Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Kwa CCM hakuna kinacho shindikanaKwa hiyo asipopenda hawezi kufanya hivyo na mambo yatakua sawa tu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa CCM hakuna kinacho shindikanaKwa hiyo asipopenda hawezi kufanya hivyo na mambo yatakua sawa tu?
Lowasa alizima sana moto wetuAmepoa yule Bwana! Mnogeshaji.
Bora hakuja Chadema angekuja kupooza moto wa Chadema maana sasa hivi moto wa Chadema ni Chadema Kweli kweli!
Lowasa alizima sana moto wetu
Ila kwakuwa tumesha gundua kosa letu basi wacha maisha yasonge tuYule Mzee alituangusha sana!
Je kisheria imekaaje?Kwa CCM hakuna kinacho shindikana
Nyama ya panya labdaMember ni Simba mwenda pole ila lazima ale nyama.
..Membe anafanya mambo yake KIJASUSI.
..unataka aweke karata zake wazi ili mumpiku?
[emoji3] [emoji3]Nyama ya panya labda
Kama unashida naye mpigie simu usituchosheAnayevuma kwa sasa ni Tundu Lissu tu.
Na si kwamba anavuma kwa sababu ana sera bora na anazinadi kwa ustadi!
La hasha.
Anavuma tu kwa kelele kelele anazozipiga akiwa huko kwenye mizunguko yake ya kutafuta wadhamini.
Sasa ikija kwa Bernard Membe, si ajabu ukimwuliza Mtanzania wa kawaida barabarani kuwa jana au leo Membe alikuwa wapi, sidhani kama kuna mtu ataweza kukuambia.
Kwa Lissu hali ni tofauti kabisa. Majuzi ile alikuwa Ikungulyabashashi. Juzi alikuwa sijui Arusha au Kilimanjaro. Jana alikuwa Iringa au Morogoro....
Sasa huyo ‘jasusi mbobezi’ yeye yuko wapi?
Hata vile vijembe vyake dhaifu kule Twitter naona hatoi tena.
Isije akawa keshaguswa na sasa ananuka!
Jamaa ni dhaifu sana. Siasa naona haimkubali. Haiba yake haiendani na mikikimikiki na mashamsham ya kisiasa.
Jasusi Kazini.Huyo jasusi bado hajaonja joto ya jiwe ya kuwa upinzani!
Siku atayopewa msukosuko atarudi mwenyewe CCM bila kupenda.
"Ukishindwa kumjua adui yako utapigana vita isiyo sahihi"Membe anaweka maslahi ya Taifa mbele siyo yake binafsi
Na hakuna maslahi makubwa kwa nchi zaidi ya kusaidia juhudi za kumng'oa Magufuli madarakani october 28 ,maana Magufuli ni sehemu kubwa ya kikwazo cha maendeleo ya kweli nchini hususan kwenye suala la fundamental freedoms za wananchi!
Kwa hiyo Membe yuko behind the scene anafanya hiyo kazi kwa weledi mkubwa sana
Ili amlete mgombea wao wa mfukoni.Safari hii huo muda hatuna tunazijua siasa za ZZT zilivyo za kilaghai
Aka samaki nchanga[emoji3] [emoji3]
Usiropoke vitu usivyovijuwa, Membe alikuwa anaongoza directorate nyeti idarani.Kama kweli Membe alikuwaga jasusi, basi atakuwa alikuwa jasusi wa hovyo sana.
Nakubaliana na kwamba 'jasui mbobevu' sio tu ni dhaifu, lakini pia hana hata mvuto kabisa! ila sikubaliani na wewe katika hili la TAL Sera ni wakati wa kampeni! Na hata katika anachokizungumza anapokutana na wananchi wanamwelewa vizuri katika kile anachokizungumza na kuishia kumwaga machozi! Wanalia sio kwa sababu alichotendewa yeye, bali wanalia pale TAL anapowaeleza athari zinazotokana na utawala huu!Anayevuma kwa sasa ni Tundu Lissu tu.
Na si kwamba anavuma kwa sababu ana sera bora na anazinadi kwa ustadi!
La hasha.
Anavuma tu kwa kelele kelele anazozipiga akiwa huko kwenye mizunguko yake ya kutafuta wadhamini.
Sasa ikija kwa Bernard Membe, si ajabu ukimwuliza Mtanzania wa kawaida barabarani kuwa jana au leo Membe alikuwa wapi, sidhani kama kuna mtu ataweza kukuambia.
Kwa Lissu hali ni tofauti kabisa. Majuzi ile alikuwa Ikungulyabashashi. Juzi alikuwa sijui Arusha au Kilimanjaro. Jana alikuwa Iringa au Morogoro....
Sasa huyo ‘jasusi mbobezi’ yeye yuko wapi?
Hata vile vijembe vyake dhaifu kule Twitter naona hatoi tena.
Isije akawa keshaguswa na sasa ananuka!
Jamaa ni dhaifu sana. Siasa naona haimkubali. Haiba yake haiendani na mikikimikiki na mashamsham ya kisiasa.
Issue ndogo sana hiyo!Usiropoke vitu usivyovijuwa, Membe alikuwa anaongoza directorate nyeti idarani.
Kama hujui aliyemlipuwa Dr Hans Kitine kwa invoice fake ya matibabu ya mke wa Kitine Canada ni Benard Membe, na ukumbuke Kitine alishakuwa mkurugenzi wa hiyo idara hapo nyuma.
Membe yupo ccm, kinachoendelea ni mazingaombwe tu ya ccm, Membe ni mtu wa system na akuhitajika kutowa ushirikiano idarani lazima atowe.