kura