Bernard Membe yupo kweli?

Bernard Membe yupo kweli?

Anayevuma kwa sasa ni Tundu Lissu tu.

Na si kwamba anavuma kwa sababu ana sera bora na anazinadi kwa ustadi!

La hasha.

Anavuma tu kwa kelele kelele anazozipiga akiwa huko kwenye mizunguko yake ya kutafuta wadhamini.

Sasa ikija kwa Bernard Membe, si ajabu ukimwuliza Mtanzania wa kawaida barabarani kuwa jana au leo Membe alikuwa wapi, sidhani kama kuna mtu ataweza kukuambia.

Kwa Lissu hali ni tofauti kabisa. Majuzi ile alikuwa Ikungulyabashashi. Juzi alikuwa sijui Arusha au Kilimanjaro. Jana alikuwa Iringa au Morogoro....

Sasa huyo ‘jasusi mbobezi’ yeye yuko wapi?

Hata vile vijembe vyake dhaifu kule Twitter naona hatoi tena.

Isije akawa keshaguswa na sasa ananuka!

Jamaa ni dhaifu sana. Siasa naona haimkubali. Haiba yake haiendani na mikikimikiki na mashamsham ya kisiasa.
Kama unashida naye mpigie simu usituchoshe
 
Membe anaweka maslahi ya Taifa mbele siyo yake binafsi

Na hakuna maslahi makubwa kwa nchi zaidi ya kusaidia juhudi za kumng'oa Magufuli madarakani october 28 ,maana Magufuli ni sehemu kubwa ya kikwazo cha maendeleo ya kweli nchini hususan kwenye suala la fundamental freedoms za wananchi!

Kwa hiyo Membe yuko behind the scene anafanya hiyo kazi kwa weledi mkubwa sana
"Ukishindwa kumjua adui yako utapigana vita isiyo sahihi"

Ishu si Magufuli, ni CCM.
 
Screenshot_20200818-170947_Facebook.jpg
 
Kama kweli Membe alikuwaga jasusi, basi atakuwa alikuwa jasusi wa hovyo sana.
Usiropoke vitu usivyovijuwa, Membe alikuwa anaongoza directorate nyeti idarani.

Kama hujui aliyemlipuwa Dr Hans Kitine kwa invoice fake ya matibabu ya mke wa Kitine Canada ni Benard Membe, na ukumbuke Kitine alishakuwa mkurugenzi wa hiyo idara hapo nyuma.

Membe yupo ccm, kinachoendelea ni mazingaombwe tu ya ccm, Membe ni mtu wa system na akuhitajika kutowa ushirikiano idarani lazima atowe.
 
Anayevuma kwa sasa ni Tundu Lissu tu.

Na si kwamba anavuma kwa sababu ana sera bora na anazinadi kwa ustadi!

La hasha.

Anavuma tu kwa kelele kelele anazozipiga akiwa huko kwenye mizunguko yake ya kutafuta wadhamini.

Sasa ikija kwa Bernard Membe, si ajabu ukimwuliza Mtanzania wa kawaida barabarani kuwa jana au leo Membe alikuwa wapi, sidhani kama kuna mtu ataweza kukuambia.

Kwa Lissu hali ni tofauti kabisa. Majuzi ile alikuwa Ikungulyabashashi. Juzi alikuwa sijui Arusha au Kilimanjaro. Jana alikuwa Iringa au Morogoro....

Sasa huyo ‘jasusi mbobezi’ yeye yuko wapi?

Hata vile vijembe vyake dhaifu kule Twitter naona hatoi tena.

Isije akawa keshaguswa na sasa ananuka!

Jamaa ni dhaifu sana. Siasa naona haimkubali. Haiba yake haiendani na mikikimikiki na mashamsham ya kisiasa.
Nakubaliana na kwamba 'jasui mbobevu' sio tu ni dhaifu, lakini pia hana hata mvuto kabisa! ila sikubaliani na wewe katika hili la TAL Sera ni wakati wa kampeni! Na hata katika anachokizungumza anapokutana na wananchi wanamwelewa vizuri katika kile anachokizungumza na kuishia kumwaga machozi! Wanalia sio kwa sababu alichotendewa yeye, bali wanalia pale TAL anapowaeleza athari zinazotokana na utawala huu!
 
Usiropoke vitu usivyovijuwa, Membe alikuwa anaongoza directorate nyeti idarani.

Kama hujui aliyemlipuwa Dr Hans Kitine kwa invoice fake ya matibabu ya mke wa Kitine Canada ni Benard Membe, na ukumbuke Kitine alishakuwa mkurugenzi wa hiyo idara hapo nyuma.

Membe yupo ccm, kinachoendelea ni mazingaombwe tu ya ccm, Membe ni mtu wa system na akuhitajika kutowa ushirikiano idarani lazima atowe.
Issue ndogo sana hiyo!
 
Back
Top Bottom