Uchaguzi 2020 Bernard Membe tulimjua tangu awali. Hatusumbui, Mabadiliko ni lazima mwaka huu!

Uchaguzi 2020 Bernard Membe tulimjua tangu awali. Hatusumbui, Mabadiliko ni lazima mwaka huu!

Sasa tu kama hapa jf umeogopa kutumia jina lako halisi..utaweza kweli kulinda kura wewe?

Mkuu kwani hao magaidi wanaolipua huwa unawaona mitaani wakitamba, au majina yao yakiwa hadharani? Kuficha uhusika ni mbinu ya mapambano na sio uoga.
 
Hivi Chadema mko serious mna kwama wapi kila chaguzi mnaomba wagombea wengine wawaunge mkono saizi mnataka Membe atoe tamko kuwa anamuunga Mkono Lissu asipotamka mnasema tulimjua kabla wakati kuna wakati mlidai Membe anaweza kuitoa CCM madarakani
Lini Chadema walisema Membe anaweza kuitoa CCM madarakani?
 
Naona washatuchezea mchezo mchafu wakusema ulipo jiandikisha ndo apoapo ukapigie kura u ni wizi wa asubui

Sa si bora nife

Watu tunasafiri kutafuta mapesa kama Kidukulilo lole gafla tunaambiwa turudi inamaana wale ambao awatarudi izo kura zishaibwa mapema ndo maana naona bado bongo muvi hii sasa sijui tuipe jina gani i riwaya
 
Hivi Chadema mko serious mna kwama wapi kila chaguzi mnaomba wagombea wengine wawaunge mkono saizi mnataka Membe atoe tamko kuwa anamuunga Mkono Lissu asipotamka mnasema tulimjua kabla wakati kuna wakati mlidai Membe anaweza kuitoa CCM madarakani

Hakuna mpinzani wa kweli anamuamini Membe asiye hata na mvuto. Wakati anapakwa mafuta kwa mgongo wa chupa ni ili aivuruge ccm. Sasa hivi ni mchekeshaji kama wachekeshaji wengine.
 
Naona washatuchezea mchezo mchafu wakusema ulipo jiandikisha ndo apoapo ukapigie kura u ni wizi wa asubui

Sa si bora nife

Watu tunasafiri kutafuta ela kama Kiduku lole gafla tunaambiwa turudi inamaana wale ambao awatarudi izo kura zishaibwa mapema ndo maana naona bado bongo muvi hii sasa sijui tuipe jina gani i riwaya
Hata Ccm wafanyaje mwaka huu Mungu na Watanzania tumeshawakataa. Mie Nipo Ruvuma ila nilijiandikisha Dar. Nitasafiri kwenda Dar nikapige kura!!
 
Hata Ccm wafanyaje mwaka huu Mungu na Watanzania tumeshawakataa. Mie Nipo Ruvuma ila nilijiandikisha Dar. Nitasafiri kwenda Dar nikapige kura!!
Bora ata umenipa hamasa yani hizi mbivu lazima zisiwe mbichi tena tumechoka mno angalia china daaa nikiwa nasoma uchumi wetu ulikua sawa na china na Singapore ila sa ivi ni vumbi tuu inaonekana kasi yao si ya kitoto yani unaweza uita uchumi husen bolt

Embu sasa tupate laza mingine
 
Maalim alifukuzwa CCM,alifukuzwa CUF na siku akimletea ubabe Zito kwa jazba zake atafukuzwa ACT.

kwanini walimpitisha BM kuwa mgombea wa ACT ilhali wao wanaimani na Lissu? walikubaliana kumuunga mkono Lissu kwenye vikao vya chama ama kwa ubabe wake yeye na Zitto? kama kweli walikubaliana kumuunga mkono Lissu kwanini wapinzani wa hii nchi ni wachumia tumbo,bado sana.
 
Huu uamuzi umetoa pigo kubwa sana kwa chama cha mboga mboga. Nakumbuka nilitoa tahadhari kwamba kinachoendelea kiko juu ya uwezo wa akili ndogo huko Lumumba.

Waone tu wanavyohangaika humu; eti badala ya kushangilia kuwa upinzani una mgogoro, wao ndio mstari wa mbele wakinung'unika kama makahaba na kweli ni makahaba. Mchezo uliochezwa hapa hakuna, narudia, hakuna kinyago huko Lumumba kinachojua kitakachowakuta Oktoba 28.

Kwa sasa naachia hapa nisije nikawaamsha waliolala...Mh. Tundu Antiphas Lissu, kaza spana!
 
Maalim alifukuzwa CCM,alifukuzwa CUF na siku akimletea ubabe Zito kwa jazba zake atafukuzwa ACT.

kwanini walimpitisha BM kuwa mgombea wa ACT ilhali wao wanaimani na Lissu?
walikubaliana kumuunga mkono Lissu kwenye vikao vya chama ama kwa ubabe wake yeye na Zito?
kama kweli walikubaliana kumuunga mkono Lissu kwanini wapinzani wa hii nchi ni wachumia tumbo,bado sana.

Ilikuwa ni strategy ya awali just in case Tume ingeleta figisu na kugoma kumpitisha Lissu awe mgombea! Zitto, Maalim na Lissu walisha yamaliza na ndio maana hata Lissu alitinga kwenye mkutano wa ACT kumpitisha Maalim kuwa mgombea wa Znz na akapewa nafasi ya kuongea - akampamba kuwa "Maalim ni Taasisi"!
 
HATA MFANYEJE HAKUNA IKULU YA WANANDOA WATOVU WA NIDHAMU NA WAONGO WAONGO DUNIANI KOTE. WAGOMBEA WENU KWA KUTOKUWA NA UADILIFU, CCM ITAWAGALAGAZA ASUBUHI SAANA. OCTOBER 28 INAKIMBIA HARAKA SAANA.
Vitambulisho vya machanga unaweza chukulia mkopo Benki 😹
 
Mission yake imefeli vibaya. Inabidi CCM na vibaraka wao wajue tu kuwa mwaka huu wananchi hatutaki utani. We really mean business
Hawezi fanya kampeni Kwa sababu atagawa kura za CCM, hili ndio hofu yao kubwa kwa tiss na ccm. Wao plan yao ilikuwa ni kwamba cdm na act kwa pamoja wamsimamishe yeye, na kwa jinsi ilivyo inaonekana hii ilikuwa ni plan ya tiss ili wawe na mgombea mbadala baada kuona jiwe hafai na hakubaliki, tatizo ila wamechelewa sana. Huyu jiwe kweli hawakumjua miaka yote, basi huko tiss kuna tatizo kubwa sana.
 
Hata sasa akijiita Ben Mamba hatutishi! Apeleke ujinga mbali sana huko! Nkt
 
Jamaa alitumwa tu kuja kukamilisha mission sasa amekuta akili kubwa zinafanya kazi, na nimefurahi kwamba CDM na ACT wanampuuza kwa kiwango cha lami
Hivi Membe alitumwa na nani agombee urais kupitia ACT?

Yaani Maalim Seif na Zitto Kabwe walijikuta tu wanamsimamisha Membe urais bila kujua alikujaje kwenye chama chao!

Yaani "ugwiji" wao wote kwenye siasa ACT hawakuwahi kufaham "asili" ya Membe?
 
Amani iwe nanyi wadau!

Kwa wapenda mabadiliko wenzangu napenda kuwasalimu kwa furaha sana. Furaha Hii ni kwa sababu Kuu kuwa ile siku yetu muhimu i karibu sana. Tumebakiza siku Saba watanzania tuandike historia kuu, itakayosomwa na kuheshimiwa na vizazi na vizazi...
Mtaisoma namba kuchukua makapi
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Membe akifikiri akifika huku field atakuta kelele za mitandaoni pia.

Kaingia mguu kakuta kina kirefu. Kaona kama ni aibu wacha iwe hivyo
 
Kwahili pandikizi laomwaka huu limegonga ukuta haturudi nyuma tumekaribia kulipwa wavuvi malizetu tulizo haribiwa nautawala lisu kasema anatulipa wavuvi
 
Back
Top Bottom