Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,034
- 6,913
ππππ Zidumu pia fikra sahihi za Chief Mkuu Hangaya. ππMama ameshaeneaaaa......
Chezea Amiri Jeshi na mwenyekiti wa CCM weweee.......π€£
ADUMU CHIFU MKUU HANGAYA
ADUMU CHIFU WETU MKUU HANGAYA aaamen aaamen π
Ziduuuumuuuuuuπͺππππππ Zidumu pia fikra sahihi za Chief Mkuu Hangaya. ππ
Ndiyo maana wahenga walihimiza kuheshimu "muda".Membe anapopatwa na tatizo hua ni mtulivu sana!
Kikwete akipatwa na tatizo hua ni mtulivu sana! Hua hawaropoki hovyo hovyo, wao hua wanatulia kimya,wanaacha mda utaongea wenyewe!
Ni wakati wa Musiba na Genge lake kuomba samahani kwa Membe na Kikwete! Kipindi kile Musiba anasema wewe Membe kama kaka yako Kikwete alishindwa kukupitisha uwe Rais wa Tanzania,Je sasa hivi unaweza vipi?? Musiba atageuka kua Musiba kweli! Siku hiyo unasema naenda kwenye Musiba wa Musiba
Hahahaa kwamba anawaza ukampeni manager dah.Huyu mzee vipi? Eti kampeni za uchaguzi 2025; yaani matatizo yote ya nchini tulìyonayo yeye priority yake ni kazi ya ukampeni manager ?
Hawa ndiyo wazee tunaowategemea kuΓ ngalia utoaji wa haki katika mifumo yote ya utawala, wanafikiri uchaguzi ambao Tume hiyo hiyo, mifumo hiyo hiyo ikamfanya mzee asifanye hata mkutano mmoja wa kampeni.
Upo sahihi kuwa Magufuli kwa kiasi fulani alimuogopa Paul Makonda lakini nakuhakikishia Kati watu ambao Magufuli aliwaogopa sana na kuwaheshimu tena kwa kiasi kikubwa akiwa Rais wa Tanzania ni wawili tu ni Kadinali Pengo na Benjamin Mkapa waliobaki wote walikuwa wanaujua moto wake hata huyo sabaya.Magu alikuwa anamuogopa Makonda na Sabaya tu ndio zilikuwa injini zake zakuonea watu.
Ben Wil. Mkapa aliwahi kumuonya Mwendazake asiseme serikali ya Magufuli bali aseme serikali ya CCM ila Magu na genge lake wakamvimbia.
Na kifo cha Ben JK alilia sana maana alihisi vijana wa Mwendazake wamefanya yao.
Magogo yatakuwa yanagonga SanLGSijui Bashiru na Polepole wanajisikiaje mida hii.!
PG = parental guidance.kirefu chake, elimu haina mwisho
Uliza kadi ya membe ni namba ngapi CCM na usalama ndio utajua mzee wa kalamu nyekundu anawacheki tu.Huyu mzee wa Kupewa nchi 2025 ni mwanadiplomasia aliyepitia majaribu mbalimbali awamu ya 5 na kuyafaulu
njaa zinatofautiana. mtu anaepata mlo mmoja na mwingine milo miwili wote wana njaaMembe ana njaa???? Moja ya Madoni wa Lindi,Membe ni mmoja wao!
1. Walipopanga CRDB Lindi,lile ni jengo la Membe kwa taarifa yako
2. Sea View Hotel,moja ya Hotel nzuri Lindi ni ya Membe
3. Unaijua Ledger plaza Hotel pale Kunduchi Dar Es Salaam?? Zile zilikua pesa za Gaddaf,walipiga kina Membe wakanunua pale! Yule jamaa hana njaa!
4. Sijui pension yake,lakini itakua ni nzito tu,kwa cheo kile alichokua nacho!
5. Na mwisho kabisa,Membe ni Jasusi tena Jasusi kweli kweli,acha hawa vijana wa leo,kutwa nzima kutoa basitola bar,nakugombea ma barmaids
Haya mwambie huyo bibi amrudishe chamani na 2025 aruhusu watu kuchukua fomu kuutaka urais akiwemo bwana Membe.Magufuli alimfanyia figisu Membe,hatma yake kafa ,kawaacha watu wanakula bata Kama kawaida,
Mzee alikuwa na chuki sana
Hii nchi unatakiwa ujue nani wa kupatana naye nani wa kuwa naye adui wapi uguse wapi upaache tu kama ulivyopakuta n.k
Hii nchi unatakiwa ujue nani wa kupatana naye nani wa kuwa naye adui wapi uguse wapi upaache tu kama ulivyopakuta n.k
Bashiru na Polepole huu uzi utakuwa mchungu sana kwao. Magufuli kwao alikuwa ni zaidi ya mungu.
Si amesema hajawahi kutoka CCM ...ila alifukuzwaSiasa ni kazi ya hovyo kuliko upolisi, kama hajawahi kujitoa CCM aligombea urais kupitia ACT Wazalendo huku akiwa mwana CCM?