Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
- Thread starter
- #41
No matter what!! Hakuna wa kuharibu mission ya wananchi mwaka huu!! Wananchi kwa sauti moja tumeshasema liwake jua, inyeshe mvua Raisi wetu wa Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020-2025 ni Tundu Antiphas LissuTatizo la Act lipo Kwa zitto,hii mission yote anaijua vzr na wala kutoka moyoni hafurahishwi lisu kuwa raisi,zitto ni mnafiki na anajua kinachofanyika Kwa membe toka siku ya kwanza membe kujiunga naye,hata membe kutumwa kuja Act kuibomoa chadema ni mission za zitto.