Bernard Membe: Walionifukuza CCM wapo wapi? 12 Oktoba 2021 Kazi iendelee

Bernard Membe: Walionifukuza CCM wapo wapi? 12 Oktoba 2021 Kazi iendelee

Mama ameshaeneaaaa......

Chezea Amiri Jeshi na mwenyekiti wa CCM weweee.......๐Ÿคฃ

ADUMU CHIFU MKUU HANGAYA
ADUMU CHIFU WETU MKUU HANGAYA aaamen aaamen ๐Ÿ™
๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜๐Ÿ˜ Zidumu pia fikra sahihi za Chief Mkuu Hangaya. ๐Ÿƒ๐Ÿƒ
 
Ikifikia hapa siasa huwa ngumu saana, yaani mtu unashiriki kumtimua katika chama afu baada ya muda anaibuka tena mwenye mamlakq kukuzidi ndani ya chama ..laah

Kweli kuchimba kaburi kupokezana chepe!!
 
Ukisikia mwanasiasa anaongea fungua dirisha uone ni mweusi au mweupe. Kama ni mweupe Zima taa au funga milango, kama ni mweusi washa taa
 
Membe anapopatwa na tatizo hua ni mtulivu sana!

Kikwete akipatwa na tatizo hua ni mtulivu sana! Hua hawaropoki hovyo hovyo, wao hua wanatulia kimya,wanaacha mda utaongea wenyewe!

Ni wakati wa Musiba na Genge lake kuomba samahani kwa Membe na Kikwete! Kipindi kile Musiba anasema wewe Membe kama kaka yako Kikwete alishindwa kukupitisha uwe Rais wa Tanzania,Je sasa hivi unaweza vipi?? Musiba atageuka kua Musiba kweli! Siku hiyo unasema naenda kwenye Musiba wa Musiba
Ndiyo maana wahenga walihimiza kuheshimu "muda".
Miezi minane iliyopita Bashiru, Polepole na Musiba walikuwa wana wa mfalme waliojaa nyodo, dharau na majivuno.
Lakini leo wako wapi?
Wamebaki yatima, wanamuogopa kila mtu.
 
Huyu mzee vipi? Eti kampeni za uchaguzi 2025; yaani matatizo yote ya nchini tulรฌyonayo yeye priority yake ni kazi ya ukampeni manager ?

Hawa ndiyo wazee tunaowategemea kuร ngalia utoaji wa haki katika mifumo yote ya utawala, wanafikiri uchaguzi ambao Tume hiyo hiyo, mifumo hiyo hiyo ikamfanya mzee asifanye hata mkutano mmoja wa kampeni.
Hahahaa kwamba anawaza ukampeni manager dah.
 
Magu alikuwa anamuogopa Makonda na Sabaya tu ndio zilikuwa injini zake zakuonea watu.
Ben Wil. Mkapa aliwahi kumuonya Mwendazake asiseme serikali ya Magufuli bali aseme serikali ya CCM ila Magu na genge lake wakamvimbia.
Na kifo cha Ben JK alilia sana maana alihisi vijana wa Mwendazake wamefanya yao.
Upo sahihi kuwa Magufuli kwa kiasi fulani alimuogopa Paul Makonda lakini nakuhakikishia Kati watu ambao Magufuli aliwaogopa sana na kuwaheshimu tena kwa kiasi kikubwa akiwa Rais wa Tanzania ni wawili tu ni Kadinali Pengo na Benjamin Mkapa waliobaki wote walikuwa wanaujua moto wake hata huyo sabaya.
 
Huyu mzee wa Kupewa nchi 2025 ni mwanadiplomasia aliyepitia majaribu mbalimbali awamu ya 5 na kuyafaulu
Uliza kadi ya membe ni namba ngapi CCM na usalama ndio utajua mzee wa kalamu nyekundu anawacheki tu.

Wapi polepole na Bashiru?
 
Membe ana njaa???? Moja ya Madoni wa Lindi,Membe ni mmoja wao!

1. Walipopanga CRDB Lindi,lile ni jengo la Membe kwa taarifa yako

2. Sea View Hotel,moja ya Hotel nzuri Lindi ni ya Membe

3. Unaijua Ledger plaza Hotel pale Kunduchi Dar Es Salaam?? Zile zilikua pesa za Gaddaf,walipiga kina Membe wakanunua pale! Yule jamaa hana njaa!

4. Sijui pension yake,lakini itakua ni nzito tu,kwa cheo kile alichokua nacho!

5. Na mwisho kabisa,Membe ni Jasusi tena Jasusi kweli kweli,acha hawa vijana wa leo,kutwa nzima kutoa basitola bar,nakugombea ma barmaids
njaa zinatofautiana. mtu anaepata mlo mmoja na mwingine milo miwili wote wana njaa
 
Magufuli alimfanyia figisu Membe,hatma yake kafa ,kawaacha watu wanakula bata Kama kawaida,

Mzee alikuwa na chuki sana
Haya mwambie huyo bibi amrudishe chamani na 2025 aruhusu watu kuchukua fomu kuutaka urais akiwemo bwana Membe.
 
Hii nchi unatakiwa ujue nani wa kupatana naye nani wa kuwa naye adui wapi uguse wapi upaache tu kama ulivyopakuta n.k
 
Wakati Ukuta ukipambana nao utahumia mwenyewe, wakati unasema, Na kwa Mzee Membe wakati unasema.
 
Hii nchi unatakiwa ujue nani wa kupatana naye nani wa kuwa naye adui wapi uguse wapi upaache tu kama ulivyopakuta n.k

Ni jambo la muhimu sana.... Ni decision ukiikosea unaweza kujuta maisha yako yote
 
Back
Top Bottom