Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani shida iko wapi? Suala sio nani awe kiongozi, Suala ni mabadiliko ya kweli ya kuikomboa nchi yetu!Wote wawili wanataka nafasi moja, na wote wapo kwenye karatasi ya kupigia kura lakini mmoja anaambiwa amuunge mkono mwenzake, je maana ya yeye kuwepo kwenye karatasi iko wapi?
Tumewahi kubadilika lini kwenye kutaka mabadiliko ya kweli ya kulikomboa Taifa Letu?Mnabadilika kama kinyonga! Mlikuwa mnamshangilia Usalama sahau nishike ninuke
Unapoteza muda wetu bureTumewai kubadilika lini kwenye kutaka mabadiliko ya kweli ya kulikomboa Taifa Letu???
Wajaribu tu!! Wamuone Al Bashir ameishia wapiHata waje na vifaru na wale makomandoo wanaovunjaga tofali pale taifa, kura tutalinda, hatuogopiii
Kwani nao walishawajibishwa na tume? Tulieni. Hakuna ikulu ya watovu wa nidhamu mamaaa. Mtagalagazwa asubuhii. Na tutawadhomea mchana kweupeeSehemu pekee yenye watu waongo, waliokosa uadilifu na wasio na nidhamu ni CCM
Ntapiga kura ....nasema kura ntapigaUmuhimu ni mkubwa sana Mkuu.
Mpo hapa mnajitekenya na kucheka wenyewe, wala hutauawa utapigwa tu miguu ipinde na Lissu tarehe 2 November anakimbilia ubelgiji huku nyuma wewe na wenzako mnachechemea kwenye wheelchair.Ni Heri wachache tuumie na hata tuuwawe mwaka huu ila vizazi na vizazi vijavyo vya Tanzania viishi katika Tanzania bora yenye haki na maendeleo ya kweli ya watu na vitu.
Muda gani? Wa kuua na kuteka watu? Au kubambikia watu makesi??! Au wa kujenga uwanja wa ndege Chato??Unapoteza muda wetu bure
SASA UPINZANI NZIMA NANI MWADILIFU? MTAJE HAPA.Huyo Membe hata kabla hajafukuzwa CCM nilisema kabisa huyo sio wa kumuamini, na wengi wetu tulisema hata akiondoka CCM asipokelewe CDM, na hata akipokelewa asipewe nafasi yoyote, kwani somo la Lowassa lilikuwa bado bichi. Na kweli kaondoka CCM kwa maelekezo maalum, akaenda ACT ambapo alikuwa analazimisha muungano ili yeye ndio awe mgombea kwa maslahi ya CCM. Nashukuru Mungu alipotezewa...
Mkuu, ninachotaka kusema hapa ni kwamba ACT wasingesimamisha mgombea kabisa ingeleta taswira yenye mashiko au mgombea wao angetangaza kujitoa kwenye kinyang'anyiroKwani shida iko wapi??? Suala sio nani awe kiongozi, Suala ni mabadiliko ya kweli ya kuikomboa nchi yetu!!
Kwani kuna shida gani akisema pamoja na Jina langu kuwepo kwenye karatasi ya kura, anaomba watanzania wampigie kura Tundu Antiphas Lissu
Hata mtupige na kutuua wote. Hatuachi kulinda kura zetu mwaka huu!! Na kwa taarifa yako, Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020-2025 ni Tundu Antiphas Lissu. Utake usitakeMpo hapa mnajitekenya na kucheka wenyewe, wala hutauawa utapigwa tu miguu ipinde na Lissu tarehe 2 November anakimbilia ubelgiji huku nyuma wewe na wenzako mnachechemea kwenye wheelchair...
SASA UPINZANI NZIMA NANI MWADILIFU?? MTAJE HAPA.
Zitto ana tamaa sana, alitaka kupata viti vingi bungeni na alidhani Membe ni mtu sahihi kumbe ameingia cha kikeMkuu, ninachotaka kusema hapa ni kwamba ACT wasingesimamisha mgombea kabisa ingeleta taswira yenye mashiko au mgombea wao angetangaza kujitoa kwenye kinyang'anyiro
Membe ni kachero yupo kazini.Membe ni mpinzani? Mimi mwenyewe ni muadilifu, mke wangu na kundi kubwa la wapinzani ni waadilifu.
Kwani nao walishawajibishwa na tume? Tulieni. Hakuna ikulu ya watovu wa nidhamu mamaaa. Mtagalagazwa asubuhii. Na tutawadhomea mchana kweupee